TANZIA Mwandishi Emmanuel Chacha wa ITV afariki dunia. Amefariki ghafla akiwa jijini Mwanza

TANZIA Mwandishi Emmanuel Chacha wa ITV afariki dunia. Amefariki ghafla akiwa jijini Mwanza

NCD ni noma sana ndugu zangu, mtu anaanguka ghafla mwingine anasema ngoja nijilaze kidogo ndio analal moja kwa moja. Tujitahidi sana kufanya mazoezi angalau hata mara 3 kwa week, hata kuruka kamba unatoka jasho unaoga inatosha.

Kutofanya mazoezi kbisa ni hatari sana kwa afya. Kingine pia tupunguze sana matumizi ya ma red meat, sukari, chumvi mbichi, mapombe pombe haya, soda, majuice ya viwandani, all kind of processed food, majuck food i.e. chips etc... anyway God forbid tutakwisha
Chupa nne za bia ni sawa na kufanya mazoezi ya kuruka.
 
Back
Top Bottom