Mwanaume wa kiislamu aliye tayari kuwa rafiki, mchumba hatimaye mume

Mwanaume wa kiislamu aliye tayari kuwa rafiki, mchumba hatimaye mume

Hivyo vigezo vyenu ndiyo huwa vinawafanya mnakosa ndoa, wewe kama unataka mpenzi sema tu aliyetayari kukupenda aje PM, sio unaweka vipengele kibao, alokwambia kama umri ndo mapenzi nani?, mimi sina hiyo miaka 31 lakini nakuhitaji, naomba nisikilizwe
 
miaka 28 !! je ulishawahi pata mimba ukatoa ..? maana kwa miaka yako mbususu ishapiga mechi nyingi sana na mtoto huna daah... miaka 28 kwa mwanamke ni sawa na maji ya jioni

noamba jibu na uje na hoja
HAHAHAHA
 
Asalam aleykum

Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena

Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji

Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi

Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia



Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem
Allah akupe mume mwema, dada yangu.
 
Asalam aleykum

Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena

Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji

Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi

Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia



Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem
Upo tayari kuwa mke wa pili,wa tatu au wa nne?
 
Kama hajapata mwenye sifa je. Yaani nyinyi wanaume mnachagua anayefaa ajabu mnataka madem wao wasichague wazoe tu hata kama jitu levi
ninachotaka kusema kwa umri wake ni ngumu kumpata mtu muaminifu lakini sio kama haiwezekani ila namba zake ni kubwa Engine ishamwaga sana oil
 
Back
Top Bottom