Ha ha ha yaani kweli kumhamisha MTU na kumficha huko, wangekuwa wanaleta maendeleo usiku wanahamisha hata maji watu wanachota na kujaza vyombo vyao asubuhi ziwa linabaki Mwanza.Shangaa na wewe
Yaani anaona kuuwa ndio nguvu zake zilipoishia ila kutengeneza kitu cha maana au kuroga ng'ombe zao ziwe zinazaa ndama 5 hawawezi
[emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38] [emoji1]Ha ha ha yaani kweli kumhamisha MTU na kumficha huko, wangekuwa wanaleta maendeleo usiku wanahamisha hata maji watu wanachota na kujaza vyombo vyao asubuhi ziwa linabaki Mwanza.
Kwani taarifa si inasema kamanda kasema wawe watulivu wakati uchunguzi unafanyika? Sasa ulitaka wapimie pale pale kaburini si wanapeleka maabara mkuu? Pia hata mahakama ikitoa kibali lakini lazima polisi wawepo.Kibali Cha kufukua maiti kinatoka Mahakamani na si police, tena huko Mahakamani ni hadi hàkimu Mchunguza maiti ajiridhishe na shauri hilo ndiyo atatoa hicho kibali! Sasa jiulize je huyo Mtoto aliyeonekana akiwa hai ambae Baba Mtu kasema ni mwanawe,je DNA imesha thibitisha hilo!? Isije kuwa ni wenge tu la kufiwa na Mtoto sema akili haitaki kukubali!!
Sio kutuumiza mioyo yetu kutuondolea ndugu zetu kaharibu maisha ya watu, waendage huko walete mapesa watujengee hata majumba mazuri, lakini na uchawi wao wote wanalala na mavi ya ng'ombe kama ng'ombe tu[emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38] [emoji1]
[emoji3][emoji3][emoji3] asubuhi hii bado kilaji kipo kichwani ha ha ha haHalafu ananiuliza mimi kama nimetunga [emoji1] [emoji1787]
Yaani kama haujapitiwa huwezi jua kama kuna viji mambo vya siri.Ni kweli maana nchi hii napo tuna viji mambo
We utapigwa [emoji1] [emoji1787] [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] asubuhi hii bado kilaji kipo kichwani ha ha ha ha
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]We utapigwa [emoji1] [emoji1787] [emoji23]
dr namugari kwanini unatuwekea avatar za pisi kali huoni ni kutupandisha midadi?Yule wa jiwe Ni uongo katunga HV kumbe hamfatlliliaa taarifa kamili
Hao HaoWasukuma