Mwanaume wa kisukuma ni bora zaidi…

Halafu Mr. kuku nae ni msukuma hivo kalipia machungu ya ndugu zake kutapeliwa,
 
Aisifuye mvua, juwa imemnyea.

Kama umepata hongera, kwanini kujificha?
 
Acha tu inipite, maana nayeye anaelekea si haba 😄😄😄😄 hatakagi kumsikia huyo ex wa Kisukuma kabisa. Nitaachwa bure bana 😂😂😂😂
🤣🤣🤣Ngoja tuuchune🤐🤸🤸🤸
 

Wabeja sana,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…