Mwanaume wa kiislamu aliye tayari kuwa rafiki, mchumba hatimaye mume

Mwanaume wa kiislamu aliye tayari kuwa rafiki, mchumba hatimaye mume

Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini mke mwema anapatikana kwenye mitandao! Niulize ni kwanini? Nitakuuliza naswali machache mathalani kuwa huyo mke mwema amekosa mme mwema kwenye physical world anayoishi kuanzia kwa waamini wenzie, majirani, wafanyakazi wenzake hata kupigiwa upatu na wazee wanaomfahamu kwa vijana wao? Huwezi kuwa na tabia njema ukakosa mke/mme mwema kwenye mazingira yanayokuzunguka. Ngoja lijichanganye jitu lipigwe za uso. Mimi simo!
 
Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini mke mwema anapatikana kwenye mitandao! Niulize ni kwanini? Nitakuja I kuwa huyo mke mwema amekosa mme mwema kwenye physical world anayoishi kuanzia kwa waamini wenzie, majirani, wafanyakazi wenzake hata kupigiwa upate na wazee wanaomfahamu kwa vijana wao? Huwezi kuwa na tabia njema ukakosa mke/mme mwema kwenye mazingira yanayokuzunguka. Ngoja lijichanganye kitu lipigwe za uso. Mimi simo!
Tawile hakuna mke mwema ama mume mwema mtandaoni.
 
Asalam aleykum

Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena

Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji

Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi

Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia



Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem
Mimi ni mlutherani nipo tayari , kukupenda na kukutunza Maisha yangu yote, dini na mapenzi havina uhusiano kama umenipenda Mimi na moyo wangu wa upendo niliozaliwa nao tamka hapa hadharani na sio inbox
 
Asalam aleykum

Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena

Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji

Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi

Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia



Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem
Mwenyezi Mungu awe nawe!
Umri limekuwa tatizo kwangu.
Vinginevyo......!
 
Asalam aleykum

Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena

Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji

Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi

Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia



Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem
Ongeza na kwamba awe tayari kukaguliwa marinda kama mazima!
 
Asalam aleykum

Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena

Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji

Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi

Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia



Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem
Ushimen mke si huyu sasa?
 
Asalam aleykum

Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena

Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji

Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi

Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia



Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem
Kila la kheri
 
Ndugu zangu waislam mnakwama wapi sasa!

Aaliyyah hii imekaa vizuri, mfungo ukiisha kazi ni moja tu, vijana ma-ostaath naamini wapo wa kutosha kabisa🤣
Mmeamua kuniandama sio 😀😀Mimi Bado nakula ugali hapa home ndo kwanza wanavuna mahindi😀
 
Afrika kwa utahira hatujambo,hivi dini uliyoletewa na mkoloni wako unafanyaje iwe kikwazo katika mambo yako.
 
Back
Top Bottom