Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

Usiumie sana mkuu, huyu mwamba ali-trend sana those days kutokana na kitabu chake hata asingetaja kuna watu wangetaja kutokana na jinsi alivyokuwa "most wanted" kwenye nchi za mashariki ya kati
Nakumbuka Iran ilikumbwa na tetemeko kubwa Sana la ardhi walipata hasara namadhaya makubwa, Salman kutoka mafichoni akatoa mchango wa kutosha Iran wakapokea mchango wakamshukuru na kumwambia japo umetuchangia Fatwa.iko.palepale ,[emoji44][emoji44]

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Hawa wavaa vipedo huwa wanajiona nani hapa duniani?
 
When you cut off a man's tongue you're not showing the world how powerful you are but rather how afraid you are of his words.
How afraid of his words, or you cut his tongue because of how tired, insulted and humiliated by his words?
That quote is immensely unrelated and Inapplicable here.

Who wrote the stupid quote?
 
Dini lenyewe la waarabu, unaacha mila zako unaenda kuua kisa dini ya kipuuzi ya kigeni.

Huu ni ujinga usiomithirika
Unajua maana ya personalization?
Irony and shame ni kwamba hakuna mtu anaweza kujibu maswali yangu sababu wanagundua ni jinsi gani walivyo wajinga na wanachokiandika ni utterly nonsense.

Good God.
 
Mwandishi maarufu wa vitabu Salman Rushdie ameshambuliwa kwa kuchomwa shingoni hivi leo akiwa katika ukumbi mmoja huko New York, Marekani.

Ikumbukwe kuwa mwaka 1989 alitoa kitabu chake kimoja cha 'Satanic Verses' kilichowakera sana waumini wa dini ya Kiislamu hadi ikapelekea nchi ya Iran kukipiga marufuku. Pia mwandishi huyo alisomewa Fatwa na kiongozi wa Iran Ayatollah Khomeini iliyotaka maandishi huyo auawe.
 
Umesoma kilichoandikwa kwenye mada au unakurupuka kuandika kutokana na kilicho moja kwa moja ndani kabisa ya subconscious yako?

Hate, isn't it?
"Mwandishi wa vitabu na makala maarufu Profesa Salman Rushdie amevamiwa na kuchomwa kisu akiwa kwenye mhadhara na anaedhaniwa kua ni muumini wa dini ya kiislamu huko New York"

Acha kutetea
 
If you really think this guy is blasphemous then why don't you trust God or Allah or whoever to take care of it?
Seriously?
Religion and God is a belief not something tangible or logical, it's an emotional attachment and satisfaction, and more important is it's personalized.

So you're dealing with individuals not God.
 
When you cannot proof yourself then you try to hide the truth by force
Dude what the hell you talking about? besides understanding did you even read that?
Hide what? I told you that religion is a belief, now how the hell can you prove the existence of a "belief"?
I mean an actual existence of belief?

What kind of proof you're talking about?
 
Back
Top Bottom