Mwandishi Ansbert Ngurumo apewa hifadhi kwa usalama wake nchini Finland

Hukuona mrejesho wa jarisa kutoka Finland!?? Acha propaganda za kikuda.
 

LUMUMBA street
Buku 7 kwa siku
Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91]
 

Kuomba ukimbizi sio hiyari....lazima kuwe na sababu ya msingi ili hata maombi yako yapokelewe
 

Povu lote la nn bro!
 
Sikiliza wewe mpumbavu, naona mmewaka hasira Baada ya kuikosa damu yake, na wewe unaonekana kabisa kuwa upo ktk kundi la wauaji hatari mnaotumwa na Magufuli.
Chukieni mchukiavyo, Roho ya Ngurumo ipo salama, mlimuua Azory na kumpoteza mmemshindwa Ngurumo.
huyo ana rafiki zake wapo TISS ndo walimwokoa.
Hamtakaa mumwone tena Ngurumo, yupo salama, Endeleeni kutafuta Wengine wa kuua.
Ngurumo kapewa hifadhi ya kimataifa, kama hutaki andamana
 
Nimependa ulivyojenga hoja.
 
Punguza hasira mkuu.
 
Mi nilijua tu, tena siku hizi ni ngumu kwelikweli. Kuna jamaa toka Congo nilikuwa nao Ujeruman it took them 3 years na majibu yalikuwa negative, na walikuwa deported. Ngoja tumsubiri arudishwe
Kwani NN na MM walipataje ukimbizi USA na Canada respectively?
 
Kama kweli alikuwa anafuatiliwa na Wasiojulikana, alichotakiwa kufanya ni kutoa taarifa kwa mamlaka husika na kukaa kusubiria lolote.

Kukimbia kama hivyo alivyofanya sio sawa kabisa.
 
NAONA KUNA MAOFISA WA UHAMIAJI WA FINLAND HAPA WANATOA MAJIBU YA NGURUMO.....lets be positive thewre case by case ....huwezi kugeneralize
 
Yaani ndo kusema roho imekuuma jamaa kunusurika kuuwawa/kutekwa sio?.watu mnaroho mbaya sana hivi nipesa kiasi gani unaweza kupewa kuuza utu wako na kuwa sehemu ya huu ujangili unaondelea.sjawahi kutukana humu lakini nyie mbwa mnaboa sana.nakaribia kupata ban siku4 si nyingi.mja wa laana wewe
 
Wewe kichaa tu kama yule anayewatuma wasiojulikana. Damu mlizokunywa bado hazijawatosha.
Tukaneni kwanza- mmemaliza? sasa naomba niwaulize Ansbert Ngurumo NI MWANDISHI WA HABARI, CHADEMA , ANU YOTE NI SAWA?
 
Wale wa risasi kukata kona!? Si bure umetoroka Mirembe wewe.
Huyo lisu ilitakiwa aende kutoa taarifa polisi sio kwenye mitandao na press conference. Wahusika wa lisu wako hukohuko chadema ndo maana wamemkimbiza hadi dereva wake.
 
Utakuwa umepungukiwa.

Kama ingekuwa ni rahisi kiasi hicho, Waafrika wangekuwa wamejaa huko. Ukumbuke kuwa huyu kwanza alikimbilia ubalozi kabla ya kupelekwa Ulaya.
Kimbilia na wewe basi,si mnafanya kusudi kuitukana serikali ili ukiomba hadhi ya ukimbizi ukubaliwe unaambatanisha na machapisho ya matusi unapata hadhi hiyo ya utumwa
 

Hivi kwanini mnawateka watu na kuwapoteza kwenye uso wa Dunia?
 
Hujui hata unachozungumza! Kwanza nikujulishe Ngurumo HAKUOMBA ukimbizi na wala hayuko huko kama mkimbizi. Soma tena uelewe yale maelezo. Amepewa protection (hifadhi) kwa kuwa yuko kwenye hatari katika nchi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…