Mwanausalama Tanzania aaibika kutumia nguvu na mwanausalama wa Obama kumlinda mwandishi

Mwanausalama Tanzania aaibika kutumia nguvu na mwanausalama wa Obama kumlinda mwandishi

Tatizo wabongo hatupendani.!

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Kama amemtendea hivyo mwandishi wa Uhuru, huyo mwanausalama hana kazi baada ya ziara ya Obama.
 
Angetolewa aiseee...huwa matumizi ya nguvu na ubabe ni makubwa sana nchini kuliko uhalali,haki na hoja!..safii FBI
 
mbopna ni swala dogo tu na ni mistake ya kawaida tu na kulingana na uzito wa ugeni any mistake it could be done.
 
Huyo mwandishi ana bahati sana anatokea UHURU.......ingekuwa TANZANIA DAIMA.....Mmmh
 
nnachowapendea wamarekani ndo hapo, they adore proffessionalism. hawafanyi kazi kihunihuni kama kina kamuhanda.
 
Hapo najua jamaa alimalizia kwa kusema " Maam' I am sorry for that incident kindly get in and execute your job..." Jamaa wa UWT alinunaje vile!
 
Ndivyo mnavyofundishwa katika utendaji wenu? Haya ni maneno mazito sana kuhusu maafisa wa usalama wetu.
Mwanausalama wetu alijibu 'NDIO TUNAVYOFUNDISHWA IKIWA NI PAMOJA NA KUNG'OA WATU KUCHA NA MENO KITUO CHETU KIKUBWA KIKO PALE MAMBWEPANDE'.
 
Nna mpango wa kuanza kujitambulisha kama mzimbabwe. Hizi aibu zinachosha. Why do you need to push a lady?
 
AH AH NIMEFURAHI SANA HATA MIPOLICCM ILIPIGWA MARUFUKU KUHUSIKA UWANJA WA NDEGE,

SAFI SANa FBI VERY BRIGHT KTK MASUALA YA USALAMA LKN POLICCM AKILI ZMELALA MASABULINI
walijua kabisa kwamba policcm intelijensia yao ni sufuri, sana sana wangewaharibia , wakawapiga chini.
 
Umeambiwa usiende pale kama hujaruhusiwa, wewe kwaumwamba wako unaenda,tutakupiga tu,ikibidi tunakuuwa tu kwani nini tushachoka.
 
usalama wa Tz ni mwepesi sana, walifundishwa kupiga,kusukuma, kuvujisha siri,............................,
 
tanzania tunatumia nguvu nyingi kuliko akili tukidhani sifa kumbe ujinga
 
Back
Top Bottom