Alexprosper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,286
- 6,110
Mweusi auLa kugusa si haba kwakweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mweusi auLa kugusa si haba kwakweli
Nabii hakubaliki kwaoIla kunawanawake wengi wa kisukuma Dar wamewakimbia waume zao mwanza na shinyanga
Hebu kwanza ncheke 😁😁😁 sijui hawa wanawake unaowashauri hivi wanapatikana sayari gani..Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na usimsaliti Kwa viserengeti vitaka kulelewa....na ukimpata hana pesa mvumilie coz are fighters na mtunzane.
Wanawake sikuhizi wana vitambi[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona unaulizia matumbo ya watu...kwahiyo akijifungua utamwacha
Ni cheusi mangala.Mweusi au
Wanyakyusa hapa sio mahali petu🚶Kubali ukatae,haijalishi walikufanyia nn kibaya.....lakini wanaume wa kisukuma ni wanaume Bora,Wana utu.....kitu ambacho hawajajaaliwa kabisa ni dharau na kitu walichojaaliwa kabisa ni upendo wa kweli.Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na usimsaliti Kwa viserengeti vitaka kulelewa....na ukimpata hana pesa mvumilie coz are fighters na mtunzane.
Wanawake wenzangu tuendelee kumwomba Mungu tuingie Pepo tukiwa tumeshikana mikono na waume zetu.
NB;Sijamaanisha nimepata msukuma.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
Tumekubaliana ni mwendo wa kujikubaliMwenyewe ninalo la haja
Sawa nimekupenda [emoji847]Ni cheusi mangala.
Maswali yawe machache muda unatutupa mkono
Okay ,nikimshuhudia angalau mmoja nitafurahi sanaWapo mkuu,wengi tu
Ebu nione[emoji847]Mwenyewe ninalo la haja
😃😃😃nanata na beat.🤣🤣🤣 Mkorofi huyo
Umenena haswa haswa.Kubali ukatae,haijalishi walikufanyia nn kibaya.....lakini wanaume wa kisukuma ni wanaume Bora,Wana utu.....kitu ambacho hawajajaaliwa kabisa ni dharau na kitu walichojaaliwa kabisa ni upendo wa kweli.Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na usimsaliti Kwa viserengeti vitaka kulelewa....na ukimpata hana pesa mvumilie coz are fighters na mtunzane.
Wanawake wenzangu tuendelee kumwomba Mungu tuingie Pepo tukiwa tumeshikana mikono na waume zetu.
NB;Sijamaanisha nimepata msukuma.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume