Mwandishi Ansbert Ngurumo apewa hifadhi kwa usalama wake nchini Finland

Mwandishi Ansbert Ngurumo apewa hifadhi kwa usalama wake nchini Finland

Tabia mbaya sana hii. Kupeleka watu kuwa wakimbizi? Halafu imeanza awamu hii si ndio? Awamu iliyopita walikuwa na tabia ya kwenda ikulu tu na kunywa Chai.
Ipo siku nyingi Kambona alikimbia baada ya kuanzishwa Azimio la Arusha pia wapemba walikimbia kwenda UK baada ya kuanzisha chokochoko Zanzibar. Hivyo si mara ya kwanza ila kama umezaliwa miaka ya 2000 then huwezi jua!! Watanyooka tu!! Hapa kazi tu!!
 
Kwa.miaka 30 watu waliishi maisha ya kuigiza, 1+1 walisema Ni 3 sasa president anasema lazima iwe mbili(2), hapo sasa. Wengi watalia sana kipindi hiki. Wataongea sana na visingizio kibao lakini ukweli uko palepale.
Kuna kitu kimoja kwenye uongozi. Hata uwe kiongozi mzuri namna gani lakini ukishaamua kutumia vitisho, jela na mauaji kama njia ya kurekebisha wanaokupinga kazi yako yote inafunikwa na mabaya. Roho ya mtu ni zawadi kutoka kwa Mungu na hakuna mwenye mamlaka ya kuamuru itolewa kwa sababu za kujinga jinga! Halafu basi ilivyo laana ukiua mtu mmoja tu kwa sababu umeona hakubaliani na unayosema au kufanya unakuwa umeshatengeneza habit mbaya sana. Hutaishia kwa mmoja!
 
Wakati wa awamu ya tatu ya Mkapa wapemba walikimbilia UK wengi tu lakini hakuna walichosaidia kuiharibu nchi yetu! TZ iliendelea kug'aa tu. Wengine wapo mpaka leo wanabeba mabox na kuogesha vizee vya kizungu. Na huyo mwandishi baadae ataanza kubeba mabox na kuogesha vizee vya kizungu! Hapa kazi tu!!
Ni bora kuliko kufanyiwa ya Adrian Mawazo, Ben Saanane, Roma Mkatoliki na akatupwe Ununio.
 
Nashauri Lisu asuridi Tanzania, hawa wauaji watammaliza. Atutetee akiwa huko , it will also give big impact!
Tatizo kamanda huyo atakubali? Lissu ni MTU wa aina yake kabisa, sio muoga na hana kisasi.
Nchi kwa hapa ilipofikia inahitaji mtu asiye na visasi sample ya Mandela ambaye sii mwingine bali Lissu na ndio hawa watesi na wauaji wanaweza kupona maana Lissu atatabasamu tuu na kusema wafungeni vifungo vifupi au kuwaacha tuu.
Lakini hakika nawaambia hawa ccm kuwa nchi ikishikwa na mwingine watajuta kuzaliwa.
 
Tatizo kamanda huyo atakubali? Lissu ni MTU wa aina yake kabisa, sio muoga na hana kisasi.
Nchi kwa hapa ilipofikia inahitaji mtu asiye na visasi sample ya Mandela ambaye sii mwingine bali Lissu na ndio hawa watesi na wauaji wanaweza kupona maana Lissu atatabasamu tuu na kusema wafungeni vifungo vifupi au kuwaacha tuu.
Lakini hakika nawaambia hawa ccm kuwa nchi ikishikwa na mwingine watajuta kuzaliwa.
La Muhimu ccm tuwaweke kwenye kumbukumbu, let us keep records clear with evidence!
Nina wasiwasi na maisha ya Lisu. Ni kweli haogopi, lkn watampiga risasi and that is the end of him masikini. Asirudi, Mange is doing good patriotism while in the US! He can do the same while in Belgium, and the like countries.
 
Miaka ya tisini kuna mshkaji alirudishwa kutoka Sweden.Ni miongoni mwa watu waliozamia kuondoka Tanzania kwa gia ya ukimbizi Zanzibar.

Alivyorudi akawa kaja maskani. Kuna mtu akawa anamsifia Nyerere. Jamaa akamponda sana Nyerere.

Akasema Nyerere ni sababu yeye karudishwa Tanzania.

Mshkaji anasema alipokuwa Sweden alikuwa anapeta kama mkimbizi, siku moja Nyerere akatembelea Sweden katika kazi zake za kimataifa baada ya urais. Watu wakamuuliza, Mwalimu Nyerere Tanzania inaelekea wapi siku hizi, mnatoahata wakimbizi wa kisiasa wanakuja kuomba hifadhi huku? Kulikoni?

Nyerere akasema wako wapi wakimbizi hao? Natakakuongea nao.

Akaambiwa tulia, tutakupeleka.

Akapelekwa mpaka kwenye mkutano na hao wakimbizi.

Nyerere akaanza kuwaluliza mmoja mmoja, wewe umetoka wapi. Kila mmoja anataja alipotoka.Ingawa walijikokikama Wazanzibari, wengi walikuwa watoto wa Dar.

Ilipofika zamuya mshkaji akaulizwa, akasema anatoka Faya. Nyerere akamhamakia "Faya hapa Mwembetogwa hapa? Kuna vurugu gani ya kukufanya uwe mkimbizi?". Nyerere alitumia jina la zamani la Faya "Mwembetogwa", kuonesha kwamba anapajua hapo kipindi kirefu tangu anaishi Magomeni.

Basi akawaambia wale wa Swidi, hapa hamna mkimbizi wa kisiasa,hawa vijana wote wanatafuta maisha wametoka Dar es salaam ambapo hakuna matatizo.

Siku chache baada ya hapo wakapandishwa ndege wakatupwa Bongo.

Jamaa tangu sikuhiyo hataki kumsikia Nyerere.

Nasikiyika kwa nchi yetu ilipo leo, watu wanaweza kujenga case credible ya kutafuta na kupata ukimbizi.
 
Siku akipewa ukimbizi itakuwa ni mwendo wa 24 tu, na sio Koff ila itakuwa Karhu.... ( hapo juu ni Tampere)

Karibu arusha nasikia nyie vijana wa finland ccm sana na mnatunga uongo kumbuka ni wewe ulioandika ule ujumba wa DR slaa ulikuwa na yule jamaa alienda asia kufundisha na sasa raisi kampa wilaya.tunakujua sana siku ukija A town tunawewe.



Swissme
 
Muda utakuja kuwahukumu watu, haya tunayoyaona yanatendeka kwenye maisha ya watu na kuyaona ya kawaida ipo siku yatakuja kuwekwa hadharani.
Huwezi kufanya unyama ukaishi salama milele, ni swala muda tu. Hata hiki kiburi cha kina Bashite and Co ni swala la miaka isiyozidi 10 kitakuja kuisha. Ngoja watu waondoke kama maisha yao yapo hatarini ila wajue ipo siku watarejea kuishi nchini mwao.
 
Abaki hukohuko wala asirudi wala hakuna cha ajabu yeye siyo wa kwanza hata kina snowden na assange wanaotoka kwenye mataifa tajiri na yenye demokrasia wanaomba ukimbizi akafie mbele wala asirudi hata siku atakayopewa uraia asijifanye anakuja kusalimia kama raia wa kigeni.
 
Hiviii ukipatiwaga hiyoo aslamu sijuii ninii unakuwa unaruhusiwa kufanyaa hataa kakibarua huko?
 
Na umri huo kukimbiq nchi Ni mateso sana, Tanzania is the best place to live asikwambiye MTU. Nenda kokote duniani lakini home is the best. Huyo atatamani kurudi baada ya mwaka Mmoja.ulaya, marekani Ni kukaa kwa muda tu lakini siyo kuweka makazi ya kudumu.
Baada ya matokeo ya nguvu ya wananchi 26/4 atarudi tuu!
Na hapo ndio atatusaidia kuweka wazi ule ushahidi ulio sababisha Mwanahalisi kufungiwa.
Kama vile nawaona Savimbi na Bashite wakipokewa Segerea na vijana
 
Hii ndio hali halisi, mambo mengi na mazito yataibuliwa huyu jamaa ikija kutoka madarakani. Ndivyo ilivyo hata wakati wa Hitler dunia ilikua haiamini story za ukatili uliokua unafanywa na serkali yake kilikua ni kitu ambacho hakiingii akilini.
Pengine huyu "kiongozi wa malaika" atakuja kulindwa na mrithi wake, ila ole wenu mnaotumika kutekeleza huo ukatili mtalipia matendo yenu kikamilifu.
Wewe unadhani mipango ya kuongeza muda wake ni ya kipuuzi? Anajua akitoka mapema mambo yatakuwa mabaya na sasa atafanya lolote ili aendelee kubaki na madaraka na kinga.
 
Nchi yenye demokrasia!! Ambayo rais hachagui chama?? Rais wa Wanzania wote! Bado kuna watu wanaenda kuomba ukimbizi?? Jamani msimchafue rais wetu anae omba kwenda kuwa malaika mkuu
 
Na umri huo kukimbiq nchi Ni mateso sana, Tanzania is the best place to live asikwambiye MTU. Nenda kokote duniani lakini home is the best. Huyo atatamani kurudi baada ya mwaka Mmoja.ulaya, marekani Ni kukaa kwa muda tu lakini siyo kuweka makazi ya kudumu.
kama watu wana mpango wa kukuua utafanyaje?utaendelea kubaki kwenye nchi hata kama ni home?
put yourself in his shoes before you judge
 
Baada ya matokeo ya nguvu ya wananchi 26/4 atarudi tuu!
Na hapo ndio atatusaidia kuweka wazi ule ushahidi ulio sababisha Mwanahalisi kufungiwa.
Kama vile nawaona Savimbi na Bashite wakipokewa Segerea na vijana
Tarehe ishirini na saba mwezi wa nne nitakuuliza kama Ngurumo atarudi au la. Ha ha ha, utasubiri sana na hayo maandamano hewa.
 
Nahisi watu wengi wanaitaji asylum sababu were in a whole different world
 
Back
Top Bottom