Nzie ya Mana
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,515
- 1,730
Haya ni majinga Sana! Unampigania Mungu, yeye hana uwezo?Mungu mwenyewe aliyedhalilishwa amemruhusu aishi, sasa mbona watu baki wanajichukulia sheria mkononi!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ni majinga Sana! Unampigania Mungu, yeye hana uwezo?Mungu mwenyewe aliyedhalilishwa amemruhusu aishi, sasa mbona watu baki wanajichukulia sheria mkononi!?
Waambie hao wajinga ukweli!Ila wavaa kubadhi, sijui wanajionaga wasaidizi wa MUNGU wao ya kwao yanawashinda huko Uarabuni kazi kusumbua kwenye Nchi za watu.
Yupo, baada ya fatwa akapata hifadhi Mangaribi huko. Kumbe bado wanamfuatilia, wana visasi hawa!Nimekumbuka mbali sana kipindi hicho "no internet" ila huyu bwana ali-trend sana kiasi kwamba niliamini hayupo duniani kumbe yupo hadi hii leo
Amani ya kujilipua,kuchinja na kuchoma visu Binadamu?🚮Dini ya amani.. dini ya allah.
Dini ya visasi, kama Allah ana nguvu mwache ajipiganie mwenyewe!Dini ya amani.. dini ya allah.
Waambie ukweli hao wajinga!Dini ya visasi...
Mungu angekua mkali kama watu wale...hakuna mwanadamu angetoboa
🤣🤣🤣🙌Amani wakati wao wenyewe hawaelewani? Shia na suni hawaelewani, alkaida halewani na alshababu, mujahideen hawalewani na Janjaweed, ISIS hawaelewani na Alkaida wakati wote wanamtetea allah mmoja. Hii dini ina vituko.
Hapa Tanzania Wakati huo Lyatonga Mrema alikuwa Naibu Waziri mkuu alikipiga Ban Hiki Kitabu ilikuwa ukikutwa nacho ni sawa sawa ya kukutwa na mihadharati.Usiumie sana mkuu, huyu mwamba ali-trend sana those days kutokana na kitabu chake hata asingetaja kuna watu wangetaja kutokana na jinsi alivyokuwa "most wanted" kwenye nchi za mashariki ya kati
Which Muslim with good behaviour? Akina Wema Sepetu,au Muslim women gani bro?Balaa kubwa hilo,
Katika vitu ambavyo mimi hueshimu sana ni Deen ya mtu, kwa sababu hii kitu mtu huanza kupandikizwa akiwa mtoto mdogo hivyo humkaa mwanadamu kisawasawa. Although I most likes Muslim women, for its good behave.
Hiyo ndio maana ya heshima ni kitu cha bure.Mungu mwenyewe aliyedhalilishwa amemruhusu aishi, sasa mbona watu baki wanajichukulia sheria mkononi!?
Mimi sio mtu wa dini sana lakini ukiitukana dini yangu lazima nipanic.Dini ya amani.. dini ya allah.
Not stupid, it's very personal.Kwa nini wasiache Mungu mwenyewe ndiye amuhukumu kwa nini wamuhukumu wao kama kweli aliyekosewa ni mwenyezi Mungu.
Kuna imani zingine zina matatizo sana. Huwezi kujichukulia sheria mkononi kumwadhibu mtu kwa kudai kwamba eti amekufuru. This is very stupid.
Hebu acha upumbavu mkuu.Ukiwambia kua hii dini ina mistari ya kishetani wanakataa, wanasema ni dini ya amani. Amani gani hapo?
Ametukanwa mungu wewe unaumia, kwani wewe umekua Mungu uumie kutukanwa? Si mungu mwenyewe ashughulike na aliemtukana ama hawezi ndio maana inabidi binadamu wamsadie?
Dini nyingine bwana.
Tutakufanyia fatwa muda si mrefu endelea tuUkiwambia kua hii dini ina mistari ya kishetani wanakataa, wanasema ni dini ya amani. Amani gani hapo?
Ametukanwa mungu wewe unaumia, kwani wewe umekua Mungu uumie kutukanwa? Si mungu mwenyewe ashughulike na aliemtukana ama hawezi ndio maana inabidi binadamu wamsadie?
Dini nyingine bwana.
Tutakufanyia fatwa endelea tuWasivyokuwa na akili wanazidi kuthibitisha alichokiandika huyo victim kwamba kipo,how kuuwa mtu kisa amekashifu dini sijui kitabu then unapata faida gani?
Hamna dini humo ni kikundi cha wahuni tu.
Unajua maana ya personalization? na kuheshimu vya wengine?Wasivyokuwa na akili wanazidi kuthibitisha alichokiandika huyo victim kwamba kipo,how kuuwa mtu kisa amekashifu dini sijui kitabu then unapata faida gani?
Hamna dini humo ni kikundi cha wahuni tu.