Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Alexprosper 😂😂Mbona unauliza swali kizaramo hivyo, ina maana hujui kusoma?
Nimeeleza vizuri tu mbona!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alexprosper 😂😂Mbona unauliza swali kizaramo hivyo, ina maana hujui kusoma?
Nimeeleza vizuri tu mbona!!
Nimekufananisha na mdogo wako mnafanaMbona unauliza swali kizaramo hivyo, ina maana hujui kusoma?
Nimeeleza vizuri tu mbona!!
Wanaume wenu wa Kinyakyusa vipi? 😅Kubali ukatae,haijalishi walikufanyia nn kibaya.....lakini wanaume wa kisukuma ni wanaume Bora,Wana utu.....kitu ambacho hawajajaaliwa kabisa ni dharau na kitu walichojaaliwa kabisa ni upendo wa kweli.Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na usimsaliti Kwa viserengeti vitaka kulelewa....na ukimpata hana pesa mvumilie coz are fighters na mtunzane.
Wanawake wenzangu tuendelee kumwomba Mungu tuingie Pepo tukiwa tumeshikana mikono na waume zetu.
NB;Sijamaanisha nimepata msukuma.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
Usimtupe kama ni msukuma og, Ila akiwa ndio wale kina anduje kibakuli cha supu tupa kule kwa unique flower ajiokotee.Kwahiyo huyu Niko nae nimtupie wapi mkuu?
Mie nitajipamba, uthibitisho mzuri ni kutoka kwa shemeji yako 🤣Hebu jithibitishe hapa mwana wane wakujue ulivyo
Dogo ni dogo, mie ni brother akeNimekufananisha na mdogo wako mnafana
uthibitisho mzuri ni kutoka kwa shemeji yako 🤣
😀Akija hapaUsimtupe kama ni msukuma og, Ila akiwa ndio wale kina anduje kibakuli cha supu tupa kule kwa unique flower ajiokotee.
Aah kumbe sawa nifundishe kizaramo.Haha mi ni mweupe!
Sema nabahatisha bahatisha maneno kadhaa.(njoo nikufundishe kizaramo)
Haha uligwaa?
🤣🤣🤣Eeh ushakua nn hicho?!.Shajua🤣🤣🤣
Muache tabia ya kujaza ndugu home.Nimefarijika sana na hii thread natamani wife wangu aisome!. Very unfortunately wife hataki hata kuisikia jf!.
P
Hawezi kuja hapa😀Akija hapa
Jamaa hapendwi huyo🤣🤣🤣Eeh ushakua nn hicho?!.
Haha tatizo humu mnatunanga Sana Sasa/ sijui tunafeli wapiAah kumbe sawa nifundishe kizaramo.
TayariAlexprosper [emoji23][emoji23]
Sio kupendwa na kuzalishwa had unakuwa mwenyeji leba😀Zaidi uwe mweupe tutakupenda hadi uone kero.