Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,548
- 63,038
Kapewa na familia yako pai..Nami nimeuliza hili, kama ulijibiwa nisaidie plz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapewa na familia yako pai..Nami nimeuliza hili, kama ulijibiwa nisaidie plz
Imekaa vyema, jiandae kutimka bossJibu ni ndio..!
Ngurumo alikuwa anatafuta tu gear ya kuishi Ulaya. Chadema wazee wa fursaAibu sana hii.
Huyo Ngurumo ana laana ya Kanisa KatolikiIla ninavyomjua Ngurumo siyo mtu wa kusema mambo ya hovyo hovyo au uongo!
uhai wa mtu n zaidi y hayo mareli n mandegeSo, pigeni kelele wengine wanaojenga reli ya mwendo mdundo Km 160/hr
Hata Kambona alikimbia nchi lakini baadae akarudi akiwa amechoka ile mbaya!! Wanafikiri ni pa zuri sana kwa wazungu!
Nashauri Lisu asuridi Tanzania, hawa wauaji watammaliza. Atutetee akiwa huko , it will also give big impact!
Ipo siku nyingi Kambona alikimbia baada ya kuanzishwa Azimio la Arusha pia wapemba walikimbia kwenda UK baada ya kuanzisha chokochoko Zanzibar. Hivyo si mara ya kwanza ila kama umezaliwa miaka ya 2000 then huwezi jua!! Watanyooka tu!! Hapa kazi tu!!
Mambosasa aka Dokta Shika.. yule mzee tinginya anapenda kiki kuliko wema sepetuNgoja tusubiri kauli ya Mambo sasa
wewe ulisjawahi kufanya kazi?au unafikir kila mtu anautumia mwili wake kujingizia kipato kama ww
Acha mahaba mkuuDefinition ya ukimbizi inaeleweka vizuri au...tunaandika tu ukimbizi.
Still Tanzania is the best place to live ever seen
Haha..dah...huwa unaongea hewa sana aisee....huwa uko serious au unakuwa unatania muda wote??Kuwa mkimbizi mnaipigia filimbi kama vile ni wa kwanza duniani.. eeeeeh
Uamuzi wake huo.. alitaka tu kwenda ulaya kuishi huko baada ya kuwa mvivu kufanya kazi kujilisha
Nyie mnadanganyika kirahisi sana. Viashiria vyote ni kuwa, sinema ya Ansbert Ngurumo ni kama ya yule Abdul Nondo. Nondo atekwe halafu karudi poa kabisa labda na marinda yake ! Huyu mwingine anasema kafuatiliwa halafu kaweza kusafiri kwenda Finland, how?? Mnacheza nyinyi.
Huyo lisu ilitakiwa aende kutoa taarifa polisi sio kwenye mitandao na press conference. Wahusika wa lisu wako hukohuko chadema ndo maana wamemkimbiza hadi dereva wake.Kwako nisalama lakini kuna mwingine kwake so salama tena .lisu Mara ngapi alisema anafatiliwa ??nini kilimtokea ??je nasilu angefanya kama ngurumo yangemkuta haya ?usipende kuongea kwaushabikitu .salama salama wakati watu wanakufa .je yule dogo alopigwa risasi unaweza kuwambia wazazi wake kuna usalama .acha siku mamako akutwe narisasi zakichwa akiwa kwenye daladala ndo utakuja kuropoka hapa .