Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

punguza munkar mkuu kutokujuw kiswahili haibadili ukwel , jibu kwa hoja zeny utimamu sio kuikimbia mada
Kutokuja Kiswahili unakuwa popoma moja kwa moja haswa kwa mtu ambaye amefika mpaka kiwango cha kumiliki simu kwani ni vyema angetumia muda wake vizuri kujielimisha kwanza kabla ya kuchukua simu na kuvamia mijadala.

Kama kiswahili tu mtu hawezi anashindwa mpaka na mhitimu ya darasa la 7 hapo atakua na uwezo wa kuchambua hoja au kumuwekea marejeo(reference) ya kusoma na yeye kuelewa kweli ?
 
Wasivyokuwa na akili wanazidi kuthibitisha alichokiandika huyo victim kwamba kipo,how kuuwa mtu kisa amekashifu dini sijui kitabu then unapata faida gani?

Hamna dini humo ni kikundi cha wahuni tu.

Kwani huyo Rushdie alifanya kosa gani hadi achomwe kisu??!!😏
 
Sijali nini kimemtokea huyo jamaa sababu kila mtu atakula alichokitafuta.
Ila ninachojali ni kwanini yeye athubutu kukashifu imani za watu.

Hautatui tatizo kwa kulifunika na tatizo lingine.
Haya,tuseme yeye ni miongoni mwa watu ambao hawajastaarabika mpaka kukashifu!
Fikiria baba au familia ya huyo aliyeenda kumdhuru!Amewaachaje? Anaweza akaonekana hero lakini Kwa gharama gani?There is always a better solution!Mimi kama baba wa familia,hata unitukanie wazazi wangu kiasi gani,siwezi kurespond in a way ambayo itanitenganisha na wanangu forever!Kupanga ni kuchagua!
Mimi ningekuwa kaka wa huyo aliyetenda hivyo,nisingekuwa proud!Maana najua mama yangu angeteseka maisha yake yote Kwa ajili ya mwanae ambaye Yuko gerezani,for the sake of what?
 
Haya,tuseme yeye ni miongoni mwa watu ambao hawajastaarabika mpaka kukashifu!
Fikiria baba au familia ya huyo aliyeenda kumdhuru!Amewaachaje? Anaweza akaonekana hero lakini Kwa gharama gani?There is always a better solution!Mimi kama baba wa familia,hata unitukanie wazazi wangu kiasi gani,siwezi kurespond in a way ambayo itanitenganisha na wanangu forever!Kupanga ni kuchagua!
Mimi ningekuwa kaka wa huyo aliyetenda hivyo,nisingekuwa proud!Maana najua mama yangu angeteseka maisha yake yote Kwa ajili ya mwanae ambaye Yuko gerezani,for the sake of what?
Aliyemchoma mwenzake kisu simuoni kama hero wala sijali kitamkuta nini sababu sio tatizo langu wala halinihusu.
Yeye anasimama kama yeye.
 
Kumbe na wewe unatambua alichofanya ni upumbavu!
Seriously?
Hilo si nilishalisema tangu comment za mwanzo? kwamba alichokifanya haijalishi ni kizuri au kibaya mimi sijali sababu sio tatizo langu na sipati hasara au faida yoyote. kwani kila mtu atakutana na consequences za matendo yake. bali ninachojali ni yeye kukashifu imani za watu.

Rudia tena kusoma niliyoyaakiandika kwa umakini.
 
Sikubaliani kulazimishana kuheshimu imani za wingine ambazo kwangu hazina mashiko, naweza kuzipuuza tu na kutojali.
Hadithi ni kulingana na wewe Yoda. Kwa mwingine kwake si hadithi ni jambo halisi. Hapa ndipo heshima inapotakiwa ifanye kazi na ni kinyume cha sheria pia kutukana imani nyingine kwa namna itakayoonyesha kumvunjia heshima huyo muamini. Ni simpe tu, HESHIMU IMANI YA MWINGINE. MAISHA NI MAZURI SANA KAMA TUTAHESHIMIANA.
 
[Pepo ya wakristo haina starehe za kibanadamu. Yesu alipoulizwa alijibu kwamba mbinguni haku a kuoa wala kuolewa bali ni kumsifu na kumwabudu Mungu tu.

Hii ni moja ya tofauti kubwa Kabisa ya uislam na ukristo,matamanio yote ya kimwili yataishia hapa hapa duniani. Kama ltaenda kupewa houris huko peponi kongole kwenu,vipi kuhusu wanawake wa kiislam? Watepewa wanaume wa kukidhi haja zao za kimwili?
QUOTE="Etugrul Bey, post: 43442979, member: 605319"]
Nimerudi tena baada ya kuona upuuzi umepungua Kwa asilimia kubwa....na shukrani zimuendee adriz ambaye alitoa hoja kadhaa ambazo zimesaidia kuweka Hali ya hewa kuwa nzuri.

Vile vile nitoe kongole Kwa mkuu Tsh na mkuu Kalunya Kwa kujadiliana vizur Kwa ustaarabu mkubwa much respect brothers......siku zote kwenye mijadala ya Dini hatafutwi mshindi Ila tunashare maudhui ya Dini zetu na kisha kila mtu anachakata hizo taarifa kivyake....

Kuna hoja kadhaa ningependa kuzijadili kidogo......binadamu yoyote huamasishwa na mambo mawili Tu....ambayo ni karoti na fimbo...Kwa maana akifanya jema atapata zawadi na akifanya baya ataadhibiwa...hayo ndo mambo ambayo yanaweza mfanya binadamu akabadili Tabia yake na mwenendo wake.

Ndo maana Mwenyezi Mungu ameahidi pepo Kwa wataofanya matendo mema na Moto Kwa ambao wataofanya mambo maovu.....haya mambo mawili ndio yanayo tufanya kufuata maamrisho yake na kuacha makatazo yake....sasa nije kwenye hoja ya wanawake WA peponi ambao wanaitwa Mahurulaini...ambao baadhi ya watu wametoa hoja kuwa waislamu wamebadilishwa akili zao kwa kuahidiwa wanawake mabikra! Iko hivi....Mwenyezi Mungu hapendi zinaa hata kidogo,kwahiyo anajua waja wake wapo ambao wanazini....anachotueleza Allah (Mwenyezi Mungu) ni kuwa tusibabaike na hawa wanawake WA dunia hii Kwa kuzini Bali tuache zinaa kwani ametuandalia wanawake Bora huko peponi ambao wametakaswa na machafu yote,kwahiyo kama hawa wanawake wanatuzuzua basi kuna ambao ni Bora kuliko hao Kwa wale ambao watajitakasa na kufuata maamrisho ya Mwenyezi Mungu,hapo imetumika kanuni ya karoti na fimbo.

Tuache pombe na kamari ambazo ni miongoni mwa kazi za shetani,ambazo zina hasara Kwa wengi na faida Kwa wachache....tuongee ukweli mpo wengi mnao bet humu lkn je ninani anaefaidika zaidi kama sio ambao wanamiliki hayo makampuni? Na ulevi unawasababishia watu wamsahau Mola wao na kuacha swala....sasa wanaambiwa waumini kuwa kama ishu ni pombe Tu! Basi huko peponi kuna pombe ya kutosha ambayo haileweshi wala kupoteza akili za watu na zenye Radha nzuri Kwa wanywao,Kwa maana nyingine tunaambiwa tusimuasi Mwenyezi Mungu Bali tuwe na subira tutayapata hayo yanayo pendwa na nafsi zetu tena yakiwa katika ubora wa Hali ya juu kabisa....hapa Mwenyezi Mungu anajua akili na utashi WA waja wake ndio maana ametumia kanuni ya karoti na fimbo.


Tuje kwenye hoja ya Ugaidi....Uislamu ndio Vita kuu ya tatu ya dunia, wasio Kuwa waislamu wanashtushwa na ukuaji mkubwa wa Dini hii hapa duniani....hivyo wanatafuta kila namna ya kuichafua lkn kamwe hawataweza kwani tayari ilishasemwa katika Maandiko juu ya watu wengi kuingia ktk Uislamu....kwahiyo jinsi wanavyo sambaza propaganda mbaya ndivyo jinsi watu wengi wanavyo usoma Uislamu na kujua ukweli wake....hata Ile ishu ya Osama alipolipua Kule America ilileta ilileta attention kubwa ya watu na kutaka kujua je Uislamu ni Ugaidi au laa...kinyume chake watu wengi waliujua Uislamu na wakasilimu baada ya kujua ukweli Mashallah.....na ndo hivyo hivyo Kwa huyu bwege,atayafanya watu tena wafunue Qur'an na kuangali je kuna Aya za shetani? Trust me watajionea yaliyomo na kusilimu Kwa wingi.

Hoja je Uislamu ni Dini ya Amani,ni kweli Dini hii ni ya Amani.....na labda nigusie je Uislamu ni nini? Uislamu ni unyenyekevu mbele ya Mwenyezi Mungu mmoja Kwa kufuata maamrisho yake n kuacha makatazo yake....na ndio maana manabii wote walikuwa waislamu, na Dini hii ni kongwe Sana,kuanzia Adam,Nuhu,Yesu mpaka Muhammad,wote hawa waliamrisha KUABUDIWA Kwa Mungu Mmoja Tu na si vinginevyo....kwahiyo Uislamu sio kanzu,kofia na kobazi laa!

Salaam yetu ni ''Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yako'' hata Yesu nae alisalimia hivyo hivyo na manabii wengine wote na ndio salamu ya peponi hiyo,ukibahatika kuingia utaitumia Sana hiyo.....sasa matumizi ya upanga yamekuja kuondoa udhalimu ambao walikuwa wanafanyiwa waislamu baada ya kuachana na miungu ya kipagani na kuamua kumwabudu Mungu Mmoja,ili haki ipatikane na waislamu wawe salama ilibidi upanga utumike....lkn hawakulazimishwa watu kuingia katika Dini...hata Qur'an imesema hakuna mtu Kulazimishwa kuingia katika Dini na ndivyo ilivyo siku zote.

Nimeona nigusie kidogo mambo hayo baada ya kuona kuna hoja zililetwa hapo.
[/QUOTE]Umemaliza kila kitu mkuu [emoji817][emoji817][emoji95][emoji95]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikubaliani kulazimishana kuheshimu imani za wingine ambazo kwangu hazina mashiko, naweza kuzipuuza tu na kutojali.
Huna namna, kama upo huru ndani ya hii nchi inamaana unaheshimu na ww unaheshimiwa otherwise kuna jambo lisilopendeza lingeshakupata.
 
Seriously?
Hilo si nilishalisema tangu comment za mwanzo? kwamba alichokifanya haijalishi ni kizuri au kibaya mimi sijali sababu sio tatizo langu na sipati hasara au faida yoyote. kwani kila mtu atakutana na consequences za matendo yake. bali ninachojali ni yeye kukashifu imani za watu.

Rudia tena kusoma niliyoyaakiandika kwa umakini.
Na Mimi sijali kilichompata huyo aliyekashifu dini kwani hakinipi faida Wala hasara!
Ninachojali ni hatma ya kijana wa miaka 24 aliyeamua kukatisha ndoto za maisha yake na wanaomtegemea for nothing!
 
Na Mimi sijali kilichompata huyo aliyekashifu dini kwani hakinipi faida Wala hasara!
Ninachojali ni hatma ya kijana wa miaka 24 aliyeamua kukatisha ndoto za maisha yake na wanaomtegemea Kwa for nothing!
Huyo kijana yuko sahihi kutokana na mafundisho ya dini yake.

Kwamba kuna wakati hamtakiwi kujibu swali mnaloulizwa bali kupigana Jihadi tu.

Huyo peponi atapata kila kitu alicho ahidiwa na Mola wake.
 
Huyo kijana yuko sahihi kutokana na mafundisho ya dini yake.

Kwamba kuna wakati hamtakiwi kujibu swali mnaloulizwa bali kupigana Jihadi tu.

Huyo peponi atapata kila kitu alicho ahidiwa na Mola wake.
Ndio asubiri hiyo Pepo huku akinyea debe for the rest of his life!
Kupanga ni kuchagua!
 
Ndio asubiri hiyo Pepo huku akinyea debe for the rest of his life!
Kupanga ni kuchagua!
Cha msingi kwake ni kujihakikishia mito ya asali na maziwa inakuwa permanent baada ya kifo chake.

Hizi Dini zinaondoa kabisa akili za baadhi ya waumini wake.

Wanabaki kuwa na pumba tupu vichwani mwao.
 
Back
Top Bottom