Mwandishi wa Habari wa The Citizen afukuzwa kazi. Kaponzwa na Maoni yake katika mitandao ya kijamii?

Huyu mwandishi ni katika wale wachache waliokuwa wanahoji maswali mazuri sana ktk press conference.

Nadhani weledi wake wa kufanya kazi ya uandishi ndiyo umesababisha aonekane 'mpinzani'.

Mfano mmoja kati ya kazi nzuri nyingi za mwandishi huyu ni mahojiano haya February 6, 2020 kuelekea Siku ya Sheria mada Sheria na Uwekezaji


Source : Mcl digital
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…