Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

punguza munkar mkuu kutokujuw kiswahili haibadili ukwel , jibu kwa hoja zeny utimamu sio kuikimbia mada
Kutokuja Kiswahili unakuwa popoma moja kwa moja haswa kwa mtu ambaye amefika mpaka kiwango cha kumiliki simu kwani ni vyema angetumia muda wake vizuri kujielimisha kwanza kabla ya kuchukua simu na kuvamia mijadala.

Kama kiswahili tu mtu hawezi anashindwa mpaka na mhitimu ya darasa la 7 hapo atakua na uwezo wa kuchambua hoja au kumuwekea marejeo(reference) ya kusoma na yeye kuelewa kweli ?
 
Wasivyokuwa na akili wanazidi kuthibitisha alichokiandika huyo victim kwamba kipo,how kuuwa mtu kisa amekashifu dini sijui kitabu then unapata faida gani?

Hamna dini humo ni kikundi cha wahuni tu.

Kwani huyo Rushdie alifanya kosa gani hadi achomwe kisu??!!😏
 
Sijali nini kimemtokea huyo jamaa sababu kila mtu atakula alichokitafuta.
Ila ninachojali ni kwanini yeye athubutu kukashifu imani za watu.

Hautatui tatizo kwa kulifunika na tatizo lingine.
Haya,tuseme yeye ni miongoni mwa watu ambao hawajastaarabika mpaka kukashifu!
Fikiria baba au familia ya huyo aliyeenda kumdhuru!Amewaachaje? Anaweza akaonekana hero lakini Kwa gharama gani?There is always a better solution!Mimi kama baba wa familia,hata unitukanie wazazi wangu kiasi gani,siwezi kurespond in a way ambayo itanitenganisha na wanangu forever!Kupanga ni kuchagua!
Mimi ningekuwa kaka wa huyo aliyetenda hivyo,nisingekuwa proud!Maana najua mama yangu angeteseka maisha yake yote Kwa ajili ya mwanae ambaye Yuko gerezani,for the sake of what?
 
Aliyemchoma mwenzake kisu simuoni kama hero wala sijali kitamkuta nini sababu sio tatizo langu wala halinihusu.
Yeye anasimama kama yeye.
 
Kumbe na wewe unatambua alichofanya ni upumbavu!
Seriously?
Hilo si nilishalisema tangu comment za mwanzo? kwamba alichokifanya haijalishi ni kizuri au kibaya mimi sijali sababu sio tatizo langu na sipati hasara au faida yoyote. kwani kila mtu atakutana na consequences za matendo yake. bali ninachojali ni yeye kukashifu imani za watu.

Rudia tena kusoma niliyoyaakiandika kwa umakini.
 
Sikubaliani kulazimishana kuheshimu imani za wingine ambazo kwangu hazina mashiko, naweza kuzipuuza tu na kutojali.
 
[/QUOTE]Umemaliza kila kitu mkuu [emoji817][emoji817][emoji95][emoji95]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikubaliani kulazimishana kuheshimu imani za wingine ambazo kwangu hazina mashiko, naweza kuzipuuza tu na kutojali.
Huna namna, kama upo huru ndani ya hii nchi inamaana unaheshimu na ww unaheshimiwa otherwise kuna jambo lisilopendeza lingeshakupata.
 
Na Mimi sijali kilichompata huyo aliyekashifu dini kwani hakinipi faida Wala hasara!
Ninachojali ni hatma ya kijana wa miaka 24 aliyeamua kukatisha ndoto za maisha yake na wanaomtegemea for nothing!
 
Na Mimi sijali kilichompata huyo aliyekashifu dini kwani hakinipi faida Wala hasara!
Ninachojali ni hatma ya kijana wa miaka 24 aliyeamua kukatisha ndoto za maisha yake na wanaomtegemea Kwa for nothing!
Huyo kijana yuko sahihi kutokana na mafundisho ya dini yake.

Kwamba kuna wakati hamtakiwi kujibu swali mnaloulizwa bali kupigana Jihadi tu.

Huyo peponi atapata kila kitu alicho ahidiwa na Mola wake.
 
Huyo kijana yuko sahihi kutokana na mafundisho ya dini yake.

Kwamba kuna wakati hamtakiwi kujibu swali mnaloulizwa bali kupigana Jihadi tu.

Huyo peponi atapata kila kitu alicho ahidiwa na Mola wake.
Ndio asubiri hiyo Pepo huku akinyea debe for the rest of his life!
Kupanga ni kuchagua!
 
Ndio asubiri hiyo Pepo huku akinyea debe for the rest of his life!
Kupanga ni kuchagua!
Cha msingi kwake ni kujihakikishia mito ya asali na maziwa inakuwa permanent baada ya kifo chake.

Hizi Dini zinaondoa kabisa akili za baadhi ya waumini wake.

Wanabaki kuwa na pumba tupu vichwani mwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…