Mwanaume wa kuishi naye, mtu mzima anatakiwa

Mwanaume wa kuishi naye, mtu mzima anatakiwa

Awe 40 to 50
Christian
Awe anaishi Ubungo au Kinondoni
Awe tayari kuishi pamoja

Mimi mwanamke mtu mzima
40 yrs
No kids
Christian
Naishi Ubungo
Aise kama huna mpango wa kuzaa kabisa njoo pm tuanze kula bata na kusafiri dunia
 
Awe 40 to 50
Christian
Awe anaishi Ubungo au Kinondoni
Awe tayari kuishi pamoja

Mimi mwanamke mtu mzima
40 yrs
No kids
Christian
Naishi Ubungo
Huu uhaba wa wanawake kuolewa ukiangalia vizuri humu jukwaani ni wakristo wenzangu ila wanawake wa kiislamu ni wachache mno kuweka mabango humu.Nini shida?

Au kwasababu waislamu wanaruhusu mwanaume kuoa zaidi ya mke mmoja?
 
Awe 40 to 50
Christian
Awe anaishi Ubungo au Kinondoni
Awe tayari kuishi pamoja

Mimi mwanamke mtu mzima
40 yrs
No kids
Christian
Naishi Ubungo
Miaka 40 haujazaa?

Unafaa sana kua mchepuko wangu, sababu me tayari nina mke na watoto 3, kwakua sitaki kuzaa nje ya ndoa yangu, na sitaki mchepuko wenye watoto, wewe ungenifaa sana.

Tatizo lako umetanguliza vigezo vya Dini, lasivyo ninge tuma CV yangu.
 
Huu uhaba wa wanawake kuolewa ukiangalia vizuri humu jukwaani ni wakristo wenzangu ila wanawake wa kiislamu ni wachache mno kuweka mabango humu.Nini shida?

Au kwasababu waislamu wanaruhusu mwanaume kuoa zaidi ya mke mmoja?
Ndoa za kiislama hazina vikao wala mambo mengi hata ukiwa na laki 3 umepewa mke.
 
Wow! Mara chache nakuwemo! Leo nimo (48 years)! Kupendwa raha jamani. Kwangu wewe ni ka-spring chicken tu! Kweli duniani kila mtu ana mbabe wake. Unahitaji kuzaa, lakini ama?
Azae nini kwa umri huo?
Huyo anahitaji starehe tu.
 
Unamsemea? Mbona huku DM anasema anataka kuzaa?
Sasa, we unadhani ama kuamini mwanamke (tena hawa wa kileo) wa umri huo atazaa kweli?

Sisi watu wa pwani tuna misemo yetu, moja kati ya misemo hiyo ni "usipo shiba kwenye sahani huwezi shiba kwenye kijiko.

Kwa umri wa miaka 40 huyo kesha tombesha vya kutosha lakini hakuzaa, kwahiyo kutegemea kua ipo siku atazaa huko ni kungojea meli air port.
 
Ndoa za kiislama hazina vikao wala mambo mengi hata ukiwa na laki 3 umepewa mke.
Laki 3 nyingi sana mkuu watoto wa kiislamu wanaolewa kwa kununuliwa kitabu cha msahafu tu awe anajisomea nyumbani kwake neno la Mungu.

Imagine msahafu unaweza ukanunuliwa kwa shilingi elfu 3 hadi 5 tu na unapata mke mtiifu kabisa kwako na bikra. Hawa wa mahari milioni na nusu hawaolewi na wakiolewa unakuta ni bwawa amepigwa miti ya kutosha tu na bado hatulii ndani.
 
Laki 3 nyingi sana mkuu watoto wa kiislamu wanaolewa kwa kununuliwa kitabu cha msahafu tu awe anajisomea nyumbani kwake neno la Mungu.

Imagine msahafu unaweza ukanunuliwa kwa shilingi elfu 3 hadi 5 tu na unapata mke mtiifu kabisa kwako na bikra. Hawa wa mahari milioni na nusu hawaolewi na wakiolewa unakuta ni bwawa amepigwa miti ya kutosha tu na bado hatulii ndani.
Kweli kabisa..kuna mambo sio ya lazima wakristo tumeyaendekeza,,na yote hii wanaosababisha wanawake na wazazi wao kutaka ufahari.
 
Anaishi ubungo au kinondoni? Si ukasimame pale flyover na tangazo lako sasa.
 
Nimegonga 58, sio muumuni wa dhehebu lolote ila najua Mungu yupo. Sina mtoto kwa sababu ya kuwaogopa wanawake ila sasa woga naona unaisha.
Yaani unakumbuka shuka kumekucha?!

Kama nawaona vile yatima watarajiwa haooooooo!!!
 
Hata wewe kwa hiyo 40, unavuta shuka wakati kumekucha. Mwanaume 40 anapata mwanamke 20, na wewe 40 size yako ni 80
 
Muwe mlalegeza masharti wengine tuko kwenye 30s lkn tushachoshwa nahivi vitoto tunataka watu wazima kama nyie tupumzike
 
Back
Top Bottom