Mwandishi wa habari wa Al Jazeera, Shireen Abu Akleh auawa akiwa katika majukumu yake ya kazi

Lete ya kwako, na piga nilipodanganya. Quote nilikodanganya useme hapa umedanganya ilikuwa hivi.
Kabla ya yote jiulize nini kilipelekea nisifanye haya unayonita niyafanye pindi nilipoona andishi lako kwa mara ya kwanza.
Then ukiipata hiyo sababu ifanye kuwa jibu langu dhidi ya hitaji lako.
 
Kabla ya yote jiulize nini kilipelekea nisifanye haya unayonita niyafanye pindi nilipoona andishi lako kwa mara ya kwanza.
Then ukiipata hiyo sababu ifanye kuwa jibu langu dhidi ya hitaji lako.
Sasa nijiulize nini wakati mimi sio wewe? We onyesha nilipodanganya au kupotosha kama huwezi kufanya hivyo basi ungeendelea kaa kimya kama mwanzo maana mpaka sasa hujaeleza chochote
 
Sasa nijiulize nini wakati mimi sio wewe? We onyesha nilipodanganya au kupotosha kama huwezi kufanya hivyo basi ungeendelea kaa kimya kama mwanzo maana mpaka sasa hujaeleza chochote
Kujiuliza si Mari yangu binafsi hata wewe useme uwezi jiuliza, Abi?.
Then nimesema kuwa, sababu iliyonifanya nisijibu/changia chochote pale nilipoona uzi wako kwa mara ya kwanza ndiyo sababu hiyo hiyo inanifanya nisifanye iki unachonitaka nifanye sasa.
Na zaidi huo uzi wako nimeuingiza kama mfano tu na wala si sehemu ya mada.
 
Huyu mwandishi kauawa na Wapalestina wenyewe sababu Wapalestina wamegoma kutoa mwili wake kwa wachunguzi huru waufanyie uchunguzi badala yake wamemzika bila uchunguzi wowote.
 
Sasa ulikuwa na haja gani ya kuniquote kama hukutaka changia maana bado ulichofanya hakina maana
 
Sasa ulikuwa na haja gani ya kuniquote kama hukutaka changia maana bado ulichofanya hakina maana
Chief, uko sawa kweli?.
Ndiyo, nimekukot lakini nimekukot kwa MUKTADHA upi ilo ndilo uliangalie.
Ni hivi hiyo mada yako ya mgogoro wa palestina nimeigusia kama mfano tu juu iki unachokifanya dhidi ya jamaa unaejadiliana nae.
Andishi lako umelileta kama ushahidi as if wewe ndiyo last say wa mgogoro wa Palestina na Israel. Labda nikuulize, nini kimefanya umletee nyuzi yako huyo jamaa unaejadiliana nae badala ya kumletea vyanzo vingine nje na nyuzi yako?.
Huna tofauti na watu wanaotumia Qur'an kuonyesha kile wanachokiita makosa ya Biblia.
 
Ulikuwepo mkuu? Tuachane nayo maana unaelekea kwenye matusi
kaangalie habari , wanakwambia kuwa askari wa Israel walimuona ila wakashoot ( kwa mujibu wa wavaa kobaz wenzio ) , ss jiulize watu wapo kwenye mtanange kihelehele cha nini kujiweka front ? bila guard
 
wayaudi walirudi kuishi wala sio kupora ardhi ila wapalestine ndo hawakuwa tyr kuwapokea wenzao wakaanza figisu , na hizo figisu ndo zinawala sasa hv
 
walifikaje ulaya , nyinyi pia mliwaua mkawafukuza kutoka kwenye ardhi yao , ss hv mnajisahau na kujifanya ardhi ishakuwa yenu
 
wayaudi walifukuzwa na waarabu baada ya kulazimishwa kutoabudu hadharani pia ikawa ni mateso kuwa sio muislamu na hapo ndo walizaliwa wayaudi waislamu ambao walikubali kubakia hapo.mashariki ya kati ila wenzao wakaondoka kutawanyika duniani
 
waisrael waliletwa kuish na wapalestine kama tulivyowapokea waarabu huku afrika na tukawachia afrika ya kaskazini , ila wao wapalestine hawakutaka kabisa uwepo wa hao jamaa kwenye huo ukanda basi ili Israel.hajihakikishie usalama lazima awashushie wapalestine kitu kizito wakiugulia wakipoa wanarudi tena , Israel anashusha kitu kizito
 
Tatizo sio kufanyika, tatizo ni kuruhusiwa na dini yenu,
Wewe dini inaruhusu kuliwa kiboga na kumwagawa uharo halafu unafuata tu kama kondoo
usiporuhusu ndo mungu hatojuwa au unahsi unamzidi mungu akili ? unafiki ni dhambi kubwa sana
 
Mchezo wa wazungu umewakolea weusi wa kwetu basi wanatetea hadi mishipa ya shingo inataka kupasuka,
Wazungu si watu wazuri,
Kweli shetani kawazidi nguvu
ila waarabu ni watu wazur ambao hata leo huez kwenda kwao unawazia huko kwa watu wabaya ( ulaya )
 
Ndio kawaida yenu mashoga kuwa sura mbili
uhai muhimu , acha kuwa mpuuz , huyo mama familia yale baada ya msiba inabakia.kupambana na hali yao kwa ujinga wa mama yao kujali udaku dhidi ya uhai
 
Kuna Mataahira hapa mafuasi ya wazungu yenye akili za kichoko kwasababu ni mwarabu kauwawa watasema gaidi, lakin ingekuwa mzungu wa BBC au CNN yangetokwa puvu la hatari
mbona yupo mwandishi kafa huko ukraine., nyinyi walalamikaji hata kwenye vitu visivyo na msingi
 
Lete ya kwako, na piga nilipodanganya. Quote nilikodanganya useme hapa umedanganya ilikuwa hivi.
bwana MALIGHAFI huyo mkuu karudia nlichokuhasa kuwa acha kuruka ruka , hao watu wa rangi hawakujali wala kukuthamini ebu tujadili kwa misingi ya ukweli na uwazi
 
Sasa nijiulize nini wakati mimi sio wewe? We onyesha nilipodanganya au kupotosha kama huwezi kufanya hivyo basi ungeendelea kaa kimya kama mwanzo maana mpaka sasa hujaeleza chochote
Bwana MALIGHAFI ww ni muongo unanyofoa foa sana historia ili kujifurahisha nafsi yako na unakwepa kujibu maswali muhimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…