Alexprosper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,286
- 6,110
Nimegusa penyewe 😄🤣🤣🤣🤣 Haya bhana
Wewe umenikataa[emoji23][emoji1787][emoji1787]Nakupenda sana
Huo ndio ukweli lakini.nimeshakatiza nao kadhaa wanafanana.😄 naona mnazidi kuongezeka nitaanza kuuza dawa maana sio hali ya kawaida
Nzoogo Lolo nakoto bebe to yeye.Kubali ukatae,haijalishi walikufanyia nn kibaya.....lakini wanaume wa kisukuma ni wanaume Bora,Wana utu.....kitu ambacho hawajajaaliwa kabisa ni dharau na kitu walichojaaliwa kabisa ni upendo wa kweli.Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na usimsaliti Kwa viserengeti vitaka kulelewa....na ukimpata hana pesa mvumilie coz are fighters na mtunzane.
Wanawake wenzangu tuendelee kumwomba Mungu tuingie Pepo tukiwa tumeshikana mikono na waume zetu.
NB;Sijamaanisha nimepata msukuma.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
Slow down please 😑Huo ndio ukweli lakini.nimeshakatiza nao kadhaa wanafanana.
Kuna mtoto wa mama mkwe huyo ***** ni supatall …………..ngoja niweke vinukta sitaki uza gazeti.
Nimeshaslow down 😅Slow down please 😑
Hauko pekeyako Niko nyuma yako my ❤️🔥🤣🤣🤣🤣Bora umekuja Nikomboa....kasema coz am a nyakyu
Ulisahau nn[emoji847][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Afu nilisahau[emoji2960]