Mwandishi wa Habari wa The Citizen afukuzwa kazi. Kaponzwa na Maoni yake katika mitandao ya kijamii?

Mwandishi wa Habari wa The Citizen afukuzwa kazi. Kaponzwa na Maoni yake katika mitandao ya kijamii?

Mwanachi ni kampuni ya nchi nyingine? Au ulivoona citizen ukajua ni citizen television?
Kidiplomasia wapo sahihi kwa 100%

Mwandishi wa habari wa nchi jirani kumwambia rais wa nchi nyingine kwamba watu wake wakifa yeye awe responsible

Sio kitendo cha uungwana hata kidogo na sio profissionalism ya kazi anayoifanya

Anataka kuingiza nchi yake na Tanzania Kwenye Mgogoro wa kidiplomasia usio na msingi

Angekuwa mwandishi wa ndani ya tanzania ingekuwa sahihi 100%
 
20 ilikuwa Ijumaa, na yeye katoa maoni yake 22 Jumapili.

Wanaweza kuwa wamefanya consideration ya siku ya kazi ya wiki ambapo kosa lililomwachisha kazi limefanyika.

Cha kujiuliza, tangazo limetoka lini?
Hapo kwenye tangazo limetoka lini? ndio tunatakiwa kuangalia...
 
Juzi Trump kawa cruched life na Dr wa maradhi ya kuambukiza. Trump alisema Chloroquine ni dawa iliyodhibitishwa. Basi ikafika zamu ya Dr Antony Fauci kuongea. Akasema live Chloroquine bado haijadhibitishwa kisayansi. Trump alibaki anatikisa kichwa tu.
Sio relevant na ishu aliyoandika tweeter huyu kijana.
 
Naomba kukuuliza mkuu; hiyo barua ya January mtu anayopokea mwezi wa tatu,ilifaa huyo mtu aipokee mwezi wa kwanza au inakuwaje?

Kuhusu nyongeza za mishahara kwa mfano, inasubiriwa Audited Financials eg za 31 Dec za mwaka unaoisha.

Kwa hiyo zikishatoka, board inakaa inaamua kwa faida tuliyotengeneza mwaka huu, tunawaongezea wafanyakazi kiasi fulani kwenye mshahara, na hii inaanzia mwanzo wa mwaka (kutegemeana na policy za kampuni husika).

Kwa hiyo, ukiipokea March, na iko effective kuanzia January unalipwa arrears (bakaa) za Jan na Feb.

Hata kwenye adhabu pia inakuwa hivyo, mfano TRA wanafanya audit leo, wanakupa adhabu ya fine inayoanzia miaka kadhaa nyuma.
 
Barua ya kufukuzwa ameandikiwa tarehe 20 wakati hotuba ya Magufuli ametoa tarehe 23 kwa maana hiyo huyu jamaa kufukuzwa sio kwasababu ya kujudge hotuba ya Magufuli Bali kutakuwa na sababu nyingine tofauti na hiyo.
Hivi wewe huwezi kuandika statement leo ukapachika tar ya mwezi wa pili?
 
Zanzibar chukueni nchi yenu mtembee... Mnambwelambwela tu.
 
Huyu jamaa anaingia katika MASHAHIDI NA MASHUJAA WA TANZANIA.
Historia itamkumbuka, kasema ukweli , Muda muafaka wa kusussia magazeti ya mwananchi ndio huu
 
Back
Top Bottom