Mwandishi wa habari wa Al Jazeera, Shireen Abu Akleh auawa akiwa katika majukumu yake ya kazi

Mwandishi wa habari wa Al Jazeera, Shireen Abu Akleh auawa akiwa katika majukumu yake ya kazi

Lete ya kwako, na piga nilipodanganya. Quote nilikodanganya useme hapa umedanganya ilikuwa hivi.
Kabla ya yote jiulize nini kilipelekea nisifanye haya unayonita niyafanye pindi nilipoona andishi lako kwa mara ya kwanza.
Then ukiipata hiyo sababu ifanye kuwa jibu langu dhidi ya hitaji lako.
 
Kabla ya yote jiulize nini kilipelekea nisifanye haya unayonita niyafanye pindi nilipoona andishi lako kwa mara ya kwanza.
Then ukiipata hiyo sababu ifanye kuwa jibu langu dhidi ya hitaji lako.
Sasa nijiulize nini wakati mimi sio wewe? We onyesha nilipodanganya au kupotosha kama huwezi kufanya hivyo basi ungeendelea kaa kimya kama mwanzo maana mpaka sasa hujaeleza chochote
 
Sasa nijiulize nini wakati mimi sio wewe? We onyesha nilipodanganya au kupotosha kama huwezi kufanya hivyo basi ungeendelea kaa kimya kama mwanzo maana mpaka sasa hujaeleza chochote
Kujiuliza si Mari yangu binafsi hata wewe useme uwezi jiuliza, Abi?.
Then nimesema kuwa, sababu iliyonifanya nisijibu/changia chochote pale nilipoona uzi wako kwa mara ya kwanza ndiyo sababu hiyo hiyo inanifanya nisifanye iki unachonitaka nifanye sasa.
Na zaidi huo uzi wako nimeuingiza kama mfano tu na wala si sehemu ya mada.
 
Huyu mwandishi kauawa na Wapalestina wenyewe sababu Wapalestina wamegoma kutoa mwili wake kwa wachunguzi huru waufanyie uchunguzi badala yake wamemzika bila uchunguzi wowote.
 
Kujiuliza si Mari yangu binafsi hata wewe useme uwezi jiuliza, Abi?.
Then nimesema kuwa, sababu iliyonifanya nisijibu/changia chochote pale nilipoona uzi wako kwa mara ya kwanza ndiyo sababu hiyo hiyo inanifanya nisifanye iki unachonitaka nifanye sasa.
Na zaidi huo uzi wako nimeuingiza kama mfano tu na wala si sehemu ya mada.
Sasa ulikuwa na haja gani ya kuniquote kama hukutaka changia maana bado ulichofanya hakina maana
 
Sasa ulikuwa na haja gani ya kuniquote kama hukutaka changia maana bado ulichofanya hakina maana
Chief, uko sawa kweli?.
Ndiyo, nimekukot lakini nimekukot kwa MUKTADHA upi ilo ndilo uliangalie.
Ni hivi hiyo mada yako ya mgogoro wa palestina nimeigusia kama mfano tu juu iki unachokifanya dhidi ya jamaa unaejadiliana nae.
Andishi lako umelileta kama ushahidi as if wewe ndiyo last say wa mgogoro wa Palestina na Israel. Labda nikuulize, nini kimefanya umletee nyuzi yako huyo jamaa unaejadiliana nae badala ya kumletea vyanzo vingine nje na nyuzi yako?.
Huna tofauti na watu wanaotumia Qur'an kuonyesha kile wanachokiita makosa ya Biblia.
 
Ulikuwepo mkuu? Tuachane nayo maana unaelekea kwenye matusi
kaangalie habari , wanakwambia kuwa askari wa Israel walimuona ila wakashoot ( kwa mujibu wa wavaa kobaz wenzio ) , ss jiulize watu wapo kwenye mtanange kihelehele cha nini kujiweka front ? bila guard
 
Ngoja wewe ndo nikuelezee labda hujui.
Utawala wa kirumi ndio uliwaondoa Wayahudi kutoka Yudea ambayo ndio Yerusalem mwaka 135 CE na kuubadili jina kuuita Palestina. Zingatia mwaka hapo ni muhimu.
Baada ya hapo Warumi walisambaa maeneo mbalimbali ambayo yalikuwa chini ya utawala wa Kirumi ambayo ni Ulaya ya leo.
Umetaja vita ya msalaba ya karne ya 11, hiyo vita wayahudi waliuawa sana na wapigania Kristo kwa madai kuwa wao ndio chanzo cha kifo cha yesu.
Karne ya 14 pia wakauawa sana kwamba wao ndo chanzo cha black deaths.
Na muda wote huo walikuwa Ulaya.
Sasa sujui unaposema vita ya msalaba una maana gani maama wameuawa na crusaders.
Sasa turudi kwenye swali moja. Natives wa america ni red Indiana, kama wazungu wa kwanza kufika america wamefika mwaka 1565, na leo wanaimiliki Amerika wahindi weusi hawadai ardhi yao, iweje watu waliondoka hapo mwaka 135 CE (Yani zamani zaidi) warudi baada ya mamia ya miaka kudai ardhi?
Kila saa ninakuuliza awali dogo, na narudia tena.
Hivi inawezekana Wangoni leo hii warudi Afrika Kusini waende kwenye enewo walilofukuzwa na Shaka Zulu, waseme hili eneo lilikuwa la kwetu, tumerudu kulichukua, na dunia iwaunge mkono kuchukua hilo eneo? Inawezekana kweli?
Kama haiwezekani hilo kwa wengine, ni kwanini iwe tu kwa Jews?
wayaudi walirudi kuishi wala sio kupora ardhi ila wapalestine ndo hawakuwa tyr kuwapokea wenzao wakaanza figisu , na hizo figisu ndo zinawala sasa hv
 
Kila kitu kingekuwa kinaamuliwa kwa misingi ya imaani, basi bila shaka dunia nzima watu wangeuana. Hao wayahudi wameuawa kwenye karne 11 wakati ya vita vya msalaba huko ulaya kwa msingi wa kwamba walimuua Yesu. Hitler siye tu alieanaza kuwaua.
Wapigania Kristo (crusaders) wamewaua sana kwa msingi kuwa walimuua Yesu.
Na hapo walikuwa wametapakaa Ulaya baada ya kufukuzwa na dola ya Kirumi huko Jerusalem kuanzia mwaka 135 CE.
Karne ya 14, wakaanza kuuawa tena kuwa wao ndio chanzo cha black deaths.
Ndio maana nakwambia kama kila mtu ataamua kumhukumu mwenzake kwa imani ya dini yake basi kuna imani zinazoona jamii flani haitakiwi kuishi.
walifikaje ulaya , nyinyi pia mliwaua mkawafukuza kutoka kwenye ardhi yao , ss hv mnajisahau na kujifanya ardhi ishakuwa yenu
 
Shida ndio hapo hapo. Waliowafukuza hapo in the first place ni hao hao wenye hiyo imani, na bado kokote walipoenda huko ulaya walikuwa wanauawa kwa msingi wa hiyo hiyo imani kuwa walimuua Yesu.
Lakini mbona ilifika kipindi wenye hiyo hiyo imani wakarudi kwenye senses zao, na kuacha kuwaua kwa msingi kwamba maandiko yanasema walimuua Yesu?
wayaudi walifukuzwa na waarabu baada ya kulazimishwa kutoabudu hadharani pia ikawa ni mateso kuwa sio muislamu na hapo ndo walizaliwa wayaudi waislamu ambao walikubali kubakia hapo.mashariki ya kati ila wenzao wakaondoka kutawanyika duniani
 
Atleast hayo yametambulika kuwa ni makunda ya Kigaidi yanakuwa condemned kwa kile yanachokifanya. Sasa nchi inaua, inayanganya ardi ya minorities wasiokuwa hata na nguvu ya kujitetea. Halafu dunia inashingilia. Kelele zinazopigwa Ukraine, zilibido zipigwe pia kwa kinachoendelea pale Palestina.
waisrael waliletwa kuish na wapalestine kama tulivyowapokea waarabu huku afrika na tukawachia afrika ya kaskazini , ila wao wapalestine hawakutaka kabisa uwepo wa hao jamaa kwenye huo ukanda basi ili Israel.hajihakikishie usalama lazima awashushie wapalestine kitu kizito wakiugulia wakipoa wanarudi tena , Israel anashusha kitu kizito
 
Tatizo sio kufanyika, tatizo ni kuruhusiwa na dini yenu,
Wewe dini inaruhusu kuliwa kiboga na kumwagawa uharo halafu unafuata tu kama kondoo
usiporuhusu ndo mungu hatojuwa au unahsi unamzidi mungu akili ? unafiki ni dhambi kubwa sana
 
Mchezo wa wazungu umewakolea weusi wa kwetu basi wanatetea hadi mishipa ya shingo inataka kupasuka,
Wazungu si watu wazuri,
Kweli shetani kawazidi nguvu
ila waarabu ni watu wazur ambao hata leo huez kwenda kwao unawazia huko kwa watu wabaya ( ulaya )
 
Ndio kawaida yenu mashoga kuwa sura mbili
uhai muhimu , acha kuwa mpuuz , huyo mama familia yale baada ya msiba inabakia.kupambana na hali yao kwa ujinga wa mama yao kujali udaku dhidi ya uhai
 
Kuna Mataahira hapa mafuasi ya wazungu yenye akili za kichoko kwasababu ni mwarabu kauwawa watasema gaidi, lakin ingekuwa mzungu wa BBC au CNN yangetokwa puvu la hatari
mbona yupo mwandishi kafa huko ukraine., nyinyi walalamikaji hata kwenye vitu visivyo na msingi
 
Lete ya kwako, na piga nilipodanganya. Quote nilikodanganya useme hapa umedanganya ilikuwa hivi.
bwana MALIGHAFI huyo mkuu karudia nlichokuhasa kuwa acha kuruka ruka , hao watu wa rangi hawakujali wala kukuthamini ebu tujadili kwa misingi ya ukweli na uwazi
 
Sasa nijiulize nini wakati mimi sio wewe? We onyesha nilipodanganya au kupotosha kama huwezi kufanya hivyo basi ungeendelea kaa kimya kama mwanzo maana mpaka sasa hujaeleza chochote
Bwana MALIGHAFI ww ni muongo unanyofoa foa sana historia ili kujifurahisha nafsi yako na unakwepa kujibu maswali muhimu
 
Back
Top Bottom