Mwandishi Ansbert Ngurumo apewa hifadhi kwa usalama wake nchini Finland

Mwandishi Ansbert Ngurumo apewa hifadhi kwa usalama wake nchini Finland

Atafuta Kiki kifo kinakimbiwa Toka lini,kinapofika ata ulipo kinakukuta sema kaenda kwenye masilahi zaid
Kama hakikimbiwi mbona sizonje yeye anajilinda na mabunduki ya kumwaga na mashushushu wa kila aina wanamlinda?
Yeye ameona amekosa ulinzi na kuna watu wanamtishia kumuuwa huku akiwa anafatiliwa kila aendapo.
Mtishie sizonje kuwa atakufa kama hujafungwa achilia mbali kumfatilia
 
K

Kule kwa wazungu na kurud kwenu ukijua wazi unatafutwa na huna namna ya kujilinda na wenye mkono mrefu bora wapi!!? Hayajakukuta mkuu! Endelea kukoment tu!

Haelewi kambona kaondoka huku nyuma wamekamatwa hata marafiki zake na kuuawa
 
Kila siku wakimbizi wanapotokea duniani hutangazwa. Kwa Ngurumo ni kwa nini unasema inapigwa filimbi?

kimsingi tunasifa nzuri ya kupokea wakimbi lakini kwa hali hii tulipofikia tutarajia wengi kusaka sehem za kujihifadh kwa usalama wao! Ila kuna siku tutajua ukweli wa haya matukio yote yenye ukakasi humu nchini mwetu! MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Atafuta Kiki kifo kinakimbiwa Toka lini,kinapofika ata ulipo kinakukuta sema kaenda kwenye masilahi zaid

Huyo Papa Doc wenu na atembee kama Karume Sr. Kama haogopi
 
Munaoleta vijihabari kama hivi, sijui kama munatumia analytical mind. Anyemtishia ni nani? Mdeni wake, au anayetembea na mke wake? Nchi hii kuna watu kibao wanawinda kukimbilia nje kwa hiari yao lakini hata kama siyo hivyo, hiki unachokileta kwa ushujaa na vigeregere ni uchafu tu! Lete topic kwa majadiliano na siyo ushabiki suio na maana yoyote ile. Mtu mmoja akiondoka nchini ndo unatoa maoni ya nchi kuwa mbaya? Snowden amekimbilia Russia, je tusema US hali ni mbaya? Assange yuko chini ya ulinzi wa Ecuador, je tuseme Australia hali ni mbaya? Miguna amekimbilia Canada, je tuseme Kenya hali ni mbaya?
 
Munaoleta vijihabari kama hivi, sijui kama munatumia analytical mind. Anyemtishia ni nani? Mdeni wake, au anayetembea na mke wake? Nchi hii kuna watu kibao wanawinda kukimbilia nje kwa hiari yao lakini hata kama siyo hivyo, hiki unachokileta kwa ushujaa na vigeregere ni uchafu tu! Lete topic kwa majadiliano na siyo ushabiki suio na maana yoyote ile. Mtu mmoja akiondoka nchini ndo unatoa maoni ya nchi kuwa mbaya? Snowden amekimbilia Russia, je tusema US hali ni mbaya? Assange yuko chini ya ulinzi wa Ecuador, je tuseme Australia hali ni mbaya? amekimbilia Canada, je tuseme Kenya hali ni mbaya?


 
Kulikuwa kuna ajuza ana kiherehere kama wewe(faizafoxy).Alikuwa mtetezi sana wa sirikali katika maovu yake na chama chake.Ameona dhambi zimezidi amekaa kimya,bado wewe.

Koma kwanza kumuita Dada wa JF ajuza..
Na pia nakukumbusha mimi sina chama.. nipo naburudika nanyo wabishi na wavivu na wadaku na wafata mikumbo..
 
Mwandishi kapata kazi huko,huku habari zake, zimeshitukiwa ni za upande mmoja na nyingi Huwa ni fake news
 
ASBERT NGURUMA , NA AHADI YA UWAZIRI WA HABARI;SHIDA NI PALE LOWASSA ALIPOPIGWA CHINI;AHADI ZOOTE ZIKAYEYUKA NA KUJENGA CHUKI.AKAJIFIE ZAKE HUKO FINLAND.
 
Munaoleta vijihabari kama hivi, sijui kama munatumia analytical mind. Anyemtishia ni nani? Mdeni wake, au anayetembea na mke wake? Nchi hii kuna watu kibao wanawinda kukimbilia nje kwa hiari yao lakini hata kama siyo hivyo, hiki unachokileta kwa ushujaa na vigeregere ni uchafu tu! Lete topic kwa majadiliano na siyo ushabiki suio na maana yoyote ile. Mtu mmoja akiondoka nchini ndo unatoa maoni ya nchi kuwa mbaya? Snowden amekimbilia Russia, je tusema US hali ni mbaya? Assange yuko chini ya ulinzi wa Ecuador, je tuseme Australia hali ni mbaya? Miguna amekimbilia Canada, je tuseme Kenya hali ni mbaya?
Mkuu sijui Kama watakuelewa maana ulichoandika hapa sio wote wana uwezo nacho.Tatizo watu wanadhani kila mtu duniani anafatilia habari za upinzani Tanzania.Kuna watu hapo Jirani Kenya na Uganda hawajui hata mtu anaitwa Lissu.Ngurumo anadai kutishiwa Maisha ila hajatoa taarifa polisi wala popote, kashapitisha anatafutwa na serikali.Na wapuuzi wachache wanakomaa eti TZ hali ni mbaya.Mbona magazeti yanatoka kila siku mpaka hilo TZ Daima limetoka Leo?,hao wanaoandika mbona wapo huru uraiani?,vijana wa TZ wamejawa ushabiki tu hawajui wanachopigania.
 


Sema hali mbaya kwa watu gani hasa!? Snowden kukimbilia Urus je hali haijamaanisha hali mbaya ila maisha yake yako hatarini!! Na Assange kwenda Ecuador hali mbaya kwake! sio kwa marekan! Sada rudi kwenu hapa Tz ni makundi ya watu ndio yako hatarini! WANASIASA! Wahariri, waandishi wa habar! Wanaharakat! Kwahiyo usiringanishe USA na Tz kwa matukio hayo! Utafeli mapema!
 
Nashauri Lisu asuridi Tanzania, hawa wauaji watammaliza. Atutetee akiwa huko , it will also give big impact!

Na tuseme umesikia kuwa anarudi lini tukampokee! Kweli walio usingizini hata sasa ni wengi. Amka wewe usinziaye unapitwa na mengi.
 
Sema hali mbaya kwa watu gani hasa!? Snowden kukimbilia Urus je hali haijamaanisha hali mbaya ila maisha yake yako hatarini!! Na Assange kwenda Ecuador hali mbaya kwake! sio kwa marekan! Sada rudi kwenu hapa Tz ni makundi ya watu ndio yako hatarini! WANASIASA! Wahariri, waandishi wa habar! Wanaharakat! Kwahiyo usiringanishe USA na Tz kwa matukio hayo! Utafeli mapema!
Ulichoandika kuna sehemu hakieleweki. Sada rudi kwenu ndo nini?
Naona vyuma vimebana baadhi munataka iwe sababu ya kuvuka mipaka. Kwa nini huyo Ngurumo hakuingia Kenya? Kwa nini hakuingia Malawi? Zambia je? Au kote anatafutwa? Badala yake eti anahifadhiwa Ulaya! Utumwa wa akili tu!
 
Mkuu sijui Kama watakuelewa maana ulichoandika hapa sio wote wana uwezo nacho.Tatizo watu wanadhani kila mtu duniani anafatilia habari za upinzani Tanzania.Kuna watu hapo Jirani Kenya na Uganda hawajui hata mtu anaitwa Lissu.Ngurumo anadai kutishiwa Maisha ila hajatoa taarifa polisi wala popote, kashapitisha anatafutwa na serikali.Na wapuuzi wachache wanakomaa eti TZ hali ni mbaya.Mbona magazeti yanatoka kila siku mpaka hilo TZ Daima limetoka Leo?,hao wanaoandika mbona wapo huru uraiani?,vijana wa TZ wamejawa ushabiki tu hawajui wanachopigania.
Ninaposikia waajili wanalaani ubora wa wasomi wa TZ nimekuwa nikikataa, lakini ukiangalia yanayoandikwa hapa JF na wakati mwingine anayeandika ni mtu ambaye hapo alipo anaaminika kwa ufahamu, ni aibu. Yaani eti Ngurumo akitishiwa TZ anakimbilia Ulaya. Kenya haioni, Zambia, Malawi, Uganda, avuke basi hadi Namibia! Yeye anatamani aende Ulaya! Halafu mtu yuko JF anaona ni point ya kulaani nchi.
 
Kwa.miaka 30 watu waliishi maisha ya kuigiza, 1+1 walisema Ni 3 sasa president anasema lazima iwe mbili(2), hapo sasa. Wengi watalia sana kipindi hiki. Wataongea sana na visingizio kibao lakini ukweli uko palepale.
Dunia nzima binadamu kwa asili anataka awe huru na hataki kulazimishwa kuishi kwa kulazimishwa na kikundi cha watu wachache kwa kutu
Kwa.miaka 30 watu waliishi maisha ya kuigiza, 1+1 walisema Ni 3 sasa president anasema lazima iwe mbili(2), hapo sasa. Wengi watalia sana kipindi hiki. Wataongea sana na visingizio kibao lakini ukweli uko palepale.
Dunia nzima binadamu kwa asili yake anataka kuwa huru sio kupangiwa aina ya maisha ya kuishi na kikundi cha watu wachache kwa kutumia mfumo kudictate mambo yaende...na kudanganya watu eti mlikuwa mnaishi maisha sio,suala hapa ni kuishi. Nakuhakikishia Kaka watu waliozoea kuishi kwa miaka 30 vile wanavyotaka wao huwezi kuwabadili kwa miaka 10 au 20..Kisaikolojia utahitaji zaidi ya miaka 30 na kwa kutumia ubavu kweli mnapanga na wao wanaplan mbinu mpya ivyo ni vita baridi,nina imani watu wamechoka na wanajaribu dozi iitwayo 26042018,hii ikishindikana watajaribu tena na tena ...Kwa kulazimisha mfumo Nyerere aliponea chupuchupu kupinduliwa zaidi ya mara 13!..mwisho alichemka akang'atuka,na Nyerere was the smartest president,sembuse uyu !...hii ilikuwa watz bado hawana exposure,leo hii je?NI SUALA LA MUDA TU
 
Back
Top Bottom