MWANZA: Aliyefariki wiki chache nyuma akutwa akiwa mzima

MWANZA: Aliyefariki wiki chache nyuma akutwa akiwa mzima

Shangaa na wewe
Yaani anaona kuuwa ndio nguvu zake zilipoishia ila kutengeneza kitu cha maana au kuroga ng'ombe zao ziwe zinazaa ndama 5 hawawezi
Ha ha ha yaani kweli kumhamisha MTU na kumficha huko, wangekuwa wanaleta maendeleo usiku wanahamisha hata maji watu wanachota na kujaza vyombo vyao asubuhi ziwa linabaki Mwanza.
 
Ha ha ha yaani kweli kumhamisha MTU na kumficha huko, wangekuwa wanaleta maendeleo usiku wanahamisha hata maji watu wanachota na kujaza vyombo vyao asubuhi ziwa linabaki Mwanza.
[emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38] [emoji1]
 
Kibali Cha kufukua maiti kinatoka Mahakamani na si police, tena huko Mahakamani ni hadi hàkimu Mchunguza maiti ajiridhishe na shauri hilo ndiyo atatoa hicho kibali! Sasa jiulize je huyo Mtoto aliyeonekana akiwa hai ambae Baba Mtu kasema ni mwanawe,je DNA imesha thibitisha hilo!? Isije kuwa ni wenge tu la kufiwa na Mtoto sema akili haitaki kukubali!!
Kwani taarifa si inasema kamanda kasema wawe watulivu wakati uchunguzi unafanyika? Sasa ulitaka wapimie pale pale kaburini si wanapeleka maabara mkuu? Pia hata mahakama ikitoa kibali lakini lazima polisi wawepo.
 
[emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38] [emoji1]
Sio kutuumiza mioyo yetu kutuondolea ndugu zetu kaharibu maisha ya watu, waendage huko walete mapesa watujengee hata majumba mazuri, lakini na uchawi wao wote wanalala na mavi ya ng'ombe kama ng'ombe tu
 
Watu bado hamjakoma na ile story ya mtoto kugeuka jiwe?
Kwa kuamini hizi story mbongo yupo tayari apigane!
 
Matapeli hao kamata wote mama na mtoto chapa sana fimbo za matako mpaka wanyooshe maelezo .Mara jiwe mara mtu kafufuka.Dawa ni viboko tu vya mdati/ mkwaju/ mpera.
 
Kabla ya kufukua kaburi waliozika watuambie kama waliaga mwili. Na wakati wanaaga waliuona mwili wenyewe.? Mwili huo ndio waliouzika.? Ili kama walizika jeneza tupu wasiteseke kufukua.
 
Kanda ya ziwa kulikoni? Geita, Mwanza nini tatizo? Tujaze makanisa huko kama Mbeya ya kale? Mambo ya Mbeya yamehamia huko.
Uchawi upo ila kuuendekeza ni ufaken.
Wachawi wote mlipo na humu mmo nawatukana.
 
Back
Top Bottom