Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
ila we jamaa khaa🤣🤣Maeneo ya kiunoni chini mgongo unafananaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila we jamaa khaa🤣🤣Maeneo ya kiunoni chini mgongo unafananaje?
HAHAHAHAmiaka 28 !! je ulishawahi pata mimba ukatoa ..? maana kwa miaka yako mbususu ishapiga mechi nyingi sana na mtoto huna daah... miaka 28 kwa mwanamke ni sawa na maji ya jioni
noamba jibu na uje na hoja
Allah akupe mume mwema, dada yangu.Asalam aleykum
Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena
Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji
Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi
Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia
Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem
Shukrani sana ndugu yangu. Allah akulipe kheri.Shukrani kwa kunitag ,mimi bado kuna mipango naisikilizia ngoja nimuite Baljurashi labda anaweza kufanya jambo.
Sijui utastaafu uphalla lini wewe😂Huyu mwali amepata bahati sana, maana nime slimu jana tu...☺
Unajua embe likishaiva linatakiwa kuliwa, tofauti ba hapo ni majanga, embe lishaiva hilo😁😁😁Mmeamua kuniandama sio 😀😀Mimi Bado nakula ugali hapa home ndo kwanza wanavuna mahindi😀
Upo tayari kuwa mke wa pili,wa tatu au wa nne?Asalam aleykum
Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena
Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji
Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi
Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia
Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem
Usimpangie maishaAfrika kwa utahira hatujambo,hivi dini uliyoletewa na mkoloni wako unafanyaje iwe kikwazo katika mambo yako.
wife material kwa mistari miwili mitatu tu mkuuUkisoma between the line utagundua wewe ni wife material, sio hawa madada wa JF
Ni between the line mkuu.wife material kwa mistari miwili mitatu tu mkuu
wife material ana miaka 28 ajaolewa ? alikuwa wapi na elimu hana ?Ni between the line mkuu.
Kama hajapata mwenye sifa je. Yaani nyinyi wanaume mnachagua anayefaa ajabu mnataka madem wao wasichague wazoe tu hata kama jitu leviwife material ana miaka 28 ajaolewa ? alikuwa wapi na elimu hana ?
ninachotaka kusema kwa umri wake ni ngumu kumpata mtu muaminifu lakini sio kama haiwezekani ila namba zake ni kubwa Engine ishamwaga sana oilKama hajapata mwenye sifa je. Yaani nyinyi wanaume mnachagua anayefaa ajabu mnataka madem wao wasichague wazoe tu hata kama jitu levi