Msakila KABENDE
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 510
- 314
So, pigeni kelele wengine wanaojenga reli ya mwendo mdundo Km 160/hr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanadhani watanzania wa leo wanababaishwa na ulaghai wa jumuiya za kimataifaHata Kambona alikimbia nchi lakini baadae akarudi akiwa amechoka ile mbaya!! Wanafikiri ni pa zuri sana kwa wazungu!
Aache kutuchulia! By the way, hivi wale wapemba waliokimbilia Mombasa mwaka 2001 walisharejee?Ni habari mbaya kwa nchi yetu inaendelea kuwa na hadhi mbaya ndani /nje ya mipaka yake. Maisha ya waandishi wa habari, wanasiasa na wanaharakati yamekuwa ya mashaka.
Mwanahabari Ansbert Ngurumo aliyewahi kuwa mhariri wa Magazeti ya Tanzania Daima na Mwanahalisi, amekimbilia nchini Finland na kupewa hifadhi huko, kwa muda alikuwa akisema anatishiwa kuuawa.
Habari zaidi soma=>Ansbert Ngurumo: Muda wowote naweza kufa maana natishiwa kifo
Tindu Lissu please endeleza maisha huko uliko,huku kunawafaa Mwigulu,Makonda na JPMNashauri Lisu asuridi Tanzania, hawa wauaji watammaliza. Atutetee akiwa huko , it will also give big impact!
Tundu Lisu atafuataNaamini huyu kawa wa kwanza tu ila kuna wengi watatafuta political asylum Ulaya na Marekani.
Exactly, this place is not safe anymore for Lisu!Tindu Lissu please endeleza maisha huko uliko,huku kunawafaa Mwigulu,Makonda na JPM
Na familiar yake!Hivi kapewa asylum yeye kama yeye ama na familia yake ?
Ukipewa asylum una option na kila haki ya kuchukua familia yako ukaishi nayo. Hii ni haki ya kila mkimbizi. Na utapewa nyumba ya kutosha familia nzima hata kama una baba na mama wazee wanaokutegea.Hivi kapewa asylum yeye kama yeye ama na familia yake ?
Basi wacha aishi huko tuuNa familiar yake!
Na umri huo kukimbiq nchi Ni mateso sana, Tanzania is the best place to live asikwambiye MTU. Nenda kokote duniani lakini home is the best. Huyo atatamani kurudi baada ya mwaka Mmoja.ulaya, marekani Ni kukaa kwa muda tu lakini siyo kuweka makazi ya kudumu.Watu kwa kutafuta umaarufu. Ansbert Ngurumo anatishiwa na nani, uchumi wa mfukuno kwake?
Haikubaliki utetezi wa namna hiyo.Watajitetea sisi tulikuwa tunatii mkuu wetu!
Bora kuliko kutupwa Cocobeach.Sasa hivi ataanza kelele tena.atapokelewa km wakimbizi wengine kutoka Iran ,Syria na kwingineko,atafuata taaratibu zote za kikimbizi ikiwa ni pamoja na kulazwa kwenye MA camp.
Wakati wa awamu ya tatu ya Mkapa wapemba walikimbilia UK wengi tu lakini hakuna walichosaidia kuiharibu nchi yetu! TZ iliendelea kug'aa tu. Wengine wapo mpaka leo wanabeba mabox na kuogesha vizee vya kizungu. Na huyo mwandishi baadae ataanza kubeba mabox na kuogesha vizee vya kizungu! Hapa kazi tu!!Wengi watakutwa na hali hiyo, vijana wengi wataanza kujiripua kwa maana taswira ya TZ kimataifa imeanza kuchafuka. watu wataendelea kubisha ila ukweli ndio huo
Definition ya ukimbizi inaeleweka vizuri au...tunaandika tu ukimbizi.
Still Tanzania is the best place to live ever seen
Tabia mbaya sana hii. Kupeleka watu kuwa wakimbizi? Halafu imeanza awamu hii si ndio? Awamu iliyopita walikuwa na tabia ya kwenda ikulu tu na kunywa Chai.Chadema ni human traffickers wanawajua wazungu wanakula pesa za watu wanawambia tumieni kisingizio hiki wazungu watawapa hifadhi ya ukimbizi mange kimambi pia ndicho anawinda apewe hadhi ya ukimbizi marekani,Vyama vya siasa vingine kama CUF na Chadema lengo lake kuu ni human trafficking through political window
Kwa.miaka 30 watu waliishi maisha ya kuigiza, 1+1 walisema Ni 3 sasa president anasema lazima iwe mbili(2), hapo sasa. Wengi watalia sana kipindi hiki. Wataongea sana na visingizio kibao lakini ukweli uko palepale.We unafikiri wazungu maboya km nyie kwenye utekaji tu mnatofautiana kauli, wenzenu mpaka wamekubali kumpa ukimbizi wamefanya uchaguzi wa kutosha sana,sasa mnaonekana wauaji,no wonder mnaogopa kusafiri nje ya Africa
Try to use your common sense! Ameomba ukimbizi kwa sababu anataka kusalimisha maisha yake na si vingine! Best place to live wapi na wapi kwa mtu anayewindwa na bunduki auawe!Na umri huo kukimbiq nchi Ni mateso sana, Tanzania is the best place to live asikwambiye MTU. Nenda kokote duniani lakini home is the best. Huyo atatamani kurudi baada ya mwaka Mmoja.ulaya, marekani Ni kukaa kwa muda tu lakini siyo kuweka makazi ya kudumu.
Kwako nisalama lakini kuna mwingine kwake so salama tena .lisu Mara ngapi alisema anafatiliwa ??nini kilimtokea ??je nasilu angefanya kama ngurumo yangemkuta haya ?usipende kuongea kwaushabikitu .salama salama wakati watu wanakufa .je yule dogo alopigwa risasi unaweza kuwambia wazazi wake kuna usalama .acha siku mamako akutwe narisasi zakichwa akiwa kwenye daladala ndo utakuja kuropoka hapa .Na umri huo kukimbiq nchi Ni mateso sana, Tanzania is the best place to live asikwambiye MTU. Nenda kokote duniani lakini home is the best. Huyo atatamani kurudi baada ya mwaka Mmoja.ulaya, marekani Ni kukaa kwa muda tu lakini siyo kuweka makazi ya kudumu.