Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Yaani ma bro wa Ubungo hawatongozi kabisa yani, mnatuangusha washua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are very young at heart.62, mbezi mwisjo, Wife died of accidemt 26 yeats ago, any takers?
Sitaki long distance relationship .Nna vigezo vyote ila shida nipo CHATO
Hapana find your agemateMuwe mlalegeza masharti wengine tuko kwenye 30s lkn tushachoshwa nahivi vitoto tunataka watu wazima kama nyie tupumzike
Yaani unauliza station diary kwa Kingai!!Huko kuishi pamoja kuna jumuisha kula mzigo ??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aise kama huna mpango wa kuzaa kabisa njoo pm tuanze kula bata na kusafiri dunia
Njoo pm mremboMimi nahitaji sponsor wapendwaa umri awe kuanzia 45 to 60.
Wee mrembo upo jamani....za miaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unataka kuoa au kuolewa? Unaweza kumpangiaje mume sehemu ya kuishi au dini wakati wewe ndo mwenye shida? You are not serious my daughter na wakati wako wa kumpata akufaaye ima haujafika au umefika ila hujui. Acha masharti na maringo utaozea hapoAwe 40 to 50
Christian
Awe anaishi Ubungo au Kinondoni
Awe tayari kuishi pamoja
Mimi mwanamke mtu mzima
40 yrs
No kids
Christian
Naishi Ubungo
Ulitaka nisemeje??Unataka kuoa au kuolewa? Unaweza kumpangiaje mume sehemu ya kuishi au dini wakati wewe ndo mwenye shida? You are not serious my daughter na wakati wako wa kumpata akufaaye ima haujafika au umefika ila hujui. Acha masharti na maringo utaozea hapo
Pensheni bado ipo?62, mbezi mwisjo, Wife died of accidemt 26 yeats ago, any takers?
Nilitaka ueleze tatizo lako na kuacha wenye majibu wayatoe. Mie nilipomua nyanya yako, alitulia wala hakuniwekea masharti ya sharti uwe dini hii au uishi mtaa ule au uwe na kazi gani. Unapata wapi jeuri hii wakati wewe ndo mwenye shida binti yangu. Anaweza akaishi Kipunguni hata akawa muislam ukambadilisha kama una mikakati tosha hasa ukizingatia mwenye mapenzi haoni wala hasikii hata kama ana macho na masikio binti yangu. Hapa kumbuka, nakufunda bure. Waswahili wanasema ukiona atafuaye anachoka jua kapata.Ulitaka nisemeje??
Hufai. kama unataka makalio si kamuoe faru au kibokoVigezo nimetimiza Dada nauliza kalio lipo la kutosha? sio nakutafuta nakukuta kalio kama dereva muendesha mtambo wa kushindilia barabara.
Sitaki kuwa msumbufu,sipendi mahusiano ya mbali.Nilitaka ueleze tatizo lako na kuacha wenye majibu wayatoe. Mie nilipomua nyanya yako, alitulia wala hakuniwekea masharti ya sharti uwe dini hii au uishi mtaa ule au uwe na kazi gani. Unapata wapi jeuri hii wakati wewe ndo mwenye shida binti yangu. Anaweza akaishi Kipunguni hata akawa muislam ukambadilisha kama una mikakati tosha hasa ukizingatia mwenye mapenzi haoni wala hasikii hata kama ana macho na masikio binti yangu. Hapa kumbuka, nakufunda bure. Waswahili wanasema ukiona atafuaye anachoka jua kapata.
Ya karibu unayo? Kumbe hutafuti mme umri huo unatafuta hawara japo ushazeeka? Haya endelea ila utayakumbuka maneno hayaSitaki kuwa msumbufu,sipendi mahusiano ya mbali.
Hah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Matumizi utatoa wewe au?