hakomana sekemesekeme
JF-Expert Member
- Oct 15, 2023
- 646
- 1,568
inshu Yako imekaa kishamba sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁 kwel mwenyekiti umeanza kuzeeka😀 😀 😀bhasi mariam mabirianiiii
Na wale ambayo hawana waposti nn?Picha ya mwanamke bila takko ya kazi gani sasa......
Kila nikipita kwenye mitandao kuanzia Instagram, Twitter ( X ), Facebook n.k kote huko kwa asilimia kubwa unakuta Picha au clip ya demu akionesha makalio bila aibu
Sasa najiuliza ni matangazo au ni Nini???, au ndio Dunia unaelekea mwishoni???
Wengine mpk skuizi wanaenda kufanya upasuaji ( surgery ) ili awe na Tako kubwa ili kuleta ushawishi mfano yule aliyekuwa anatoka na mchizi wa radio Fulani maarufu anafanya kipindi Cha michezo ( Za ndaaani )
Ni wazi dunia inaelekea mwishoni coz watu wanakulana Sanaa 0713, bisha Sana ila huo ndio ukweli
Mfano mdogo TU hata hapa Jf ikitokea mtu kaleta mada hizo watu wengi wanachangia kwa Sanaa Yani, sio KE Wala ME.
Hata vitendo vya ulawiti vinakuwa kwa Kasi ya 5g kila siku ni tukio juu ya tukio, Mwenyezi Mungu atunusuru
Siku zote dalili ya mvua ni mawingu
Wapost tu passport sizeNa wale ambayo hawana waposti nn?
Oyaa lile dude sio poa kama kibamia hamna utakachofanya aisee
😅😅😅😅Tupia picha tuone mfano wanabinuaje
😅😅😅😅Jitahidini picha na video za hao wapiga picha za maumbo yao ziwe nyingi hapa ili tujue tunaweza kutatua vipi hili tatizo
Uhakika mkuu lkn walau atekenywe inatosha sana 😅😅Oyaa lile dude sio poa kama kibamia hamna utakachofanya aisee
Wewe utadhani anatafuta wanaume ila yeye anapenda vile unampapatikia inboxDuuh basi nakubaliana na ile kauli ya saikolojia ya mwanamke ni ngumu Sanaa kuielewa
Lile dude sio poaOyaa lile dude sio poa kama kibamia hamna utakachofanya aisee
Akili kumkichwa kwakweliWewe utadhani anatafuta wanaume ila yeye anapenda vile unampapatikia inbox