zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
On behalf of JF users, could you show us the abusive language? Since when is critique an abusive act?I hope he expected such a back lash..for it is inconceivable for an upcoming and promising stringer to file such an abusive and derogatory statement against the president and expect to go scot - free!
Tangazo limetoka leo.
watu wanatumia vichwa vyao kufugia nywele...
Angalia tarehe ambayo umma umejulishwa.View attachment 1397047
Hii thread ni ya uongo, ingetakiwa ifungwe mapema tu baada ya kugundua tofauti za tarehe na mtiririko wa matukioNa sisi wadau na wana JF wote tuigomee Mwananchi communication's LTD kununua Magazeti yao yote,pamoja na bidhaa zote zenye uhusiano na kampuni hiyo.ndiyo iwe dawa yao.
Abbas anajikuta mjuaji wa kila kitu anajikuta bishoo kumbe pumba tuSifa anazopewa Hassan Abas watu wajiandae tu kulimia meno. Huyu jamaa ni ana misifa sijawahi kuona!
Shukrani mkuu,...Asante kwa elimu mpya.
Ila mimi kwa upande wangu nadhani hiyo ingekuwa sahihi kama kosa angelitenda kabla ya ban... Ila hapa inaonekana wamemfire kabla hata hajaposti hisia zake... Mimi naona kuna kosa alilifanya huko nyuma,wakamfukuza kazi notice akapata tar 20...halafu twiti yake akaiandika baadaye jana siku hiyohiyo ya hotuba ya rais
Kama nipo wrong waweza nisahihisha.
Ndio nimeiona.Wewe barua yake ya kufukuzwa kazi umeiona???
Ndio nimeiona.
Aisee yaani mtu anafukuzwa kazi kwa sababu hiyo ?Yaani Trump na Macron wanavyoyukanwa na wapiga kura wao,Magufuli ndo angekuwa wao angekufa kwa pressure.
Raia wa ZanzibarHuyo kijana ni raia wa wapi?
Nimemfollow twitter na huwa yupo kinyume na serikali mara nyingi yaani kama biased flani hivi so,lolote lingetarajiwa mkuuBarua tarehe mtu anaweza kuweka tu, ila kama unafuatilia mambo huyu jamaa ilikuwa lazima wamfanyie kitu. Ana fikiria critically na sio mnafiki. Watu wa aina hiyo huwa hawapendwi.
Tuache upotoshaji, jamaa katimuliwa tar 20 comment ni ya tar 22, huwezi sema cimment hiyo ndo imemfukuza
Sent using Jamii Forums mobile app
Okay mkuu... Ila mhusika mwenyewe anasemaje?Kuna mdau hapo juu kaweka screenshot ya Tweet kutoka Mwananchi, tangazo limetoka leo tar 23 March 2020.
Binafsi nachukulia hilo swala katika mtazamo huu hapa chini:
- Katika kujisafisha na Mwananchi asigombane na kina Abbas, imebidi watoe tamko hilo kwamba kuanzia hiyo tar 20 jamaa hakuwa mfanyakazi, kwa hiyo maoni yake yasihusishwe na Mwananchi Comm.
Swali jepesi la kujiuliza, kama alifukuzwa tar 20, kwa nini tangazo halikutolewa tar 20? Uma unakuja kujulishwa tar 23, je huoni kama anaweza kuingia transactions tar 21, 22 na 23 asubuhi kwa kutumia jina la Mwananchi Communication?