Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo mnavyofundishwa katika utendaji wenu? Haya ni maneno mazito sana kuhusu maafisa wa usalama wetu.
Ndivyo mnavyofundishwa katika utendaji wenu? Haya ni maneno mazito sana kuhusu maafisa wa usalama wetu.
Mwanausalama wetu alijibu 'NDIO TUNAVYOFUNDISHWA IKIWA NI PAMOJA NA KUNG'OA WATU KUCHA NA MENO KITUO CHETU KIKUBWA KIKO PALE MAMBWEPANDE'.Ndivyo mnavyofundishwa katika utendaji wenu? Haya ni maneno mazito sana kuhusu maafisa wa usalama wetu.
Huyo mwandishi ana bahati sana anatokea UHURU.......ingekuwa TANZANIA DAIMA.....Mmmh
walijua kabisa kwamba policcm intelijensia yao ni sufuri, sana sana wangewaharibia , wakawapiga chini.AH AH NIMEFURAHI SANA HATA MIPOLICCM ILIPIGWA MARUFUKU KUHUSIKA UWANJA WA NDEGE,
SAFI SANa FBI VERY BRIGHT KTK MASUALA YA USALAMA LKN POLICCM AKILI ZMELALA MASABULINI
Uhuru gazet kongwe la chama cha mapinduzi.....