Mwanaume wa ukweli huvaa kwanza nguo halafu ndio anapaka mafuta kwa sehemu zinazoonekana!

Mwanaume wa ukweli huvaa kwanza nguo halafu ndio anapaka mafuta kwa sehemu zinazoonekana!

Endeleeni kudanganyana under 22. Sijui mwanaume wa kweli afanyeje?. Mwanaume na pesa na nguvu za kiume,basi. Mengine mbwembwe tu.

Hizo zingine sijui mwanaume usipake mafuta. Sijui upake ukivaa nguo. Wewe ni mchafu sana,utapakiaje mafuta kwenye nguo?
 
Kila mtu aishi kadri impendezavyo tusipangiane maishe huwezi kumpangia mtu afanye nini na ngozi yake mimi naupaka mafuta mpaka ub**
 
ushamba tu, wengi mnatafsir mwanaume ni kiumbe flani aliyefanana na gogo, why nisiupake mwili wangu mafuta kwa bendera ya uanaume, wagumu komaeni na ugumu wenu, mm sio mgumu, mm ni msela ad msela tena na mafuta napaka mwili mzima
 
Ila kwel kupaka makalio mafuta ni somo gumu kama hesabu,hasa makalio hayafai kushikwashikwa maana yanaweza zoea tabia mbaya...kwanza mwanaume unaanzanje kushika makalio yako,ili iweje
 
Hoja ni kupaka mafuta (au kutopaka mafuta), baada ya kuoga na tayari kutoka either kwenda kazini au kwenye mishe zingine, Hili swala la uchafu linaingia vipi?
Kuoga au kujimwagia maji!!? Mtu anaoga wima, sabuni inafika mpk kwenye kifua tu...passport size 🤢
 
Hayo ni mawazo ya kiazamani sana kwamba mwanaume kamili ,,
-hawezi kuwa mtanashati.
  • hapaki lotion
  • hatumii dawa ya meno akipiga mswaki,,anatumia mkaa au chumvi.
-hajiangalii kwenye kioo.
-akioga anatumia sabuni mbuni au mbunju.,
- hapaki perfume au deodorant.

-
 
Hizi ni sifa za vijana wanaoshinda gheto bila kazi. Ukiwa mwanaume halisi mwenye mwanamke saa ngapi na wapi mtachunguzana mtindo wa kupaka mafuta? Mke ndo anajua hayo mambo na ndo anakuandalia hayo mafuta.
 
ushamba tu, wengi mnatafsir mwanaume ni kiumbe flani aliyefanana na gogo, why nisiupake mwili wangu mafuta kwa bendera ya uanaume, wagumu komaeni na ugumu wenu, mm sio mgumu, mm ni msela ad msela tena na mafuta napaka mwili mzima
Unajipaka na matako?
 
Kikubwa ananipiga miti hadi narusha maji. Sasa wewe endelea kutokutunza ngozi yako kwa kigezo kwamba itakufanya kuwa mwanaume rijali. Shoga ni shoga tu
Umemjibu vizuri sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom