Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazaramo watapinga 😂Kubali ukatae,haijalishi walikufanyia nn kibaya.....lakini wanaume wa kisukuma ni wanaume Bora,Wana utu.....kitu ambacho hawajajaaliwa kabisa ni dharau na kitu walichojaaliwa kabisa ni upendo wa kweli.Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na usimsaliti Kwa viserengeti vitaka kulelewa....na ukimpata hana pesa mvumilie coz are fighters na mtunzane.
Wanawake wenzangu tuendelee kumwomba Mungu tuingie Pepo tukiwa tumeshikana mikono na waume zetu.
NB;Sijamaanisha nimepata msukuma.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
Bila shaka shemeji ni msukuma eeh, hongeraMungu awabariki wasukuma wote
Mayalla kwa kule kwetu ni NJAA [emoji23]Nimefarijika sana na hii thread natamani wife wangu aisome!. Very unfortunately wife hataki hata kuisikia jf!.
P
Umehitimisha vizuri sana.Sawa nimekupenda [emoji847]
Si ndio umtongoze sasa baada ya kukuunga, maana yupo yupo tu na ni mtu mzima anayejiweza.😳Kuunganishwa no,mi huwa natongoza mwenyewe kaka
Ooh basi mwanzo mzuri na ikawe kheri😘Hapana cute bado hajawa rasmi😉
Words can't express the gratitude I feel for your appreciation , Mungu akubariki kwa kutokuwa Mbinafsi na penye ukweli unaongeaKabisa love....Mungu awabariki mno
Niambie sasa if you are serious nikusakizie kwa dogo languWooow!
OlemolaAmina Amina Amina Amina.
Mungu awabariki pia kwa kuwatunza kaka zangu.