Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongelea nini??fantastic n bombastic,minyoosho kumbe bado inaendelea,mi nilizani season ilishakwisha,au ni season 2 hii?
creative writtings...daah! ilijaa ubunifu mno! ntamkumbuka babu ngoswe kwa mengi sana. mojawapo aliwahi kunambia nitafte kiasi fulani cha pesa kidogo tu wala si kingi halafu atanishika mkono kunipeleka kwa publisher!Acha tu babu Ngoswe na ile 'WASIFU WA MPENZI WANGU' wallah sitasahau jinsi nilivyomsifia kipusa wangu mtoto wa Mwananyamala nilokutana nae Tandale,ana rangi ya kichuguu,MIE SISEMI KAKA
Zote hizo alikuwa nazo
Inlalilahi wa inlailaihi rajiuunZote hizo alikuwa nazo
Ntajitahidi walau nimuenz In shaa Allah kwa kuhakikisha hiyo SISI KWA SISI BASI inaingia sokoni,creative writtings...daah! ilijaa ubunifu mno! ntamkumbuka babu ngoswe kwa mengi sana. mojawapo aliwahi kunambia nitafte kiasi fulani cha pesa kidogo tu wala si kingi halafu atanishika mkono kunipeleka kwa publisher!
babu ngoswe na eskudo na vituko vyake....acha tu
Vipi kitabu chako kimetokacreative writtings...daah! ilijaa ubunifu mno! ntamkumbuka babu ngoswe kwa mengi sana. mojawapo aliwahi kunambia nitafte kiasi fulani cha pesa kidogo tu wala si kingi halafu atanishika mkono kunipeleka kwa publisher!
babu ngoswe na eskudo na vituko vyake....acha tu
Mbele yako nyuma yetu
Ntajitahidi walau nimuenz In shaa Allah kwa kuhakikisha hiyo SISI KWA SISI BASI inaingia sokoni,