Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmeenMungu akupe haja ya moyo wako.
NoVipi kwa Dodoma unaonaje?
Dini ganiDini imenikisosha mtu mwanamke wa ndoto zangu
Kwa uandishi huu ndiyo maana hujaolewa. Huna adabu kwa mme bila shaka wewe ni MnyaturuAwe 40 to 50
Christian
Awe anaishi Ubungo au Kinondoni
Awe tayari kuishi pamoja
Mimi mwanamke mtu mzima
40 yrs
No kids
Christian
Naishi Ubungo
Ulishampata ?Awe 40 to 50
Christian
Awe anaishi Ubungo au Kinondoni
Awe tayari kuishi pamoja
Mimi mwanamke mtu mzima
40 yrs
No kids
Christian
Naishi Ubungo
Ndizi huwa unakula?Awe 40 to 50
Christian
Awe anaishi Ubungo au Kinondoni
Awe tayari kuishi pamoja
Mimi mwanamke mtu mzima
40 yrs
No kids
Christian
Naishi Ubungo
Yani mtu atafute maisha na mkewe, bado few years astaafu ale pension wewe ndio unajitokeza [emoji23][emoji23] wanawake wa Dar muwe walau na huruma, maana haya tunajua mmezikosa, basi muhurumie familia za watu, mnataka mle pension yote.Awe 40 to 50
Christian
Awe anaishi Ubungo au Kinondoni
Awe tayari kuishi pamoja
Mimi mwanamke mtu mzima
40 yrs
No kids
Christian
Naishi Ubungo
Spouse au sponsor?Mimi nahitaji sponsor wapendwaa umri awe kuanzia 45 to 60.
HivohivoSpouse au sponsor?
[emoji16][emoji16]Kweli we ni online shop.
Shida yangu kukoroma! [emoji1787] [emoji1787]Awe 40 to 50
Christian
Awe anaishi Ubungo au Kinondoni
Awe tayari kuishi pamoja
Mimi mwanamke mtu mzima
40 yrs
No kids
Christian
Naishi Ubungo
Mwanamme wa ndoa hapangiwi awe anaishi wapi, labda hawara tu.Awe 40 to 50
Christian
Awe anaishi Ubungo au Kinondoni
Awe tayari kuishi pamoja
Mimi mwanamke mtu mzima
40 yrs
No kids
Christian
Naishi Ubungo
Lactogen uliona wapi?Awe 40 to 50
Christian
Awe anaishi Ubungo au Kinondoni
Awe tayari kuishi pamoja
Mimi mwanamke mtu mzima
40 yrs
No kids
Christian
Naishi Ubungo
Maake hapo acha kwanza ncheke [emoji23][emoji23]Laki 3 nyingi sana mkuu watoto wa kiislamu wanaolewa kwa kununuliwa kitabu cha msahafu tu awe anajisomea nyumbani kwake neno la Mungu.
Imagine msahafu unaweza ukanunuliwa kwa shilingi elfu 3 hadi 5 tu na unapata mke mtiifu kabisa kwako na bikra. Hawa wa mahari milioni na nusu hawaolewi na wakiolewa unakuta ni bwawa amepigwa miti ya kutosha tu na bado hatulii ndani.