Kama kweli wamefukua kaburi kabla ya kufanya DNA Kati ya Mtoto aliyeonekana akiwa hai na huyo Baba anaedai ni Mtoto wake,basi watakua wamekurupuka! Maana majibu ya DNA ndiyo yangetoa muongozo mzima!!Kwani taarifa si inasema kamanda kasema wawe watulivu wakati uchunguzi unafanyika? Sasa ulitaka wapimie pale pale kaburini si wanapeleka maabara mkuu? Pia hata mahakama ikitoa kibali lakini lazima polisi wawepo.
Nyoka wa makengeza!!!Wachawi wakubwa kanda ya ziwa wapo hapo ukanda wa kuanzia kisesa ,magu, Nasa huko hadi bariadi
Mpumbavu unaonekana ni wewe...Acheni Upumbavu mtu hawezi kufa na akarudi wezi tu nyie
FafanuaMpumbavu unaonekana ni wewe...
Subiri afande aliyeenda atoe taarifa.Fafanua
Sawa ujinga ni mzigoSubiri afande aliyeenda atoe taarifa.
Kazi ninayo mimi
Unaamini Yesu alifufuka kaburini?Na huyo mwana wa Yesu ama
Hapo kama ni uchawi mnajuana maana waswahili ni mambo ya maovu tu ndio tunakazania
Wizi, uchawi, uchafu
Wazungu hawana ujinga huu na kila kitu lazima kichunguzwe mpaka kijulikane kitaaluma na sayansi pia
Ila ukweli lazima upatikane na hawawezi kufikia maamuzi na kusema tu huu ni ushirikina au ooh kafufuka kama yesu ila mtaa mwingine na sio kaburini
Kwanini ishindikane?Acheni Upumbavu mtu hawezi kufa na akarudi wezi tu nyie