Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huyo mwana wa Yesu amaWazungu kwa uelewa ninyi chakushangaza kuamini yesu alikufa na akafufuka munaamini
Sukhuma witches!Wakazi wa Kijiji cha Salong’we kilichopo wilayani Magu mkoani Mwanza wamekumbwa na taharuki baada ya mtoto aitwaye Mabilika Wilson aliyefariki na kuzikwa tarehe 17 mwezi huu kupatikana akiwa hai katika Kijiji cha Mwangika wilayani Kwimba mkoani humo.
Wilson Bulabo ni baba mzazi wa mtoto huyo amesema ni kweli mtoto wake huyo aliumwa kwa siku mbili na kufariki hatimaye wakamzika lakini alipoenda kumuangalia huyo mtoto aliyeonekana Kijiji cha Mwangika alimgundua kuwa ndiye mtoto wake aliyezikwa wiki chache zilizopita.
Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza Wilbroad Mutafungwa amefika katika Kijiji hicho na kushuhudia kaburi likifukuliwa kwa ajili ya taratibu za uchunguzi wa tukio hilo ambapo amewataka wakazi wa Kijiji hicho na vijiji vya Jirani, kuwa watulivu kipindi ambacho uchunguzi wa tukio hilo ukiendelea.
#EastAfricaTV
View attachment 2604593
Ndugu zako hao wahuni sana 😁😁😁😁Hakufa huyo. Ukifa haurudi.
Hata yule wa jiwe huenda ni kweli lakini kazibwa mdomo, watu wana mambo ya siri sana kuzidi hata dunia yenyeweKamati ya ulinzi na usalama ya eneo husika ikifanya kazi yake sawasawa yatakuwa kama yule Mama wa Maiti ya mtoto kugeuka kuwa Jiwe
Hivi ukishazika unaweza kwenda kufukua bila kibali? Hapo umesoma ukaelewa?Je wanafukua kaburi,wamepata kibali Cha Hakimu Mchunguza maiti,au wanajifukulia tu wenyewe na police!!??
Tatizo la watu kurukia mstari mmoja wakati taarifa imejielezaHuoni imeandikwa kuwa kamanda wa polisi amefika na kushuhudia kaburi likifukuliwa?
Bado na mimi nasubiri alieleta mada hii atujibu
Mimi nachangia nilichosoma juu
Yule wa jiwe Ni uongo katunga HV kumbe hamfatlliliaa taarifa kamiliKamati ya ulinzi na usalama ya eneo husika ikifanya kazi yake sawasawa yatakuwa kama yule Mama wa Maiti ya mtoto kugeuka kuwa Jiwe
Ni kweli maana nchi hii napo tuna viji mamboHata yule wa jiwe huenda ni kweli lakini kazibwa mdomo, watu wana mambo ya siri sana kuzidi hata dunia yenyewe
Halafu ananiuliza mimi kama nimetunga [emoji1] [emoji1787]Tatizo la watu kurukia mstari mmoja wakati taarifa imejieleza
Shangaa na weweHivi huo uchawi kama kweli upo,kwanini msiutumie kwenye mambo ya maendeleo?
Kibali Cha kufukua maiti kinatoka Mahakamani na si police, tena huko Mahakamani ni hadi hàkimu Mchunguza maiti ajiridhishe na shauri hilo ndiyo atatoa hicho kibali! Sasa jiulize je huyo Mtoto aliyeonekana akiwa hai ambae Baba Mtu kasema ni mwanawe,je DNA imesha thibitisha hilo!? Isije kuwa ni wenge tu la kufiwa na Mtoto sema akili haitaki kukubali!!Hivi ukishazika unaweza kwenda kufukua bila kibali? Hapo umesoma ukaelewa?
Wanaoneshana uwezoWasukuma