Mwandishi Ansbert Ngurumo apewa hifadhi kwa usalama wake nchini Finland

Mwandishi Ansbert Ngurumo apewa hifadhi kwa usalama wake nchini Finland

Huyo amekwenda kufuata hali bora ya maisha,ni mkimbizi wa kiuchumi tu.
Miaka ya nyuma wapemba walikua wanajilipua uk eti kwao wanawindwa na kuuwawa,mpaka serika ya uk imekuja kustuka kuwa hao ni wazamiaje wengi walishapata makaratasi,ingawa walituchafua sana
Mkimbizi ni mtu yoyote anayekimbia nchi yake kutokana na ghasia, vita au mateso. Ili kupata assylum mtu anatakiwa kuwa na HOFU ILIYOTHIBITISHWA VYEMA kuwa anaweza KUTESWA kutokana na rangi yake, utaifa wake, MAWAZO YAKE YA KISIASA, imani yake au UANACHAMA WAKE KATIKA KIKUNDI/CHAMA CHOCHOTE na kwamba HAWEZI au ANAOGOPA kurejea nyumbani. Amani uchwara kama mnayofunzwa huko chipukizi kuwa IPO hapa sio kigezo KABISA cha kumnyina mtu hifadhi. Kafunze na chipukizi wenzio mkikutana saa kumi kwa ajili ya mazoezi ya kwaya ya kumpokea PM.
 
Huyo amekwenda kufuata hali bora ya maisha,ni mkimbizi wa kiuchumi tu.
Miaka ya nyuma wapemba walikua wanajilipua uk eti kwao wanawindwa na kuuwawa,mpaka serika ya uk imekuja kustuka kuwa hao ni wazamiaje wengi walishapata makaratasi,ingawa walituchafua sana
Utakuwa umepungukiwa.

Kama ingekuwa ni rahisi kiasi hicho, Waafrika wangekuwa wamejaa huko. Ukumbuke kuwa huyu kwanza alikimbilia ubalozi kabla ya kupelekwa Ulaya.
 
Mwanahabari Ansbert Ngurumo aliyewahi kuwa mhariri wa Magazeti ya Tanzania Daima na Mwanahalisi, amekimbilia nchini Finland na kupewa hifadhi huko, kwa muda alikuwa akisema anatishiwa kuuawa.

Habari zaidi soma=> Ansbert Ngurumo: Muda wowote naweza kufa maana natishiwa kifo

"Nimezungumzia mkasa wangu wa kunusurika kudakwa na watu wasiojulikana, ambao wamekuwa wakipanga kuniua na wamejaribu mara kadhaa bila mafanikio, sasa nikaona niwakimbie, kwani kufa kijinga ni dhambi kubwa," anaongeza Ngurumo.
Naitafakari sana hii situation ya Ansbert with reference kwa aliyoyasema humu
Fungia Fungia Magazeti: Ni Udikiteta wa Serikali Magufuli, Yalaaniwa na Yasulubiwa - Jicho Letu Ndani ya Habari!.

P
 
Nafikiri kuna Hidden network kubwa sana ambayo inafanya mambo ya Ajabu kuchafua taswira ya nchi yetu, Vyombo vyenye mamlaka Husika Ingieni ndani zaidi mugundue kundi Hilo la wahuni haswa viongozi na washughulikiwe direct regardless status zao katika Jamii.
 
New development in Tanzania.

Tutafika tu wanakotaka twende lkn wajue hata wao hawatabaki salama.
Huyo katofautiana na mbow aache unafiki. Ila Tz yetu kwa sasa hatutaki watu mnaokula rushwa ili muandike nchi ichafuke. Ni bora mtu uuawe mmoja kuliko kuingiza taifa ktk vita. Ni bora wanafiki na wala rushwa wote muuawe ili taifa lisonge mbele. Na lazima wanafiki wote mfeeeeee ili taifa lisonge mbele. Hata mataifa makubwa kama US, Russia, China, UK, Japan, etc waliwaua wanafiki wote waliokuwa wanaleta habari za kurudisha nyuma maendeleo na mrengo wa kuleta machafuko. Hi
 
Le Mutuz ndio alikuwa mkimbizi wa uchumi Marekani, soma vizuri asylum ya Ngurumo ni ya nini.

Nilisema hujui kitu kaa kimya, endelea kuonesha umbumbumbu wako hadharani.

Hata mjinga akinyamaza uhesabiwa hekima.

Eeeeeeh
Nisome nini.. wakati ametunga hayo yote..
Haaaaaaa
Sasa Kaka yako aliyekuzidi unamuandikia nini kwa uzi huu.. una docs kuonyesha..
Rudi kwa huyo vyuma vimemkaza haswaaa kwa uvivu wake akakimbilia kudanganya..

Ila upinzani nyie wehu sasa.. Tanzania ina wakimbizi kibao.. mlifikiriaje kabisa kwamba kuàndika haya irawapa kiki au kushusha mazuri anayofanya Magufuli.. yaani kwa kweli.. uko mlipo kwa futi 6 bora mufukiwe.. ndio maana viongozi wenu na wabunge n.k. sasa hivi wanaishi kula tu.. na kuhakikisha hata pesa za mgawo wa maendeleo kwenye majimbo yao wanafanyia yao.. wanajua hawarudi bungeni 2020.. eeeeeh
Kama Lissu inamaana zake kaziweka tu anasubiri kuja kununua vocha abwate tu mifandaoni.. naye wakili hewa kama wewe.. na ysyw kesi za eti ma celbs ndio anajionaga amewini na zile zilizo wazi iuwa sio ngumu..

Lingine acha kumuonea WIVU
Le Mutuz
Maana unakosaga usingizi juu yake nilikusoma kwa uzi wake mzuri watu wanampenda aiseeee.. si uomeona.. eeeeh lia
 
Nafikiri kuna Hidden network kubwa sana ambayo inafanya mambo ya Ajabu kuchafua taswira ya nchi yetu, Vyombo vyenye mamlaka Husika Ingieni ndani zaidi mugundue kundi Hilo la wahuni haswa viongozi na washughulikiwe direct regardless status zao katika Jamii.
Anza kuwashughulikia wanaofirigisa uhuru ulioainishwa kwenye katiba
 
Eeeeeeh
Nisome nini.. wakati ametunga hayo yote..
Haaaaaaa
Sasa Kaka yako aliyekuzidi unamuandikia nini kwa uzi huu.. una docs kuonyesha..
Rudi kwa huyo vyuma vimemkaza haswaaa kwa uvivu wake akakimbilia kudanganya..

Ila upinzani nyie wehu sasa.. Tanzania ina wakimbizi kibao.. mlifikiriaje kabisa kwamba kuàndika haya irawapa kiki au kushusha mazuri anayofanya Magufuli.. yaani kwa kweli.. uko mlipo kwa futi 6 bora mufukiwe.. ndio maana viongozi wenu na wabunge n.k. sasa hivi wanaishi kula tu.. na kuhakikisha hata pesa za mgawo wa maendeleo kwenye majimbo yao wanafanyia yao.. wanajua hawarudi bungeni 2020.. eeeeeh
Kama Lissu inamaana zake kaziweka tu anasubiri kuja kununua vocha abwate tu mifandaoni.. naye wakili hewa kama wewe.. na ysyw kesi za eti ma celbs ndio anajionaga amewini na zile zilizo wazi iuwa sio ngumu..

Lingine acha kumuonea WIVU
Le Mutuz
Maana unakosaga usingizi juu yake nilikusoma kwa uzi wake mzuri watu wanampenda aiseeee.. si uomeona.. eeeeh lia
Hata somalia ina wakimbizi tena kutoka Tanzania
 
Kuwa mkimbizi mnaipigia filimbi kama vile ni wa kwanza duniani.. eeeeeh

Uamuzi wake huo.. alitaka tu kwenda ulaya kuishi huko baada ya kuwa mvivu kufanya kazi kujilisha

Kulikuwa kuna ajuza ana kiherehere kama wewe(faizafoxy).Alikuwa mtetezi sana wa sirikali katika maovu yake na chama chake.Ameona dhambi zimezidi amekaa kimya,bado wewe.
 
K
Hata Kambona alikimbia nchi lakini baadae akarudi akiwa amechoka ile mbaya!! Wanafikiri ni pa zuri sana kwa wazungu!

Kule kwa wazungu na kurud kwenu ukijua wazi unatafutwa na huna namna ya kujilinda na wenye mkono mrefu bora wapi!!? Hayajakukuta mkuu! Endelea kukoment tu!
 
Atafuta Kiki kifo kinakimbiwa Toka lini,kinapofika ata ulipo kinakukuta sema kaenda kwenye masilahi zaid
 
Atafuta Kiki kifo kinakimbiwa Toka lini,kinapofika ata ulipo kinakukuta sema kaenda kwenye masilahi zaid
Anakimbia namna na aina. Mara zote kifo ni ajali na sio kitu cha kutegemea. Na ndio maana bado tunaenda hospital
 
Back
Top Bottom