Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂nani anataka kufilisiwaKumbe umempata....mpende mpendane mkuu
Ah ah msubiri tuwakubali sisi🙄😀Tumekubaliana ni mwendo wa kujikubali
Na mm nimsukuma[emoji12]Kiukweli nawapendaga wasukuma, naonaga wana utu sana, msilewe sifa sasa
Ah wanyiha wanajua kupiga ugali na kabeji😄 nataka nioe mnyia
We pambana si ushatekwaYaan kunavitu vipo hapa umeandika ukweli 98%
BabeMiss you too darling.
SawaMungu awabariki wasukuma wote
Ni wadeadly hao balaaAh wanyiha wanajua kupiga ugali na kabeji
Amina Amina Amina Amina.Mungu awabariki wasukuma wote
Hi sweetie.Babe
😁😁😁 Sawa cheusi mangalaKama unaangalia Kwa macho ya kawaida sahau kuwapata mkuu.
Wapo sanaa lakini sura zao zinafanana na hao walijazana mtaan unaokutana nao
Kama unahitaji na upo serious niambie nikuunganishe kwa mdogo wangu yupo single, ni msukuma og.NB;Sijamaanisha nimepata msukuma.
Huna baya mbinguni moja kwa mojaAh ah msubiri tuwakubali sisi🙄😀
ni vizuri mkuu, je ni kweli mna utu kweli au tunawasifia hewa tu😂Na mm nimsukuma[emoji12]
Nimecheka Kwa sauti😆😆😁😁😁 Sawa cheusi mangala