Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Samia ni Magufuli wa kike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulitahadharisha kuwa it's too early to applause this President. Unfortunately they called us either MATAGA or SUKUMA GANG. Thanks to God now they are desperately disappointed. The least I can say with certainty is this; the worst is yet to comeHahahah mungu yupi? Si mlisema mtamnyoa sasa mnatakafuta huruma.
Kama wa mama yakoUnanitafutia ban tu, peleka stress zako mbele huko maana naona unalazimisha mknd wako utafune muwa.
Raia wenyewe bongo ndio Hawa kina Mama D. Safari bado ndefuu sana hii.Nilikua namaanisha hiyo taarifa ya police walitoa? Na police waliwajibu?
Kukamata wana CCM kwenye shughuli zao za kiasiasa?!Nimeona Dodoma, Ole Sabaya na maeneo mengine tuu.
Pole sana najua upo " KWENYE SIKU ZAKO " KUBWA JINGA WEWE🤣🤣🤣Unaijua hata maana ya inteljensia
USSR
Basi potezea tuI don't have time for incoherent ramblings.
Tatizo lako nini si uombe tafsiri tu kijana.Hapo umekuwa mzungu sasa, kenge wewe
You obviously do not know what a trillion is.Basi potezea tu
We have over trillions of posts humu
Walk on
Unaposema sehemu ambayo polisi wanawajibika kuilinda una maana gani?Wamefanya kongamano lao sehemu ambayo polisi wanawajibika kuilinda bila kuwataarifu,hivyo polisi hawakuwa wanawatambua kama jinsi ambavyo wewe hautanitambua nikija kufanya kongamano kwako
Hata upinzani kuna wanasiasa, kwa hivyo hapo hujasema cha maana sana.Polisi sehemu yoyote duniani ni mali ya wanasiasa,sisemi kwAmba ni haki au siyo lkni ndo inavokua,,yoyote atakaeingia madarakani polisi huyu huyu atatekeleza maagizo yake
Mnaweza za BET tu.Haya faster, twende Twitter kupush hashtags.
#FreeLwaitama
#FreeMwamakula 🤣🤣
Yule Mungu anaewanyoaga makatili kwa njia ya koronaHahahah mungu yupi? Si mlisema mtamnyoa sasa mnatakafuta huruma.
Ndugu mimi siyo sisiemu😂😂Ccm mnategemea virungu vya majeshi yetu kupambana na hoja pingamizi za kisiasa. No pilce no Ccm
Halafu unajiita mwanamme?
Siku jeshi likijitenga na siasa itawezekanaVirungu ndio vinafanya hamna mtu anaingia road!
Huna akili Maboso . Yaani Democrats wawaamulie Republicans ni wapi wafanyie siasa zao ?! .Wapinzani fanyeni siasa kwenye majimbo yenu. Wenzenu CCM wanapita kwenye sehemu zao za kiutawala
Chadema nendeni Nkasi Kaskazini
Cuf nendeni Mtwara Vijijini
ACT nendeni Zanizibar
Kama gazeti tu limefungiwa bila sababu za kueleweka ndiyo iwe Radio na Television ?!. Tena nchi jirani ?! Pakawa bila nguvu zingine katiba haiji. Ccm wanajua kwa wananchi hawana mvuto. Hawawezi kukubali jambo linalowaweka sawa na wapinzani wao.Ushauri kwenu Chadema.....
Mkikumbuka wakati wa kudai uhuru Radio vipeperushi vilitumika sana
Kwa nini msiwekeze nguvu kwenye kuwa na Radio na Television kufikisha ujumbe kwa hata walioko vijijini. Mfano mkiweka kituo Busia ya pande ya Kenya Kaskazini wote watasikia (huu ni mfano mmoja) wekeni vituo mipakani hizi kongamano mikutano muwe mmedhamiria kweli kweli kama mbwai na iwe mmbwai. Hili la kuita vyombo vya habari mnawapotezea watu muda.
Amueni
Hili la Leo basi mjue kila mtakapoenda hali ya kamata kamata itawakumba
Tumieni RADIO na SOCIAL MEDIA Kufanya mikutano otherwise MAANDAMANO ni MUHIMU
VITUO vya Radio msiweke mjini wekeni mipakani