Mwandishi wa Habari wa The Citizen afukuzwa kazi. Kaponzwa na Maoni yake katika mitandao ya kijamii?

Aisee yaani mtu anafukuzwa kazi kwa sababu hiyo ?Yaani Trump na Macron wanavyoyukanwa na wapiga kura wao,Magufuli ndo angekuwa wao angekufa kwa pressure.
Barua ya kufukuzwa ameandikiwa tarehe 20 wakati hotuba ya Magufuli ametoa tarehe 23 kwa maana hiyo huyu jamaa kufukuzwa sio kwasababu ya kujudge hotuba ya Magufuli Bali kutakuwa na sababu nyingine tofauti na hiyo.
 
Kuna video nimeona imamu huko Kenya japo kakubali kutii hila anaponda maamuzi ya serikali yao kuzuia ibada huku akimsifia Magufuli kwa kuendelea kuruhusu na kuamini dini inaweza saidia.

Ndio Rais atambue kauli ya mkuu wa nchi inauzito mkubwa sana; sio kuropoka ovyo vitu vingine vina implications.


Hayo ndiyo madhara yenyewe una changanya jamii; something’s are best left to expert opinion
 
Twitter ni ukurasa binafsi siyo wa Citizen na hayo maoni ni haki yake binafsi hayahusiani na ajira yake. Aende mahakamani ili apate Bingo yake na kufanya mwajiri ajue tofauti ya kazi na binafsi.
Mzee baba naona umeingizwa chaka na mtoa mada barua ya kufukuzwa kazi alipewa na mwajiri wake ni ya tarehe 20 before ya hotuba ya Magufuli ambayo imefanyika tarehe 23
 
Aisee yaani mtu anafukuzwa kazi kwa sababu hiyo ?Yaani Trump na Macron wanavyoyukanwa na wapiga kura wao,Magufuli ndo angekuwa wao angekufa kwa pressure.
Sifa anazopewa Hassan Abas watu wajiandae tu kulimia meno. Huyu jamaa ni ana misifa sijawahi kuona!
 
I hope he expected such a back lash..for it is inconceivable for an upcoming and promising stringer to file such an abusive and derogatory statement against the president and expect to go scot - free!
Tumia akili, maoni hayo hayako kwenye gazeti la Citizen ni maoni binafsi toka nyumba ni kwake, ofisi haihusiki na mambo binafsi ya mtaani vinginevyo nitakuja fukuza mfanyakazi kwa kutompa ujauzito mkewe.
 
Mzee huyo ni mbongo, mwandishi wa The Citizen, anakuwaga kwenye press mbalimbali na kuuliza maswali magumu tu kama humjui kuna mtu kaweka video yake kwenye post za nyuma
 
Mzee baba naona umeingizwa chaka na mtoa mada barua ya kufukuzwa kazi alipewa na mwajiri wake ni ya tarehe 20 before ya hotuba ya Magufuli ambayo imefanyika tarehe 23
Ni sawa usemavyo lakini mwajiri anaweza pia akaibakideti barua ili ajinasue kwenye uonevu, hili nalo hufanyika, hapa tujue alipewa lini hiyo barua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…