makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Kivipi?Umetuangusha wana nzengo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi?Umetuangusha wana nzengo
Mdundiko pia wamoukiweka taarabu wanaserebuka.
Utauachaje kimfano.Mdundiko pia wsmo
VangaUtauachaje kimfano.
Kwa kuogopa kumtaja shemKivipi?
Hana jina, si member wa JF.Kwa kuogopa kumtaja shem
Aliyekudanganya kuwa magovi hayapelekei moto ke ni nani?Magovi tuu ,siozeshi mwanangu huko never
Sasa mbona wewe una ubinafsi hivyo, hebu mfungulie acc hapa bhanaHana jina, si member wa JF.
Hata hivyo wanalalamikiwa mno na Wanawake kuwa wawapo Kitandani katika Utendaji wa Kibaiolojia huwa ni Watupu kabisa na Wao muda Wote huwaza tu Ng'ombe zao zisizo na Faida za Kimaendeleo Kwao.Kubali ukatae,haijalishi walikufanyia nn kibaya.....lakini wanaume wa kisukuma ni wanaume Bora,Wana utu.....kitu ambacho hawajajaaliwa kabisa ni dharau na kitu walichojaaliwa kabisa ni upendo wa kweli.Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na usimsaliti Kwa viserengeti vitaka kulelewa....na ukimpata hana pesa mvumilie coz are fighters na mtunzane.
Wanawake wenzangu tuendelee kumwomba Mungu tuingie Pepo tukiwa tumeshikana mikono na waume zetu.
NB;Sijamaanisha nimepata msukuma.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
Haha Kwani ulifikaje hadi hapa mkuu?Sasa unaniacheje[emoji847]
Hayaa sasa wanyakyusa hatujakubaliana kabisa na siala hili, isoni tena, findufiki mkuu?Kungosya iisoni
Hodi hodi PM....Kiukweli nawapendaga wasukuma, naonaga wana utu sana, msilewe sifa sasa
Tafsiri yake ?isoni tena, findufiki
Kuna msukuma alishanipaga upendo mtamu nusura nipate kisukari kwa penzi lake!Aiseee wanajua kubebisha wale chaaaaa!
Kitu ambacho huwa namshangaa mpaka leo eti anakufuata job zile jmosi za halfday anakwambia hapa tunaenda zetu beach, Basi ukimwambia hizi nguo haziendi beach utasikia twende ukachague dukani halafu unavaa moja kwa moja dukani mnaoondoka jamani Ni washamba Ila they're very fun aisee
Wasukuma haoo
Mwanzo umeanza vizuri ila mstari wa mwisho chumvi ikazidi kidogo!!Kuna msukuma alishanipaga upendo mtamu nusura nipate kisukari kwa penzi lake!Aiseee wanajua kubebisha wale chaaaaa!
Kitu ambacho huwa namshangaa mpaka leo eti anakufuata job zile jmosi za halfday anakwambia hapa tunaenda zetu beach, Basi ukimwambia hizi nguo haziendi beach utasikia twende ukachague dukani halafu unavaa moja kwa moja dukani mnaoondoka jamani Ni washamba Ila they're very fun aisee