Mwandishi Ansbert Ngurumo apewa hifadhi kwa usalama wake nchini Finland

Mwandishi Ansbert Ngurumo apewa hifadhi kwa usalama wake nchini Finland

Na umri huo kukimbiq nchi Ni mateso sana, Tanzania is the best place to live asikwambiye MTU. Nenda kokote duniani lakini home is the best. Huyo atatamani kurudi baada ya mwaka Mmoja.ulaya, marekani Ni kukaa kwa muda tu lakini siyo kuweka makazi ya kudumu.
Shule muhimu sana yaani wewe Ngumbaru umeambiwa mtu kakimbia kusalimisha maisha yake sasa huo utamu wa kuishi Bongo angeupata wapi kama angekuwa hana uhai.mijitu mingine ni kama michawi tu
 
Hata Kambona alikimbia nchi lakini baadae akarudi akiwa amechoka ile mbaya!! Wanafikiri ni pa zuri sana kwa wazungu!
Sio wanafikiri, ni pazuri sana tu. maji safi ya bomba yapo, umeme sio.wa mgao, barabara nzuri, mvua zikinyesha hakuna madimbwi
 
Ipo siku nyingi Kambona alikimbia baada ya kuanzishwa Azimio la Arusha pia wapemba walikimbia kwenda UK baada ya kuanzisha chokochoko Zanzibar. Hivyo si mara ya kwanza ila kama umezaliwa miaka ya 2000 then huwezi jua!! Watanyooka tu!! Hapa kazi tu!!
OK ok mtanzania mwenzangu, kumbe hawazushi ni kweli wanakimbia kwa sababu ya WOGA wa kushughulikiwa. Wasi wasi wangu ulikuwa ni isije ikawa wanakimbia kuchafua nchi yetu tu. Maana mwingine anaweza akawa anatafutwa na polisi tu ajieleze akaenda ukimbizini na kukuza mambo. Basi kama ni kweli kama unavyosema acha tu akimbie, hakuna anayetaka kufa hata kama amefanya makosa ya usaliti. Lazima atapigania uahai wake.
 
Wa
tu wakikosa hoja wanakimbilia kutukana umemjibu vizuri sana na wengi wanaoandika haya mambo ni wakimbizi huko waliko wanajiita Wasimali na warundi na wengine labda bado hawajapata makaratasi ndiyo maana wanawadanganya wenzao wakapigwe virungu wapate video za kuonyesha kwa mawakili wao wawasaidie kesi za kikimbizi.
 
Anatafuta maisha huyo mwenzenu ...endeleeni kuamini kila muambiwacho alafu muone kama na nyie mtapata nafasi za hivyo. Watu wako very visionally!
 
Mbona ametumia haki yake ya kikatiba kwenda anakotaka? ...Kama wenyeji wamemkubali haina tatizo kabisa. BTW miaka ya 1980 kuna mtanzania mmoja aliamua kwa makusudi kujisalimisha kwenye makambi ya wakimbizi nchini Sweden na kukabidhi hati ya kusafiria ya kitanzania kwenye mamlaka husika. Yuko Sweden hadi leo na maisha yanaendelea.
 
Duuu tuna Deni la trillion ngapi vile yaani kila mtanzania anatakiwa alipe trillion yake naona mpaka miaka ya utawala wake uishe lazma wote tutaomba asylum kwa wenzetu kwa madeni.Mimi kila siku akia Nani natubu Sana kwa Mungu ili tupate neema yake kwa yanayoendelea
 
Anaetaka kukuua hawez kukutisha zaidi yakukuwasha tu, hizi ni mbinu za hao paka wa mavini ufipa na ham ya huyo kalagabao zakuishi nje ya nchi...foolish
 
Huu mwanzo tu mengi yanakuja....Mungu ibariki Tanzania
 
Ukipewa asylum una option na kila haki ya kuchukua familia yako ukaishi nayo. Hii ni haki ya kila mkimbizi. Na utapewa nyumba ya kutosha familia nzima hata kama una baba na mama wazee wanaokutegea.
Inategemea nchi zingine unakaa kambini.
 
Na hata sasa nawashangaa watu kama akina Mbowe,Lema,n.k
Watu mnalengwa kufanywa mbaya halafu bado mpo hapa mnalia lia tuu! Kwa Lissu mmeona live,halafu mmeshuhudia mwenyekiti wa Geita alivyouwawa,na wengine wengi,nashangaa bado mpo hapa,je ni lini aliyeyafanya haya ameamua kutulia na kuwasamehe ninyi?
 
Kwa.miaka 30 watu waliishi maisha ya kuigiza, 1+1 walisema Ni 3 sasa president anasema lazima iwe mbili(2), hapo sasa. Wengi watalia sana kipindi hiki. Wataongea sana na visingizio kibao lakini ukweli uko palepale.
mkuu safi sana.. umeeleweka yani..
 
Mbona hakukimbilia kenya, south africa nigeria? Ana lake analitafuta tu. Labda maisha ya bongo yamemshinda. Mbona Assange hajakimbilia africa?
 
Alikuwa Sweden, and guess what? Dr Slaa kapelekwa huko, wat du yu ekspekti?
Hizo ni "speculations" tu. Kutokana na taarifa hii ni kwamba Ngurumo amepata "ukimbizi" Finland. Sawa, Dr. Slaa atawakilisha Tz kwa nchi zote za Nordic kutokea Stockholm, lakini sidhani kama Ngurumo ana lolote la maana hadi kupoteza muda kwa ajili yake.
 
Hizo ni "speculations" tu. Kutokana na taarifa hii ni kwamba Ngurumo amepata "ukimbizi" Finland. Sawa, Dr. Slaa atawakilisha Tz kwa nchi zote za Nordic kutokea Stockholm, lakini sidhani kama Ngurumo ana lolote la maana hadi kupoteza muda kwa ajili yake.
Bado tu mnaendelea kuchafua taifa kwa ukosefu wa busara. Kwa utaratibu huu mtajenga nchi let it alone ya viwanda? Maana wengine viwanda kwenu ni matumbo yenu tuu! Huku mkimdanganya rais kuwa ndo njia sahihi ya kuelekea kwenye Taifa la viwanda!
 
Huwa nashangaa watu wanao tetea tetea tu au ndo wale walio kunywa maji ya bendera
 
Back
Top Bottom