Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
February mpaka March ni hatari sana kwa Tanzia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kile kirusi kipyawapiga ramli watakuja, mara oh huu mwaka ivi, mwaka vile
Pole kwenu wana kiseke PPFNi majonzi makubwa kwetu sisi wananzengo wenzake, pole kwa familia, ndugu jamaa na marafiki
Wimbi la tano, loadingwapiga ramli watakuja, mara oh huu mwaka ivi, mwaka vile
Mkuu kikifika kimefika tu. Kikubwa nikufurahia zawadi ya uhai na afya madam ungali unayo.NCD ni noma sana ndugu zangu, mtu anaanguka ghafla mwingine anasema ngoja nijilaze kidogo ndio analal moja kwa moja. Tujitahidi sana kufanya mazoezi angalau hata mara 3 kwa week, hata kuruka kamba unatoka jasho unaoga inatosha. Kutofanya mazoezi kbisa ni hatari sana kwa afya. Kingine pia tupunguze sana matumizi ya ma red meat, sukari, chumvi mbichi, mapombe pombe haya, soda, majuice ya viwandani, all kind of processed food, majuck food i.e. chips etc... anyway God forbid tutakwisha
Nimeipenda sana comment yakoRIP
Tutaonana Asubuhi ile njema yenye utukufu.....................
Pole kwa familia.Aliyekuwa mwandishi mwandamizi wa kituo cha ITV na Radio One, Emmanuel Chacha amefariki dunia jioni ya leo Februari 10, 2022 akiwa jijini Mwanza.
Chacha alianguka ghafla ambapo amefariki akiwa njiani akipelekwa hospitali.
View attachment 2115244
Issue ni kupunguza risk mjomba, kwa nini ukikimbilie kifo wakati unaweza kikwepa at least for some time. Yaani ni kama vile uendeshe gari alafu hufuati kabisa tahadhari za barabarani, wewe taa nyekundu umevuka, overtake za kibwege, maspidi yasiyokuwa na mpango nakwambia hutoboiMkuu kikifika kimefika tu. Kikubwa nikufurahia zawadi ya uhai na afya madam ungali unayo.
Hakuna wimbi wala nini huyo jamaa alikua anaumwa mda mrefu pia ulevi wa pombe kali imagine konyagi dry utatoboa?Wimbi la tano, loading