Mwanetu Hamisa hana Baraka za Wazazi wa Aziz Ki

Mwanetu Hamisa hana Baraka za Wazazi wa Aziz Ki

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Wazazi na ndugu wa Aziz Kiii hawakuhusika kwa lolote kuanzia 1. Posa , 2. Mahari, 3. Engagement hadi Ndoa. Yaani Wazazi na ndugu wa Aziz ni timu ya Yanga.

Kwa familia inayojitambua isingeruhusu hili jambo lifanyike bila uwepo au uhusika wa wazazi na ndugu wa bwana harusi. Wazazi wa Hamisa wasingemuendekeza binti yao( anyway wazazi wa kishua hawa).

Jux juzi tu kafunga ndoa yenye heshima na Baraka zote za wazazi wa pande zote mbili.

Mwanetu Hamisa inawezekana lengo lako wewe na Mama yako ni kutimiza heshima ya ndoa, LAKINI BARAKA ZA WAZAZI WA KII NI MUHIMU SANA.

Hivi kweli mzazi anashuhudia matukio ya sherehe za ndoa ya mwanaye kupitia mitandaoni!!!!!
 
Kuna huu ujumbe
IMG-20250216-WA0031.jpg
 
Huyu mama nae akitulize,

Mbona kwanza hakuna father figure kwenye life la mwamba???

Kila kitu anaongea maza, father is not in the picture why?

Hata kama hayupo mshua kuna hata dingi wakubwa au wadogo.

Ila kila maza akiongea anazungumzia uncles na yeye.

Mchizi kama mtu anaefanana tabia na mama yake(kaoa tabia za mama yake)
 
Mimi inaniuma sana kwanini Mwanangu Aziz anakuwa kama mwehu kuoa mwanamke amezaa na mijamaa ambayo imemtosa au yeye ndo shida, na hayo yana pesa hayakumuoa, na usikute yanaona mtandaoni yanakenua tu pumbavuu kabisa 🤬😡
 
Kwa habari nayo ijua ni kuwa ndoa iyo ina maigizo azizi ki ni kivuli tu
 
Muhimu ndoa imepita, single maza kaolewa kwa kishindo..!!

Hizi blah blah zenu hazitawapa uponyaji kataa ndoa….!! Aiiiihyyy nyie huku Hamisa kaweza 😹😹
Kataa ndoa tuna ingiaje humo, Na wewe?
 
Back
Top Bottom