Inawezekana ni sababu nyingine,jamaa kapost trh 22 kafukuzwa trh 20 ???
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanaudhi sana kila kitu kumsingizia mzee wa watu,vijitu hata kusoma vizuri hivijui kazi kupotosha tu umma. Kwa hali hii acha CCM itawale milele na milele amina.
Umeangalia tarehe dada auAisee yaani mtu anafukuzwa kazi kwa sababu hiyo ?Yaani Trump na Macron wanavyoyukanwa na wapiga kura wao,Magufuli ndo angekuwa wao angekufa kwa pressure.
Kidiplomasia wapo sahihi kwa 100%
Mwandishi wa habari wa nchi jirani kumwambia rais wa nchi nyingine kwamba watu wake wakifa yeye awe responsible
Sio kitendo cha uungwana hata kidogo na sio profissionalism ya kazi anayoifanya
Anataka kuingiza nchi yake na Tanzania Kwenye Mgogoro wa kidiplomasia usio na msingi
Angekuwa mwandishi wa ndani ya tanzania ingekuwa sahihi 100%
Akili za kina mjinga mimi.
Hapo kwenye tangazo limetoka lini? ndio tunatakiwa kuangalia...20 ilikuwa Ijumaa, na yeye katoa maoni yake 22 Jumapili.
Wanaweza kuwa wamefanya consideration ya siku ya kazi ya wiki ambapo kosa lililomwachisha kazi limefanyika.
Cha kujiuliza, tangazo limetoka lini?
Sio relevant na ishu aliyoandika tweeter huyu kijana.Juzi Trump kawa cruched life na Dr wa maradhi ya kuambukiza. Trump alisema Chloroquine ni dawa iliyodhibitishwa. Basi ikafika zamu ya Dr Antony Fauci kuongea. Akasema live Chloroquine bado haijadhibitishwa kisayansi. Trump alibaki anatikisa kichwa tu.
Lakini si alishafukuzwa kabala hata ya coments zake twitter?
Daaa hapa ndipo nnapochokaga waleta mada mnaotudanganya. Ni kwa faida ya nani? Mbona alifukuzwa mapema kabla ya hotuba ya Rais?
Naomba kukuuliza mkuu; hiyo barua ya January mtu anayopokea mwezi wa tatu,ilifaa huyo mtu aipokee mwezi wa kwanza au inakuwaje?
Barua ya tarehe 20 march, maoni tarehe 22 march acheni upotoshaji
Nadhani kuna kitu tunaweza kujifunza hapa kabla ya kutoa maoni yetu kwa kuhukumu.Aisee yaani mtu anafukuzwa kazi kwa sababu hiyo ?Yaani Trump na Macron wanavyoyukanwa na wapiga kura wao,Magufuli ndo angekuwa wao angekufa kwa pressure.
Hapo kwenye tangazo limetoka lini? ndio tunatakiwa kuangalia...
Hivi wewe huwezi kuandika statement leo ukapachika tar ya mwezi wa pili?Barua ya kufukuzwa ameandikiwa tarehe 20 wakati hotuba ya Magufuli ametoa tarehe 23 kwa maana hiyo huyu jamaa kufukuzwa sio kwasababu ya kujudge hotuba ya Magufuli Bali kutakuwa na sababu nyingine tofauti na hiyo.
Hivi wewe huwezi kuandika statement leo ukapachika tar ya mwezi wa pili?
Kwa hiyo kama kawaida uka-conclude siyoWewe hiyo itakuwa ni kupoteza sababu. Achana na tarehe ya barua.Kwanza wamesema tu barua ya tarehe tajwa. Hakuna barua yenyewe yenye mhuri wa tarehe tajwa.