Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa; Upumzike kwa Amani Babu Edwin Semzaba.Yule mwandishi nguli wa Fasihi Tanzania, Edwin Semzaba afariki dunia (RIP).
Kwa wale wana Fasihi na wana UDSM & Tanzania kwa ujumla tumepatwa na msiba mkubwa sana leo.
Edwin Semzaba ni mwandishi wa kitabu maarufu cha Ngoswe - Penzi kitovu cha uzembe.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa. Jina la bwana lihimidiwe!!
Cc Kipilipili Creative Writing 256-257Kwa wale Wana fasihi NA WANA UDSM TUMEPATWA NA MSIBA MKUBWA SANA LEO
EDWIN SEMZABA mwandishi wa kitabu maarufu cha Ngoswe penzi kitovu cha uzembe. Amefariki dunia leo.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa. Jina la bwana lihimidiwe
Acha tu babu Ngoswe na ile 'WASIFU WA MPENZI WANGU' wallah sitasahau jinsi nilivyomsifia kipusa wangu mtoto wa Mwananyamala nilokutana nae Tandale,ana rangi ya kichuguu,MIE SISEMI KAKAnakosa cha kusema hasa nikikumbuka ucheshi wake...rafiki,mtunzi,mwalimu na gwiji la uandishi....taswira hazinishi!poleni FPA,poleni TATAKI