TANZIA Mwandishi Emmanuel Chacha wa ITV afariki dunia. Amefariki ghafla akiwa jijini Mwanza

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Aliyekuwa mwandishi mwandamizi wa kituo cha ITV na Radio One, Emmanuel Chacha amefariki dunia jioni ya leo Februari 10, 2022 akiwa jijini Mwanza.

Chacha alianguka ghafla ambapo amefariki akiwa njiani akipelekwa hospitali.
 
Jamani watu wanakufa kama kuku kideri.

Hebu turudi kwenye organic diet tulinde afya zetu.

R. I. P. Emmanuel Chacha
 
Aliyekuwa mwandishi mwandamizi wa kituo cha ITV na Radio One, Emmanuel Chacha amefariki dunia jioni ya leo Februari 10, 2022 akiwa jijini Mwanza.

Chacha alianguka ghafla ambapo amefariki akiwa njiani akipelekwa hospitali.
View attachment 2115244
Ni majonzi makubwa kwetu sisi wananzengo wenzake, pole kwa familia, ndugu jamaa na marafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…