Mwanaume wangu kafulia, simpendi tena kama zamani. Nifanyeje?

Maniner
 
Hivi unawezaje kuandika ujinga wako kwenye mtandao!? Huwezi kumufichia Siri mmeo!! Kizazi Cha hovyo kabisa!! Usimwache huyo mwanaume, inaoneka amekuwa akivumilia ujinga mwingi kutoka kwako!! huko unakotamani kwenda, sizani kama utavumiliwa.
 


Ulaaniwe kabisa na laana isikuache kamwe, na hutakaa uone maisha dunia hii.
 
Achana naye uende ukazitafute mwenyewe. Kuzitafuta mbona rahisi tu.
 
Kwani unajiuza kwake? Wewe Una kipi cha ku-offer? Aaaghh wanawake
 
Njoo kwangu mrembo, nikutunze, utang'aa kama malaika!!

Karibu mrembo PM iko wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…