Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Okay mkuu... Ila mhusika mwenyewe anasemaje?
Tunajadili kwa information tulizo nazo.
Au tuache kwa vile muhusika hayupo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay mkuu... Ila mhusika mwenyewe anasemaje?
Hapana nilitaka nijue kama mhusika kasema chochoteTunajadili kwa information tulizo nazo.
Au tuache kwa vile muhusika hayupo?
Hapana nilitaka nijue kama mhusika kasema chochote
Ningekuwa mimi kama nimeonewa ningesema tu japo si lazima niseme sahivi,hata baadaye.Okay, imagine kama wewe ndiye muhusika, ungekuja kusema chochote?
Jamaa ni very strong hapa akiwabadilikia cdm baada ya press ya VIDEO nassariHuyu mwandishi ni katika wale wachache waliokuwa wanahoji maswali mazuri sana ktk press conference.
Nadhani weledi wake wa kufanya kazi ya uandishi ndiyo umesababisha aonekane 'mpinzani'.
Mfano mmoja kati ya kazi nzuri nyingi za mwandishi huyu ni mahojiano haya February 6, 2020 kuelekea Siku ya Sheria mada Sheria na Uwekezaji
Source : Mcl digital
Information tulizonazo ndo zinaonyesha sababu ya jamaa kufukuzwa sio tweet kutokana na utofauti wa tarehe haya mengine ni ramli tuTunajadili kwa information tulizo nazo.
Au tuache kwa vile muhusika hayupo?
Ningekuwa mimi kama nimeonewa ningesema tu japo si lazima niseme sahivi,hata baadaye.
Information tulizonazo ndo zinaonyesha sababu ya jamaa kufukuzwa sio tweet kutokana na utofauti wa tarehe haya mengine ni ramli tu
Huyo kijana ni raia wa wapi?
Mi nadhani Jf kuna shida, watu ni wajuaji kupita viwango.. Jamaa amefukuzwa tar 20 na tweet ya kumshambulia Jiwe ni ya tar 22, inaonyesha kabisa tweet yake sio sababu ya kusitishiwa kua mchangiaji wa gazeti husika labda kutakuwa na sababu nyingine ambayo wanaijua wao wahusika.. Sasa ujuaji wa wana Jf unakuja wanapotaka kulazimisha kuwa mwananchi wamerudisha tarehe nyuma ili kujinasua kwenye mzozo sasa unajiuliza wewe unaeamini kuwa mwananchi wamerudisha tarehe nyuma kwanini unilazimishe kuamini hicho na sio kwamba ni kweli jamaa atakua alifanya ishu nyingine iliyofanya asitishwe kuchangia mwananchi tar 20! Ushahidi tulionao at hand unakataa kuwa tweet ya jamaa haiwezi kuwa ndo ilifanya afukuzwe kutokana na tarehe kujichanganya ila kuna genge la wajuaji wanataka tuamini vitu tusivyoviona kwenye ushahidi? Hii si kupiga ramli? Hivi hapa ni nyumbani kwa great thinkers au wana harakati? Jf aka new Fb[emoji3][emoji38][emoji3]
Unawaponda watu kuwa magreat thinker wakati wewe unaandika utumbo.Mi nadhani Jf kuna shida, watu ni wajuaji kupita viwango.. Jamaa amefukuzwa tar 20 na tweet ya kumshambulia Jiwe ni ya tar 22, inaonyesha kabisa tweet yake sio sababu ya kusitishiwa kua mchangiaji wa gazeti husika labda kutakuwa na sababu nyingine ambayo wanaijua wao wahusika.. Sasa ujuaji wa wana Jf unakuja wanapotaka kulazimisha kuwa mwananchi wamerudisha tarehe nyuma ili kujinasua kwenye mzozo sasa unajiuliza wewe unaeamini kuwa mwananchi wamerudisha tarehe nyuma kwanini unilazimishe kuamini hicho na sio kwamba ni kweli jamaa atakua alifanya ishu nyingine iliyofanya asitishwe kuchangia mwananchi tar 20! Ushahidi tulionao at hand unakataa kuwa tweet ya jamaa haiwezi kuwa ndo ilifanya afukuzwe kutokana na tarehe kujichanganya ila kuna genge la wajuaji wanataka tuamini vitu tusivyoviona kwenye ushahidi? Hii si kupiga ramli? Hivi hapa ni nyumbani kwa great thinkers au wana harakati? Jf aka new Fb[emoji3][emoji38][emoji3]
Public notice ya kufukuzwa kazi imetolewa leo mchana.mbona kafukuzwa kazi tarehe 20 march na amemkosoa magufuli tarehe 22 march
mleta mada mbona hapo umetuingiza chaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kidiplomasia wapo sahihi kwa 100%
Mwandishi wa habari wa nchi jirani kumwambia rais wa nchi nyingine kwamba watu wake wakifa yeye awe responsible
Sio kitendo cha uungwana hata kidogo na sio profissionalism ya kazi anayoifanya
Anataka kuingiza nchi yake na Tanzania Kwenye Mgogoro wa kidiplomasia usio na msingi
Angekuwa mwandishi wa ndani ya tanzania ingekuwa sahihi 100%
Hiyo video ya uliyopost MATAGA watajifanya hawajaiona.Jamaa ni very strong hapa akiwabadilikia cdm baada ya press ya VIDEO nassariView attachment 1397082
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshafanya baadhi ya mahojiano akiwa kama mwandishi wa mwananchi. Naona wameamua kumruka tu...Hilo tangazo la mwananchi halioneshi kuwa alikuwa mfanyakazi wao linasema alikuwa "contributor" (mchangiaji) wa baadhi ya makala zao na kwa sasa hawataruhusu makala zake.
Barua ya tarehe 20 march, maoni tarehe 22 march acheni upotoshaji