Mwanaume wangu hataki kufanya kazi. Mimi ndiyo na mlea na mtoto wangu, naombeni ushauri wenu

Mwanaume wangu hataki kufanya kazi. Mimi ndiyo na mlea na mtoto wangu, naombeni ushauri wenu

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Habari kaka... naomba ushauri mimi ni mama wa mtoto mmoja nina miaka 25
1733684410443.jpg

Nina ishi na mpenzi wangu niliezaa nae tunamiaka 8 mpaka sasa. Naomba ushauri kwani mimi najiona kabisa nakaribia kukata tamaa huyu kaka toka nimekua nae kwenye mahusiano alikuaga hana kazi mimi nikajitahidi pale nilipokuaga nafanyia kazi mimi kuna duka la nguo lilikua linahitaji kijana wa kuuza pale ikabidi nimtafte boss mwenyewe nikaongea nae nkamuelezea vizuri akanielewa na aka ruhusu nimlete huyo kaka basi kaanza kazi pale.

Kama unavojua pesa mwanarahamu alipata vi pesa vya kua anabadili nguo na chakula wakati huo mimi tayari ni mjamzito nipo tu nyumbani akawa ananihudumia lakini alianza kua malaya kama mbwa

Yani mpaka inafika hatua nampigia simu wanapokea wanawake na kuanza kunicheka nilikua najisikia vibaya sana akija nikimuuliza anasema simu aliacha chaji basi mimi nikawa namuelewa tu tumekaa mpaka mimba imefika wakati wa kujifungua.

Akasimamishwa kazini sikujua shida ni nini yeye akasema boss anafunga duka basi sikutaka kufatilia sana.. nlijifungua mtoto yule kaka hakua na kazi yoyote nikaenda kukaa kwao mpaka mtoto alivofikisha mwaka nikaenda kukaa nae kwake.

Nikatafuta kazi nikapata nikawa nafanya kazi nahudumia mwanangu na baba ake nlikua nafanya hivyo nikiamini ni kipindi cha mpito tu labda atajitahidi kutafuta kazi lakini kaka mpaka leo mwanaume hajishughulishi na chochote mimi ndio kila kitu nyumbani hata pesa ya kumlipia mtoto shule alikua hatoi mpaka leo mtoto kamaliza chekechekea mwakani anaanza la kwanza lakini baba yupo tu

Hanipi pesa hatoi pesa ya kodi wala kufanya chochote yani yupo tu yeye ni kula kuoga na kwenda vijiweni mpaka usiku kaka ii hali inaniumiza sana nawaza nimuache bora nibaki tu mwenyewe maana hakuna anachonisaidia naomba unishauli nifanyeje.... ficha jina langu
 
Habari kaka... naomba ushauri mimi ni mama wa mtoto mmoja nina miaka 25View attachment 3172600 nina ishi na mpenzi wangu niliezaa nae tunamiaka 8 mpaka sasa. Naomba ushauri kwani mimi najiona kabisa nakalibia kukata tamaa huyu kaka toka nimekua nae kwenye mahusiano alikuaga hana kazi mimi nikajitahidi pale nlipokuaga nafanyia kazi mimi kuna duka la nguo lilikua linahitaji kijana wa kuuza pale ikabidi nimtafte boss mwenyewe nkaongea nae nkamuelezea vizuri akanielewa na aka ruhusu nimlete huyo kaka basi kaanza kazi pale kama unavojua pesa mwanarahamu alipata v pesa vya kua anabadili nguo na chakula wakati huo mimi tayal ni mjamzito nipo tu nyumban akawa ananihudumia lakini alianza kua malaya kama mbwa

Yani mpaka inafika hatua nampigia simu wanapokea wanawake na kuanza kunicheka nlikua najisikia vibaya sana akija nikimuuliza anasema simu aliacha chaji basi mimi nkawa namuelewa tu tumekaa mpaka mimba imefika wakati wa kujifungua akasimamishwa kazini sikujua shida ni nn yeye akasema boss anafunga duka bas sikutaka kufatilia sana.. nlijifungua mtoto yule kaka hakua na kazi yoyote nkaenda kukaa kwao mpaka mtoto alivofikisha mwaka nkaenda kukaa nae kwake nkatafta kazi nikapata nkawa nafanya kazi nahudumia mwanangu na baba ake nlikua nafanya hivo nikiamini ni kipindi cha mpito tu labda atajitahidi kutfta kazi lakin kaka mpaka leo mwanaume hajishughulishi na chochote mimi ndio kila kitu nyumbani hata pesa ya kumlipia mtoto shule alikua hatoi mpaka leo mtoto kamaliza chekechekea mwakan anaanza la kwanza lakini baba yupo tu hanipi pesa hatoi pesa ya kodi wala kufanya chochote yani yupo tu yeye ni kula kuoga na kwenda vijiweni mpaka usiku kaka ii hari inaniumiza sana nawaza nimuache bora nibaki tu mwenyew maana hakuna anachonisaidia naomba unishauli nifanyeje.... ficha jina langu
Usimuache bhana,hilo sio kosa la kuachana,endelea kumpa elimu tu Kuna muda atakuelewa.
 
Nikatafuta kazi nikapata nikawa nafanya kazi nahudumia mwanangu na baba ake nlikua nafanya hivyo nikiamini ni kipindi cha mpito tu labda atajitahidi kutafuta kazi lakini kaka mpaka leo mwanaume hajishughulishi na chochote mimi ndio kila kitu nyumbani hata pesa ya kumlipia mtoto shule alikua hatoi mpaka leo mtoto kamaliza chekechekea mwakani anaanza la kwanza lakini baba yupo tu
Hapo ulikutana na mtoto aliyelelewa na single maza.
 
Habari kaka... naomba ushauri mimi ni mama wa mtoto mmoja nina miaka 25View attachment 3172600
Nina ishi na mpenzi wangu niliezaa nae tunamiaka 8 mpaka sasa. Naomba ushauri kwani mimi najiona kabisa nakaribia kukata tamaa huyu kaka toka nimekua nae kwenye mahusiano alikuaga hana kazi mimi nikajitahidi pale nilipokuaga nafanyia kazi mimi kuna duka la nguo lilikua linahitaji kijana wa kuuza pale ikabidi nimtafte boss mwenyewe nikaongea nae nkamuelezea vizuri akanielewa na aka ruhusu nimlete huyo kaka basi kaanza kazi pale.

Kama unavojua pesa mwanarahamu alipata vi pesa vya kua anabadili nguo na chakula wakati huo mimi tayari ni mjamzito nipo tu nyumbani akawa ananihudumia lakini alianza kua malaya kama mbwa

Yani mpaka inafika hatua nampigia simu wanapokea wanawake na kuanza kunicheka nilikua najisikia vibaya sana akija nikimuuliza anasema simu aliacha chaji basi mimi nikawa namuelewa tu tumekaa mpaka mimba imefika wakati wa kujifungua.

Akasimamishwa kazini sikujua shida ni nini yeye akasema boss anafunga duka basi sikutaka kufatilia sana.. nlijifungua mtoto yule kaka hakua na kazi yoyote nikaenda kukaa kwao mpaka mtoto alivofikisha mwaka nikaenda kukaa nae kwake.

Nikatafuta kazi nikapata nikawa nafanya kazi nahudumia mwanangu na baba ake nlikua nafanya hivyo nikiamini ni kipindi cha mpito tu labda atajitahidi kutafuta kazi lakini kaka mpaka leo mwanaume hajishughulishi na chochote mimi ndio kila kitu nyumbani hata pesa ya kumlipia mtoto shule alikua hatoi mpaka leo mtoto kamaliza chekechekea mwakani anaanza la kwanza lakini baba yupo tu

Hanipi pesa hatoi pesa ya kodi wala kufanya chochote yani yupo tu yeye ni kula kuoga na kwenda vijiweni mpaka usiku kaka ii hali inaniumiza sana nawaza nimuache bora nibaki tu mwenyewe maana hakuna anachonisaidia naomba unishauli nifanyeje.... ficha jina langu
Umeshajiita magical power… endelea kulea una nguvu za ajabu
 
Habari kaka... naomba ushauri mimi ni mama wa mtoto mmoja nina miaka 25View attachment 3172600
Nina ishi na mpenzi wangu niliezaa nae tunamiaka 8 mpaka sasa. Naomba ushauri kwani mimi najiona kabisa nakaribia kukata tamaa huyu kaka toka nimekua nae kwenye mahusiano alikuaga hana kazi mimi nikajitahidi pale nilipokuaga nafanyia kazi mimi kuna duka la nguo lilikua linahitaji kijana wa kuuza pale ikabidi nimtafte boss mwenyewe nikaongea nae nkamuelezea vizuri akanielewa na aka ruhusu nimlete huyo kaka basi kaanza kazi pale.

Kama unavojua pesa mwanarahamu alipata vi pesa vya kua anabadili nguo na chakula wakati huo mimi tayari ni mjamzito nipo tu nyumbani akawa ananihudumia lakini alianza kua malaya kama mbwa

Yani mpaka inafika hatua nampigia simu wanapokea wanawake na kuanza kunicheka nilikua najisikia vibaya sana akija nikimuuliza anasema simu aliacha chaji basi mimi nikawa namuelewa tu tumekaa mpaka mimba imefika wakati wa kujifungua.

Akasimamishwa kazini sikujua shida ni nini yeye akasema boss anafunga duka basi sikutaka kufatilia sana.. nlijifungua mtoto yule kaka hakua na kazi yoyote nikaenda kukaa kwao mpaka mtoto alivofikisha mwaka nikaenda kukaa nae kwake.

Nikatafuta kazi nikapata nikawa nafanya kazi nahudumia mwanangu na baba ake nlikua nafanya hivyo nikiamini ni kipindi cha mpito tu labda atajitahidi kutafuta kazi lakini kaka mpaka leo mwanaume hajishughulishi na chochote mimi ndio kila kitu nyumbani hata pesa ya kumlipia mtoto shule alikua hatoi mpaka leo mtoto kamaliza chekechekea mwakani anaanza la kwanza lakini baba yupo tu

Hanipi pesa hatoi pesa ya kodi wala kufanya chochote yani yupo tu yeye ni kula kuoga na kwenda vijiweni mpaka usiku kaka ii hali inaniumiza sana nawaza nimuache bora nibaki tu mwenyewe maana hakuna anachonisaidia naomba unishauli nifanyeje.... ficha jina langu
Stori za kutunga hizi zakutafutia Followers na likes
 
umeanza kutumika uke wako ukiwa chini ya miaka 18, alafu eti unataka kumuacha jamaa mm ndio nije nikuoe? duh! single mother mtarajiwa! hapana! miaka 8 umekung'utwa kei haswa. kweli kuna umuhimu wa kuoa 0-mileage.
 
Habari kaka... naomba ushauri mimi ni mama wa mtoto mmoja nina miaka 25View attachment 3172600
Nina ishi na mpenzi wangu niliezaa nae tunamiaka 8 mpaka sasa. Naomba ushauri kwani mimi najiona kabisa nakaribia kukata tamaa huyu kaka toka nimekua nae kwenye mahusiano alikuaga hana kazi mimi nikajitahidi pale nilipokuaga nafanyia kazi mimi kuna duka la nguo lilikua linahitaji kijana wa kuuza pale ikabidi nimtafte boss mwenyewe nikaongea nae nkamuelezea vizuri akanielewa na aka ruhusu nimlete huyo kaka basi kaanza kazi pale.

Kama unavojua pesa mwanarahamu alipata vi pesa vya kua anabadili nguo na chakula wakati huo mimi tayari ni mjamzito nipo tu nyumbani akawa ananihudumia lakini alianza kua malaya kama mbwa

Yani mpaka inafika hatua nampigia simu wanapokea wanawake na kuanza kunicheka nilikua najisikia vibaya sana akija nikimuuliza anasema simu aliacha chaji basi mimi nikawa namuelewa tu tumekaa mpaka mimba imefika wakati wa kujifungua.

Akasimamishwa kazini sikujua shida ni nini yeye akasema boss anafunga duka basi sikutaka kufatilia sana.. nlijifungua mtoto yule kaka hakua na kazi yoyote nikaenda kukaa kwao mpaka mtoto alivofikisha mwaka nikaenda kukaa nae kwake.

Nikatafuta kazi nikapata nikawa nafanya kazi nahudumia mwanangu na baba ake nlikua nafanya hivyo nikiamini ni kipindi cha mpito tu labda atajitahidi kutafuta kazi lakini kaka mpaka leo mwanaume hajishughulishi na chochote mimi ndio kila kitu nyumbani hata pesa ya kumlipia mtoto shule alikua hatoi mpaka leo mtoto kamaliza chekechekea mwakani anaanza la kwanza lakini baba yupo tu

Hanipi pesa hatoi pesa ya kodi wala kufanya chochote yani yupo tu yeye ni kula kuoga na kwenda vijiweni mpaka usiku kaka ii hali inaniumiza sana nawaza nimuache bora nibaki tu mwenyewe maana hakuna anachonisaidia naomba unishauli nifanyeje.... ficha jina langu
Sasa hiyo sindiyo haki sawa mbona sisi wanaume tunalea mke na watoto bila ya mke kuchangia pesa
 
Back
Top Bottom