Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Tunawaogopa mno mno mno mno mno.Haha tatizo humu mnatunanga Sana Sasa/ sijui tunafeli wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunawaogopa mno mno mno mno mno.Haha tatizo humu mnatunanga Sana Sasa/ sijui tunafeli wapi
Jamaa shemeji angu huyo lazima nmpende.Jamaa hapendwi huyo
Amina mama! Leo umejua kutuheshimisha!🤣🤣🤣Basi tu hawa watu wabarikiwe Kwa kweli
Vipi yalikukuta? Jamaa alivyovua ukaona govi ulimshauri akatahiriwe au mlimtelekeza!Magovi tuu ,siozeshi mwanangu huko never
Wanawake wa kisukuma wapoje kitabiaKubali ukatae,haijalishi walikufanyia nn kibaya.....lakini wanaume wa kisukuma ni wanaume Bora,Wana utu.....kitu ambacho hawajajaaliwa kabisa ni dharau na kitu walichojaaliwa kabisa ni upendo wa kweli.Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na usimsaliti Kwa viserengeti vitaka kulelewa....na ukimpata hana pesa mvumilie coz are fighters na mtunzane.
Wanawake wenzangu tuendelee kumwomba Mungu tuingie Pepo tukiwa tumeshikana mikono na waume zetu.
NB;Sijamaanisha nimepata msukuma.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
Nipendage tu mayoKubali ukatae,haijalishi walikufanyia nn kibaya.....lakini wanaume wa kisukuma ni wanaume Bora,Wana utu.....kitu ambacho hawajajaaliwa kabisa ni dharau na kitu walichojaaliwa kabisa ni upendo wa kweli.Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na usimsaliti Kwa viserengeti vitaka kulelewa....na ukimpata hana pesa mvumilie coz are fighters na mtunzane.
Wanawake wenzangu tuendelee kumwomba Mungu tuingie Pepo tukiwa tumeshikana mikono na waume zetu.
NB;Sijamaanisha nimepata msukuma.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
Waweza dhani umeona kambale, wadada mnakabiliana na vingi.Vipi yalikukuta? Jamaa alivyovua ukaona govi ulimshauri akatahiriwe au mlimtelekeza!
Kama upo na mdada mwenzio.Kilamtu Leo atakuwa msukuma
Ila bhna mm mwanaume akiwa mzaramo sijui naonaje 😂😂😂
Mtu kamtaja Mungu wewe mayooo mayooo.🤣🤣🤣🤣🤣Ole hale mayoooo!
Inabidi tujifundishe kisukuma sasa
Braza tumefikiwa aseeeh sema sijaoa aseeh ngoja nijipange kwanza PotiNimefarijika sana na hii thread natamani wife wangu aisome!. Very unfortunately wife hataki hata kuisikia jf!.
P
Unaambiwa utapelekwa milembe unaitikia vikopa.Lugha ohooo.💕💕💕😘
Hawa tuguu twao mitihahani.😂 vina muda basi mlivyo soon mtahamia kwa warangi wa kondoa
Mimi sitii neno kwenye hiloHawa tuguu twao mitihahani.
Wanaume kumi wa kizaramo ni sawa na mwanamke mmoja wa kinyaki.Kama upo na mdada mwenzio.
Warangi wazuri mno.Tatizo fimbooo myembambaaa halafu zinametameta.ukute zimepigwa shanty au rays.Mimi sitii neno kwenye hilo
Anajijua.. 😂Haya mention her akupambe hapa hapa 😜
Wale hata hawaeleweki ukiweka taarabu wanaserebuka.Wanaume kumi wa kizaramo ni sawa na mwanamke mmoja wa kinyaki.
Yaani wapo lege lege mnoo
Anajijua.. 😂