Mwandishi Ansbert Ngurumo apewa hifadhi kwa usalama wake nchini Finland

Mwandishi Ansbert Ngurumo apewa hifadhi kwa usalama wake nchini Finland

New development in Tanzania.

Tutafika tu wanakotaka twende lkn wajue hata wao hawatabaki salama.
Kuna Uzi mwingine juu ya hili lakini mimi najiuliza nini kinamsumbua mtu anakwenda ulaya badala ya kuokoa maisha yake kwa kuvuka mpaka na kwenda Kenya, Zambia, Malawi, Uganda na hata akipenda Namibia? Wapo wengi wanaotamani wasifiwe na ulaya. Ni tamaa ya kuishi ulaya kwa pesa ya jamii. Baadaye ataomba na familia iende, halafu sisi tunasema eti yuko hatarini.
 
Kuwa mkimbizi mnaipigia filimbi kama vile ni wa kwanza duniani.. eeeeeh

Uamuzi wake huo.. alitaka tu kwenda ulaya kuishi huko baada ya kuwa mvivu kufanya kazi kujilisha
wewe ulisjawahi kufanya kazi?au unafikir kila mtu anautumia mwili wake kujingizia kipato kama ww
 
Mwandishi wa habari wa magazeti ya Tanzania daima na Mwanahalisi".

Huu ni mwendelezo ule ule wa maadui wa ndani kutengeneza matukio ili kuichafua Serikali nje ya Nchi. Umetishiwa na nani, umeenda kutoa taarifa kwenye kituo kipi cha polisi?
 
huko kote
Kuna Uzi mwingine juu ya hili lakini mimi najiuliza nini kinamsumbua mtu anakwenda ulaya badala ya kuokoa maisha yake kwa kuvuka mpaka na kwenda Kenya, Zambia, Malawi, Uganda na hata akipenda Namibia? Wapo wengi wanaotamani wasifiwe na ulaya. Ni tamaa ya kuishi ulaya kwa pesa ya jamii. Baadaye ataomba na familia iende, halafu sisi tunasema eti yuko hatarini.
huko kote sijui malawi na wapi kunafanana tu na hapa? unawakumbuka wale maraisi wa rwanda na burundi? waliuwawa wakitokea wapi? unamkumbuka kabila huyu anayeua watu kongo? alikuliaa na kusomea wapi? unakumbuka yale mapinduzi ya yule bwana wa burundi / nkurunzinza alipinduliwa akiwa wapi na alirudishwa madarakani na nani? mifano ni mingi. itoshe tu kusema siasa zakiafrika zinafanana kabisa .na hakuna nchi ya kiafrika inayojali haki na ukubwa wa watu wake
 
Definition ya ukimbizi inaeleweka vizuri au...tunaandika tu ukimbizi.
Still Tanzania is the best place to live ever seen

Ni kweli ni salama kama ukikubali kuwa zoba. Kumbuka kuna watu ambao wana character ya kutetea haki na usawa, wako tayari kwa lolote lile ila waone haki inatendeka...lakini kwa nini tuogope kukoselewa?

Usitegemee kuona Lissu ananyamaza, ndivyo alivyoumbwa na ni karama yake.

Tupige kimya mazoba sisi na tutaishi kwa amani, ila pia tuvumilie maumivu na karaha za uzoba wetu.
 
Kwa.miaka 30 watu waliishi maisha ya kuigiza, 1+1 walisema Ni 3 sasa president anasema lazima iwe mbili(2), hapo sasa. Wengi watalia sana kipindi hiki. Wataongea sana na visingizio kibao lakini ukweli uko palepale.
Dunia nzima binadamu kwa asili yake anataka kuwa huru sio kupangiwa aina ya maisha ya kuishi kwa kulazimishwa na kikundi cha watu wachache kwa kutumia mfumo kudictate mambo yaende,kisha unawadanganya eti maisha waliokuwa wanaishi sio ya kwao. Nakuhakikishia Kaka watu waliozoea kuishi kwa miaka 30 vile wanavyotaka wao huwezi kuwabadili kwa miaka 10 au 20..Kisaikolojia utahitaji zaidi ya miaka 30 tena kwa shida sana kuwabadili,utaplan na wao wanaplan mbinu mpya ivyo ni vita baridi.
Nyerere was the smartest president we ever had tulienae sasa hamfikii hata nusu ...LakinJKN alinusurika kupinduliwa zaidi ya mara 13! Iyo ni wakati ule watz bado hawana upeo,leo je?NI SUALA LA MUDA TU.. Watu wamechoka na hali hii ya kupangiwa maisha Wanafikiri dawa aina ya 26042018 wakishindwa watajaribu tena na tena bila kuchoka
 
Sema hali mbaya kwa watu gani hasa!? Snowden kukimbilia Urus je hali haijamaanisha hali mbaya ila maisha yake yako hatarini!! Na Assange kwenda Ecuador hali mbaya kwake! sio kwa marekan! Sada rudi kwenu hapa Tz ni makundi ya watu ndio yako hatarini! WANASIASA! Wahariri, waandishi wa habar! Wanaharakat! Kwahiyo usiringanishe USA na Tz kwa matukio hayo! Utafeli mapema!


Watu kwa kumsema Papa Doc. vibaya tu wamefunguliwa makesi

Nitafeli mapema kwani kuna kijana alipotea miezi 6 alipoonekana kumbe alikuwa ndani , kosa lake kaenda kuposa mke kwa mtu aliyebambikiziwa kesi ya ugaidi.
Walimwachia siku mbili baadaye kwa kueleza hii habari wamemtia adabu kwa kumfunga tena mpaka leo. Kijana hajui hata siasa ilivyokaa.

Wachilia mbali kesi za wale masheikh walioukosoa muungano kwa kutumia haki yao kikatiba na kubambikiziwa kesi za kigaidi zisizo mashiko

Ofcourse kwa kurushiwa buku saba utakuja kutapika pumba hapa, kwani hujali hayajakufika wala hakuna jamaa yako yamemfika
 
Kuna Uzi mwingine juu ya hili lakini mimi najiuliza nini kinamsumbua mtu anakwenda ulaya badala ya kuokoa maisha yake kwa kuvuka mpaka na kwenda Kenya, Zambia, Malawi, Uganda na hata akipenda Namibia? Wapo wengi wanaotamani wasifiwe na ulaya. Ni tamaa ya kuishi ulaya kwa pesa ya jamii. Baadaye ataomba na familia iende, halafu sisi tunasema eti yuko hatarini.
Huwezi kukimbia from one shithole country to another shithole country, yaani ukimbie kutoka Tanzania ukajifiche Uganda au Rwanda utakuwa na akili kweli.
 
Ninaposikia waajili wanalaani ubora wa wasomi wa TZ nimekuwa nikikataa, lakini ukiangalia yanayoandikwa hapa JF na wakati mwingine anayeandika ni mtu ambaye hapo alipo anaaminika kwa ufahamu, ni aibu. Yaani eti Ngurumo akitishiwa TZ anakimbilia Ulaya. Kenya haioni, Zambia, Malawi, Uganda, avuke basi hadi Namibia! Yeye anatamani aende Ulaya! Halafu mtu yuko JF anaona ni point ya kulaani nchi.


Hivi hujasikia yule kijana aliyekimbilia Swaziland aliyekuwa akimkosoa Nyerere ?? Matokeo yake alitumwa yule mtu wa TISS kutoka BAKWATA marehemu Sheikh Yahya Hussein aliyekuwa akijifanya ni mtabiri. Kule akajifanya anauza kahawa kumbe alikuwa kwenye mission ya kumteka kijana . Na walipompata wakamwingiza Msumbiji kwa kumtupa kwenye buti la gari.

Kufika Msumbiji ndege ilikuwa ikimsubiri , moja kwa moja mpaka kwa watu wasiojulikana Dar. Hapa baada ya kubanwa korodani na mateso mengi kwa shinikizo la UNHCR pamoja na Human Rights akaachiliwa na kuchukuliwa na Denmark
 
Serikali hii ya Papa Doc.??? Labda waje Mambosasa & Co. walete tamthilia zao
Nyie mnadanganyika kirahisi sana. Viashiria vyote ni kuwa, sinema ya Ansbert Ngurumo ni kama ya yule Abdul Nondo. Nondo atekwe halafu karudi poa kabisa labda na marinda yake ! Huyu mwingine anasema kafuatiliwa halafu kaweza kusafiri kwenda Finland, how?? Mnacheza nyinyi.
 
Amekimbia na familia yake?
Kama hapana, hawataidhuru familia?
Hali hii inatisha sana
 
Back
Top Bottom