Mwanaume wewe ni mwamba, kichwa na kiongozi. Kaa kwenye nafasi yako

Mwanaume wewe ni mwamba, kichwa na kiongozi. Kaa kwenye nafasi yako

Judithkaunda

Member
Joined
Aug 21, 2022
Posts
90
Reaction score
231
Habari wana JF,

Ni asili ya mwanaume kuanzisha mahusiano na mwanamke ndio mwenye maamuzi ya kukubali au kukataa, hata kama mwanamke ataanza kumpenda mwanaume ni vema kusubili mwanaume aanze kwasababu yeye ndiyo dereva anatakiwa kuwa na uhakika wa safari yenu na ramani ya huko mnakoelekea.

Mwanamke anapoamua kuingia kwenye ndoa anaingia na mtazamo huu kichwani kwake.
Tunajua nyinyi wanaume mnajua kila kitu kuhusu maisha, mnajua tunachotakiwa kufanya, mnajua tunakotakiwa kufika kama familia.

Kwasababu hatukuwahi kuona mnafundwa wala kupelekwa kwa somo kabla ya ndoa. Wakati najifunza kuishi na mtu tofauti na familia yangu kw aukaribu nategemea pale ninapokosea unifundishe na kunielekeza kwasababu tunaamini mwanaume anamajibu ya maswali yote.

Sasa shida inakuja pale mwanaume anapoingia kwenye majukumu hayo wakati hajui kitu, ni mbaya sana mwanamke akigundua wewe hujui chochote.

Mwanaume hakikisha una maono na unasimama kwenye nafasi yako kama dereva mwenye ramani ya kule mnakotakiwa kufika, usiyumbishwe na kelele za konda ni kawaida yetu kupiga kelele.

Lakini kama mwanamke akigundua hata wewe hujui mnakotakiwa kwenda ataanza kukuelekeza kwasababu wanawake hatukubali kuingizwa chaka, na hapo ndipo wanawake tunakosea kwasababu tunahitaji hekima zaidi kukuelekeza hadi mtuelewe.

Ni kweli mapenzi hayana mwenyewe unaweza kumpenda yoyote umtakae, lakini kati ya mahusiano yenye wakati mgumu zaidi ni yale ambayo mwanamke kamzidi umri mwanaume, kwasababu ni asili ya mwanaume kuwa kiongozi haijalishi mwanamke anawezo kiasi gani.

Kama mwanamke atakuzidi sana umri safari yenu itakuwa ngumu sana kwasababu yeye atakuwa tayari anapajua zaidi huko mnakokwenda na lazima umsikilize mwenyeji, na hapo utatumia nguvu nyingi kuonyesha uanaume wako.

Mwanaume simama kwenye nafasi yako, wewe ni mwamba.
 
Habari Wana JF, Ni asili ya mwanaume kuanzisha mahusiano na mwanamke ndio mwenye maamuzi ya kukubali au kukataa, hata kama mwanamke ataanza kumpenda mwanaume ni vema kusubili mwanaume aanze kwasababu yeye ndio dereva anatakiwa kuwa na uhakika wa safari yenu na ramani ya huko mnakoelekea.
Andiko zuri shida hawa wavulana wa JF watakuelewa?
 
Habari Wana JF, Ni asili ya mwanaume kuanzisha mahusiano na mwanamke ndio mwenye maamuzi ya kukubali au kukataa, hata kama mwanamke ataanza kumpenda mwanaume ni vema kusubili mwanaume aanze kwasababu yeye ndio dereva anatakiwa kuwa na uhakika wa safari yenu na ramani ya huko mnakoelekea.

Mwanamke anapoamua kuingia kwenye ndoa anaingia na mtazamo huu kichwani kwake
Tunajua nyinyi wanaume mnajua Kila kitu kuhusu maisha, mnajua tunachotakiwa kufanya, mnajua tunakotakiwa kufika kama familia.
Kwasababu hatukuwahi kuona mnafudwa Wala kupelekwa kwa somo kabla ya ndoa.
Wakati najifunza kuishi na mtu tofauti na familia yangu kwaukaribu nategemea pale napokosea unifundishe na kunielekeza kwasababu tunaamie mwanaume anamajibu ya maswali yote.

Sasa shida inakuja pale mwanaume anapoingia kwenye majukumu hayo wakati hajui kitu, ni mbaya sana mwanamke akigundua wewe hujui chochote.

Mwanaume hakikisha una vision na unasimama kwenye nafasi yako kama dereva mwenye ramani ya kule mnakotakiwa kufika, usiyumbishwe na kelele za konda nikawaida yetu kupiga kelele.

Lakini Kama mwanamke akigundua hata wewe hujui mnakotakiwa kwenda ataanza kukuelekeza kwasababu wanawake hatukubali kuingizwa chaka, na hapo ndipo wanawake tunakosea kwasababu tunahitaji hekima zaidi kukuelekeza hadi mtuelewe.

Ni kweli mapenzi hayana mwenyewe unaweza kumpenda yoyote umtakae, lakini kati ya mahusiano yenye wakati mgumu zaidi ni yale ambayo mwanamke kamzidi umri mwanaume, kwasababu ni asili ya mwanaume kuwa kiongozi haijalishi mwanamke anawezo kiasi gani, kama mwanamke atakuzidi sana umri safari yenu itakuwa ngumu sana kwasababu yeye atakuwa tayari anapajua zaidi huko mnakokwenda na lazima umsikilize mwenyeji, na hapo utatumia nguvu nyingi kuonyesha uanaume wako.

Mwanaume simama kwenye nafasi yako wewe ni mwamba.
Thanks for this , i needed to hear this , hapa nimeamka na dilemma na mwanamke wangu ana ni stress over small stuffs but mm nampima koz pia ndio nataka nimfanye wifey, nashindwa kuelewa akili za wanawake , you guys are complicated
 
Thanks for this , i needed to hear this , hapa nimeamka na dilemma na mwanamke wangu ana ni stress over small stuffs but mm nampima koz pia ndio nataka nimfanye wifey, nashindwa kuelewa akili za wanawake , you guys are complicated
Tafuta kitabu Kinaitwa The unplug Alpha
 
Hii post ya msingi sana, shida wanaume wenyew wa jf sasa [emoji23] washakua compromised
 
Habari Wana JF,

Ni asili ya mwanaume kuanzisha mahusiano na mwanamke ndio mwenye maamuzi ya kukubali au kukataa, hata kama mwanamke ataanza kumpenda mwanaume ni vema kusubili mwanaume aanze kwasababu yeye ndio dereva anatakiwa kuwa na uhakika wa safari yenu na ramani ya huko mnakoelekea.

Mwanamke anapoamua kuingia kwenye ndoa anaingia na mtazamo huu kichwani kwake
Tunajua nyinyi wanaume mnajua Kila kitu kuhusu maisha, mnajua tunachotakiwa kufanya, mnajua tunakotakiwa kufika kama familia.
Kwasababu hatukuwahi kuona mnafudwa Wala kupelekwa kwa somo kabla ya ndoa.
Wakati najifunza kuishi na mtu tofauti na familia yangu kwaukaribu nategemea pale napokosea unifundishe na kunielekeza kwasababu tunaamie mwanaume anamajibu ya maswali yote.

Sasa shida inakuja pale mwanaume anapoingia kwenye majukumu hayo wakati hajui kitu, ni mbaya sana mwanamke akigundua wewe hujui chochote.

Mwanaume hakikisha una vision na unasimama kwenye nafasi yako kama dereva mwenye ramani ya kule mnakotakiwa kufika, usiyumbishwe na kelele za konda nikawaida yetu kupiga kelele.

Lakini Kama mwanamke akigundua hata wewe hujui mnakotakiwa kwenda ataanza kukuelekeza kwasababu wanawake hatukubali kuingizwa chaka, na hapo ndipo wanawake tunakosea kwasababu tunahitaji hekima zaidi kukuelekeza hadi mtuelewe.

Ni kweli mapenzi hayana mwenyewe unaweza kumpenda yoyote umtakae, lakini kati ya mahusiano yenye wakati mgumu zaidi ni yale ambayo mwanamke kamzidi umri mwanaume, kwasababu ni asili ya mwanaume kuwa kiongozi haijalishi mwanamke anawezo kiasi gani, kama mwanamke atakuzidi sana umri safari yenu itakuwa ngumu sana kwasababu yeye atakuwa tayari anapajua zaidi huko mnakokwenda na lazima umsikilize mwenyeji, na hapo utatumia nguvu nyingi kuonyesha uanaume wako.

Mwanaume simama kwenye nafasi yako wewe ni mwamba.
love this ❤️
 
Back
Top Bottom